Video: Hamas akimshambulia mwanajeshi. Je, ni sahihi mwanajeshi kutumia bunduki dhidi ya kisu?

Video: Hamas akimshambulia mwanajeshi. Je, ni sahihi mwanajeshi kutumia bunduki dhidi ya kisu?

Mhamas katoa kisu kamchoma shingoni ili amuue kisha akaendelea kumchoma tumboni kabla Mfda haja mpeleka chini
Kisha Mhamasi kainuka na kisu chake ili ammalize kabisa Mfda..... ulitegemea nini mkuu?

Au unadhani ni bongo movie hiyo?
That’s the matter of death motherfanta
 
Kama video inavyoonekana hamas akimshambulia kwa kisu mwanajeshi wa Israel na jinsi mwanajeshi alivyo react kwa bunduki

Swali kubwa na lengo la thread hii je Ni Sawa Kwa Mwanajeshi mwenye mafunzo kutumia bunduki dhidi ya gaidi ambae yeye anakisu tu hii imekaaje kwa wataalum mnao fahamu.?

Najua Ingekuwa tanzania huyu mhalifu angepigwa kwa Mkono tu mpaka aachie kisu maana wanajeshi wetu wa huku kwa jinsi wanavyo tuonesha Tbc wakipasua mawe sidhani kama ingetumika BASTOLA.

MWISHO MUNGU IBARIKI TANZANIA AMANI ITAWALE KATIKA JINA LA YESU KRISTO AMINA [emoji120]

Sote tuseme allahukubaru!!
 
Ila asilimia kubwa ya raia wa Israel wamelegea sana yaani mtu mmoja ana kisu wameshindwa kumkabili wanakimbia kweli? Na ukiangalia mtu mwenyewe wa kawaida mno wamekazania kuandamana tu bila kujua kwamba hiyo amani ya kuandamana nchini mwao imepatikana kwa kazi kubwa kule Gaza.
 
Mzee baba mbona unauliza maswali ambayo hata wewe waweza kuwa na majibu?

Huyo jamaa uliyemuita Hamas aliposhambulia kwa kisu mwanajeshi wa kizayuni, je lengo lilikuwa ni lipi kama si kuua?

Umeona huyo jamaa mwenye kisu alivyomkamata kichwa mjeda hapo kwa lengo la kukikandamiza kisu kwenye koromeo?

Je, unadhani huyo uliyemuita mwanamgambo wa Hamas angelikuwa na silaha ya moto, asingeliifyatua na kumuua mzayuni?
Jamaa kana maswali ya kipuuzi sana mkuu. Mtu anakuja kukuua utacheka naye?. Hapo angekufa askari angekuja na mada askari mdebwedo akilisifia gaidi. Afande kamuwaisha kwenye bikira 72 chapu
 
Mzee baba mbona unauliza maswali ambayo hata wewe waweza kuwa na majibu?

Huyo jamaa uliyemuita Hamas aliposhambulia kwa kisu mwanajeshi wa kizayuni, je lengo lilikuwa ni lipi kama si kuua?

Umeona huyo jamaa mwenye kisu alivyomkamata kichwa mjeda hapo kwa lengo la kukikandamiza kisu kwenye koromeo?

Je, unadhani huyo uliyemuita mwanamgambo wa Hamas angelikuwa na silaha ya moto, asingeliifyatua na kumuua mzayuni?
Kuna watu mambo madogo kama hayo wanashindwa kufikilia.
yaan kichwani hamna kitu..
mambo madogo kama hayo mtu anashindwa ku reson hapo
 
Ila asilimia kubwa ya raia wa Israel wamelegea sana yaani mtu mmoja ana kisu wameshindwa kumkabili wanakimbia kweli? Na ukiangalia mtu mwenyewe wa kawaida mno wamekazania kuandamana tu bila kujua kwamba hiyo amani ya kuandamana nchini mwao inapatika kwa kazi kubwa kule Gaza.
Nini kimekufanya uwe na uhakika ni mtu wa kawaida tu? Mwili au ?
Raia ana uhakika gani kama jamaa hana siraha?
Vipi kama angekuwa na bomu?
Huyo aliemkandamizia hapo chini ni mmasai?
 
tunnel
IMG_20240407_154821_355.jpg
 
Kama video inavyoonekana hamas akimshambulia kwa kisu mwanajeshi wa Israel na jinsi mwanajeshi alivyo react kwa bunduki

Swali kubwa na lengo la thread hii je Ni Sawa Kwa Mwanajeshi mwenye mafunzo kutumia bunduki dhidi ya gaidi ambae yeye anakisu tu hii imekaaje kwa wataalum mnao fahamu.?

Najua Ingekuwa tanzania huyu mhalifu angepigwa kwa Mkono tu mpaka aachie kisu maana wanajeshi wetu wa huku kwa jinsi wanavyo tuonesha Tbc wakipasua mawe sidhani kama ingetumika BASTOLA.

MWISHO MUNGU IBARIKI TANZANIA AMANI ITAWALE KATIKA JINA LA YESU KRISTO AMINA [emoji120]

Safi sana. Sugu aliimba "Dawa ya jeuri ni kiburi"
 
Back
Top Bottom