Video: Hamas akimshambulia mwanajeshi. Je, ni sahihi mwanajeshi kutumia bunduki dhidi ya kisu?

Video: Hamas akimshambulia mwanajeshi. Je, ni sahihi mwanajeshi kutumia bunduki dhidi ya kisu?

Huo ndo ukweli japokuwa wapo wanaolazimisha kuingiza Udini kwenye mgogoro huo.
Hata mimi nashangaa.
Suala la Palestina na Israel mtu anaingizia udini kiasi kusema kama uislam usingekuwepo dunia ingekua salama.
Ndio maana nikamuuliza mjinga mmoja hapo juu vita za dunia,biashara ya utumwa ya mabara matatu,vita za kupindua utawala,ukoloni,mapigano ya mgawanyo wa Afrika je hayo yote yamesababishwa na uislam!?
Mpaka sasa hajajibu na kakimbia.
Kuna wakristu kibao wanauawa na IDF tena waanglican ila hilo wao hawalioni wanakimbilia udini.
 
Hapo jamaa alikuwa ana-shout alahu akibaru alahu akibaru akijua ameshafunga hesabu mapema saa nne asubuhi za kwenda kupokea bikra zake 72 zenye macho makubwa kama vikombe.
Dah! Hao mabikra 72 kuwapata ni gharama kweli-kweli. Vp haiwezekani Majamaa(Vidume) wakapunguziwa gharama? 😀
 
Ni sahihi maana gaidi anachohitaji yeye Si uhai bali ni mabikra 72 akhera lakini huyo mjeshi anaupenda uhai Bora amwaishe chapu akajitafunie tu hizo bikra 72
 
Ukiitizama hiyo video vizuri utagundua huyo hamas alikuwa na chance ya kumletea madhara huyo Mzayuni ila alikosea alipoenda kuanzia shingoni kufanya kilichompeleka pale,angeanzia kwenye mbavu saizi tunaongea mengine.

Mwanajeshi nae baada ya kugombelezewa na kukaa sawa akawaambia wale waliomthibiti gaidi wamuachie amuonyeshe kazi na kweli gaidi akajaa.
 
Hata mimi nashangaa.
Suala la Palestina na Israel mtu anaingizia udini kiasi kusema kama uislam usingekuwepo dunia ingekua salama.
Ndio maana nikamuuliza mjinga mmoja hapo juu vita za dunia,biashara ya utumwa ya mabara matatu,vita za kupindua utawala,ukoloni,mapigano ya mgawanyo wa Afrika je hayo yote yamesababishwa na uislam!?
Mpaka sasa hajajibu na kakimbia.
Kuna wakristu kibao wanauawa na IDF tena waanglican ila hilo wao hawalioni wanakimbilia udini.
Ni ukweli usiopingika kwamba wapo watu ni myopic kwenye issues za kimataifa. Likitokea jambo utawasikia e.g. ni Mazayuni, ni Upinde, kazi ya wavaa kobazi. ni mbinu ya USA (Westernes) n.k. n.k.
 
angeanzia kwenye mbavu saizi tunaongea mengine.
Kamtia kisu kimetokea mpaka nyuma upande wa kushoto hujaona anavuja damu hata hio bastola ilikua inamshinda kuikoki sababu ni hio hata kuishika ilikua kazi ukiangalia video ya kwanza utamuona pale alipoangushwa chini kachomwa kisu upande wa KUSHOTO damu zinachuruzika km maji
 
Yes exactly. Under field conditions; first come first saved. Tumia ulichonacho mkononi wakati huo. Usimkawize -hakuna mjadala.
Tunafundishwa kuwajari civilian ndio maana Jamaa akawaambia wamachie huyo adui awe peke yake ili asije akawawesha na civilian risasi za vichwa adui kaambiwa aweke silaha chini hajatii AMRI kajipeleka kamwesha risasi 2 tu sio nyingi zinamtosha kumkatisha pumzi halafu baada ya hapo yeye huyoo kawahi hospital kwenda kushona Jeraha la bisu alilopigwa na adui
 
Hata mimi nashangaa.
Suala la Palestina na Israel mtu anaingizia udini kiasi kusema kama uislam usingekuwepo dunia ingekua salama.
Ndio maana nikamuuliza mjinga mmoja hapo juu vita za dunia,biashara ya utumwa ya mabara matatu,vita za kupindua utawala,ukoloni,mapigano ya mgawanyo wa Afrika je hayo yote yamesababishwa na uislam!?
Mpaka sasa hajajibu na kakimbia.
Kuna wakristu kibao wanauawa na IDF tena waanglican ila hilo wao hawalioni wanakimbilia udini.
Mkuu upo sawa kabisa hii vita ni vita vya kupigania mipaka na ukandamizaji unao fanywa na wa Israel dhidi ya wa Palestine ambao obviously ni kama watu wasio na nchi ukiangalia Geographical Gaza strip na west bank zimekua Kama nchi mbili tofauti ambazo zote zinasimama as Palestine

but huwezi kupuuza swala la dini kwenye hii vita ni kitu kinacho waunganisha to fight their common enemy dini apo middle East is like adding gasoline in firewood
 
Mkuu upo sawa kabisa hii vita ni vita vya kupigania mipaka na ukandamizaji unao fanywa na wa Israel dhidi ya wa Palestine ambao obviously ni kama watu wasio na nchi ukiangalia Geographical Gaza strip na west bank zimekua Kama nchi mbili tofauti ambazo zote zinasimama as Palestine

but huwezi kupuuza swala la dini kwenye hii vita ni kitu kinacho waunganisha to fight their common enemy dini apo middle East is like adding gasoline in firewood
Dini inatumika ku boycott tu hizo conflict ila kiuhalisia dini haihusiki.
 
