Video: Hamas akimshambulia mwanajeshi. Je, ni sahihi mwanajeshi kutumia bunduki dhidi ya kisu?

Video: Hamas akimshambulia mwanajeshi. Je, ni sahihi mwanajeshi kutumia bunduki dhidi ya kisu?

na hapo msumbiji mnapigania haki gan kwa kiwachinja na kuchoma nyumba za walalahoi ?
Ona huyu matako mwingine!?
Unafananishaje makundi ya mlengwa wa kisiasa huko Msumbiji na uislam!?
Wa Msumbiji si sawa na Bokoharam!?
We hujui kama wale ni mlengwa wa kisiasa!?
 
Israel na Palestina sio suala la dini we matako.
Hilo ni suala la kugombania ardhi.
Sheriin Abu Akleh ni muanglican na alipigwa risasi na IDF kimakusudi kisa anaripoti uvunjaji nyumba wa IDF westbank.
Punguza umatako kijana.
Umepaniki mfia dini,hii duni bila uislamu ingelikuwa ni sehemu salama sana kwa binadamu kuishi.


Acheni kumpigania huyo mtume wenu mnyonya ndimi za wanaume na allah wa kule maka kwenye jiwe jeusi
 
Huyu ni raia wa kawaida sio Hamas.
Ila shida dunia inaamini kila Mpalestina mpinga mzayuni ni Hamas.
Huyo ni mpslestina wa kawaida angeingia Hamas hapo pasingekalika muda huu.
 
Kuna mantiki sana kwenye swali lako sema wengi wanakukejeli tu bila kuelewa!

Kuna jamaa alishamdhibiti vizuri huyo mwenye kisu na kabla hajafanikiwa kumpora kisu akaghairi alipoona afande kaelekeza "changamoto."

Kwanini askari asisaidiane na huyo raia mwema kumkamata huyo jamaa ili wakamuhoji zaidi? Ona sasa huwenda kapoteza taarifa muhimu kabisa ambazo alipaswa kuzichukua kutoka kwake

Lakini mimi naomba kujua je kila anayevamia askari kwenye hiyo nchi na kumshambulia ni gaidi wa hamas, au chanzo chako ulipoipata hiyo video ndo wamesema hicho ulichoandika?
Huyu mwenye kisu( nasita kumuita gaidi kwanza) atakuwa alikuwa anaimba ule wimbo wa kigaidi "Allahu Akbar, allahu akbar, Allahu akbar" ndo maana mwanajeshi akaona huu ni upumbavu akamfutilia mbali.
 
Mtu kautafuta ukimwi kauapata unaanzaje kumsikitikia
Duuh...! Hii inaingiaje hapa?.

Wapo walioongezewa damu tu
Kuna mtoto kazaliwa nao toka kwa mamaake. Huyu unamchukuliaje?. Usiongelee hiki kwa namna hii kama ulivyoongea hapa. Usifikiri wote walipitia njia ulizopitia wewe. Unawaumiza wengine kwa kejeri za kipumbavu.
 
Israel na Palestina sio suala la dini we matako.
Hilo ni suala la kugombania ardhi.
Sheriin Abu Akleh ni muanglican na alipigwa risasi na IDF kimakusudi kisa anaripoti uvunjaji nyumba wa IDF westbank.
Punguza umatako kijana.
images (1) (1) (1).jpeg
 
Hata kama Mimi ni huyo mwanajeshi ningevuta chuma
Shambulizi la kushtukiziwa hivyo pengine uyo gaidi alikuwa kajivika na mabomu pia
 
hahahah pole sana mjukuu wangu nadhani hujapata kusikia ule msemo usemao ukuanzae mmalize (mwinyi mpeku 1902)
Kuna mantiki sana kwenye swali lako sema wengi wanakukejeli tu bila kuelewa!

Kuna jamaa alishamdhibiti vizuri huyo mwenye kisu na kabla hajafanikiwa kumpora kisu akaghairi alipoona afande kaelekeza "changamoto."