Dini inatumika ku boycott tu hizo conflict ila kiuhalisia dini haihusiki.
Hatuwezi kujidanganya Ina Play part zaidi ya asilimia 70

kill nonbeliever
Holy war
Jihad

Na maneno mengi yote yana stand kwa ajili ya dini na sio ardhi Ndio maana hata humu Jf watu wame choose sides kutokana na dini (bad thing hata wewe 😂)
Inashangaza kuona MTU anafurahia watoto wadogo kina Mama apo Gaza wanauwa Lakini chanzo ni nn Dini

Inashangaza MTU kuona anashangilia Hamas walivyo ua na kuteka mpaka vitoto vya 5 years old yooote ni kwa nini Kwa sababu ya dini

Religion is like opium to madman dini is like Cancer
 
Kwa mazingira hayo hakuna jinsi ambavyo huyo mwanajeshi wa Israel angefanya zaidi ya kuua!
Sema huyo mwanajeshi angekuwa muungwana,angempiga huyo gaidi risasi za miguuni tu ingetosha!
 
Hatuwezi kujidanganya Ina Play part zaidi ya asilimia 70

kill nonbeliever
Holy war
Jihad

Na maneno mengi yote yana stand kwa ajili ya dini na sio ardhi Ndio maana hata humu Jf watu wame choose sides kutokana na dini (bad thing hata wewe 😂)
Inashangaza kuona MTU anafurahia watoto wadogo kina Mama apo Gaza wanauwa Lakini chanzo ni nn Dini

Inashangaza MTU kuona anashangilia Hamas walivyo ua na kuteka mpaka vitoto vya 5 years old yooote ni kwa nini Kwa sababu ya dini

Religion is like opium to madman dini is like Cancer
Si kweli mzee.
Ila wacha nikuache uamini uaminivyo.
Ila kiuhalisia dini haihusiki kwa huo mzozo isipokua watu hutumia mgongo wa dini.
 
Hata mimi nashangaa.
Suala la Palestina na Israel mtu anaingizia udini kiasi kusema kama uislam usingekuwepo dunia ingekua salama.
Ndio maana nikamuuliza mjinga mmoja hapo juu vita za dunia,biashara ya utumwa ya mabara matatu,vita za kupindua utawala,ukoloni,mapigano ya mgawanyo wa Afrika je hayo yote yamesababishwa na uislam!?
Mpaka sasa hajajibu na kakimbia.
Kuna wakristu kibao wanauawa na IDF tena waanglican ila hilo wao hawalioni wanakimbilia udini.
Hiyo ni dunia ya watu wasiostaraabika enzi hizo saivi wamestarabika mengi ya matukio wameacha. Waislamu ndio wamebaki na hizo vurugu
 
Hiyo ni dunia ya watu wasiostaraabika enzi hizo saivi wamestarabika mengi ya matukio wameacha. Waislamu ndio wamebaki na hizo vurugu
Basi pole sana.
Regime change Iraq,Libya,Egypt,Venezuela je hiyo miaka ya nyuma??
Je hiyo imetokea miaka ya nyuma??
Je nani hutumia hayo makundi ya kuyanasibisha na dini kama sio hao wazungu wakiongozwa na USA??
Au umesahau USA anachofanya katika mataifa duni ku meet her interests!?
Haiti ambayo ina gang violence mpaka sasa silaha anafadhili USA je walijua hilo!?
 
Kuna mantiki sana kwenye swali lako sema wengi wanakukejeli tu bila kuelewa!

Kuna jamaa alishamdhibiti vizuri huyo mwenye kisu na kabla hajafanikiwa kumpora kisu akaghairi alipoona afande kaelekeza "changamoto."

Kwanini askari asisaidiane na huyo raia mwema kumkamata huyo jamaa ili wakamuhoji zaidi? Ona sasa huwenda kapoteza taarifa muhimu kabisa ambazo alipaswa kuzichukua kutoka kwake

Lakini mimi naomba kujua je kila anayevamia askari kwenye hiyo nchi na kumshambulia ni gaidi wa hamas, au chanzo chako ulipoipata hiyo video ndo wamesema hicho ulichoandika?
Wapo wengi magerezani wa kutoa hizo taarifa muhimu huyo psychopath alistahili kuwaishwa ahera
 
mnataka nyinyi muue ila msiuliwe bali mdhibitiwe , shenz kabisa wauaji wakubwa nyiny , hakuna wa kuwatunza hapa duniani
Taratibu mnamu yale ni mawazo yangu kama mchangia mada
 
Ushapuyanga.
Hamas ndio ideology ya kupiga Israel insurgence ila huyo kakusudia Hamas Al qassam fighter.
Kwahiyo wataka kusema kila mwenye ideology ya kupinga utawala wa Uingereza kisa ni Mkenya naye ni MAU MAU FIGHTER!?
Jinga kabisa.
Huna akili.
 
Back
Top Bottom