Kwanini askari asisaidiane na huyo raia mwema kumkamata huyo jamaa ili wakamuhoji zaidi? Ona sasa huwenda kapoteza taarifa muhimu kabisa ambazo alipaswa kuzichukua kutoka kwake

Lakini mimi naomba kujua je kila anayevamia askari kwenye hiyo nchi na kumshambulia ni gaidi wa hamas, au chanzo chako ulipoipata hiyo video ndo wamesema hicho ulichoandika?
 
Huyu ni raia wa kawaida sio Hamas.
Ila shida dunia inaamini kila Mpalestina mpinga mzayuni ni Hamas.
Huyo ni mpslestina wa kawaida angeingia Hamas hapo pasingekalika muda huu.
Kuna sehemu ambazo hamas hawez kufika na silaha ya moto KAMWE. Hivyo hoja kuwa sio Hamas au ni Hamas Mungu wao( Allah) ndo anajua
 
Umepaniki mfia dini,hii duni bila uislamu ingelikuwa ni sehemu salama sana kwa binadamu kuishi.


Acheni kumpigania huyo mtume wenu mnyonya ndimi za wanaume na allah wa kule maka kwenye jiwe jeusi
1)World war 1.
2)World war 2.
3)Opium war.
4)Crusade war.
5)Scramble and African partition.
6)Colonialism.
7)Trans Atlantic /triangular slave trade.
Je haya maafa yote kasababisha muislam!???
Je haya yalivyotokea hayajaiumiza dunia??
 
Kuna sehemu ambazo hamas hawez kufika na silaha ya moto KAMWE. Hivyo hoja kuwa sio Hamas au ni Hamas Mungu wao( Allah) ndo anajua
Raia wa kipalestina wengi tu hutumia visu na bisibisi kuvamia IDF.
Wengine vijana wa miaka mpaka 18 au 17.
Tizama habari usiwe mvivu.
 
Mwanajeshi Yuko vizuri kwenye self defense,,👍
 
Umepaniki mfia dini,hii duni bila uislamu ingelikuwa ni sehemu salama sana kwa binadamu kuishi.


Acheni kumpigania huyo mtume wenu mnyonya ndimi za wanaume na allah wa kule maka kwenye jiwe jeusi
Nimepaniki au nakwambia ukweli?
Nikuletee list ya wakristo wapalestina waliouawa na IDF kimakusudi kuanzia Sherin Abu Akleh??

Regime change Haiti,Vietnam,Venezuela,Cuba,Iraq,Libya,Syria kote huko na maafa yake nani ameleta??
Au unataka kusema waislam wanahusika??
Embu lete ufafanuzi.
 
Kama video inavyoonekana hamas akimshambulia kwa kisu mwanajeshi wa Israel na jinsi mwanajeshi alivyo react kwa bunduki

Swali kubwa na lengo la thread hii je Ni Sawa Kwa Mwanajeshi mwenye mafunzo kutumia bunduki dhidi ya gaidi ambae yeye anakisu tu hii imekaaje kwa wataalum mnao fahamu.?

Najua Ingekuwa tanzania huyu mhalifu angepigwa kwa Mkono tu mpaka aachie kisu maana wanajeshi wetu wa huku kwa jinsi wanavyo tuonesha Tbc wakipasua mawe sidhani kama ingetumika BASTOLA.

MWISHO MUNGU IBARIKI TANZANIA AMANI ITAWALE KATIKA JINA LA YESU KRISTO AMINA [emoji120]

Mwanajeshi wa Israel ahukumiwe kunyongwa.
Gaidi wa Ki-islamu akikujia hata na njiti ya kiberiti mtangulize akastarehe na mabikra 72. Ukimuacha anakuua.
 
.
 
Israel na Palestina sio suala la dini we matako.
Hilo ni suala la kugombania ardhi.
Sheriin Abu Akleh ni muanglican na alipigwa risasi na IDF kimakusudi kisa anaripoti uvunjaji nyumba wa IDF westbank.
Punguza umatako kijana.
1000179731.jpg
 
Back
Top Bottom