Video: Hamas wakiwaachia mateka wa Isreal. Wazee na watoto wakibebwa na Hamas kupandishwa katika magari

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Kwa hiyo mkuu unaona hiyo ni sifa?
Unajua inamaanisha nini?
1.Waliwaumiza sana wakati wanawateka kiasi kwamba hawawezi kutembea wenyewe tena.
2. Hawakuwahudumia kwa chakula na malazi bora wakati wanawashikilia
3. Wamewadunga sindano za kuwadhoofisha ili baadae waishilie kimya kimya.
Ningefurahi kuona wahanga wana afya bora,hiyo ningeiita sifa.
 
Mayahudi kwani si walikua wanawaua wapelestina au huoni hayo?
 
Wewe muongo na mnafiki. Wapigwe shindano wawe na furaha vile? Halafu huo uongo kwenu inaonekana ni jadi
 
Swali langu ni je,ukiletewa ndugu yako amebebwa wakati alitoka kwako akitembea utakenua meno kwa kusema aliyembeba ana roho nzuri au utajiuliza maswali ya nini kimempata?
kama utafurahia kuona amebewa,basi tukubali tunatofautiana mitizamo.
Na hivyo nikutakie mchana mwema.
 
Ulialishwa maneno na fikra kwamba makatili .sisi wenye akili tukapinga Dhana hio
 
Wewe muongo na mnafiki. Wapigwe shindano wawe na furaha vile? Halafu huo uongo kwenu inaonekana ni jadi
Kama ni Uongo twambie fact zako.
Kwanini hawana nguvu kiasi cha kubebwa? JF tunabishana kwa hoja siyo viroja mkuuu.
 
Vita inapaswa kuwa kati ya Jeshi na Jeshi siyo Jeshi dhidi ya raia, vitendo vya utekaji nyara wa raia ili kuwafanya ngao ya vita kamwe havikubaliki
 
Swali langu ni je,ukiletewa ndugu yako amebebwa wakati alitoka kwako akitembea utakenua meno kwa kusema aliyembeba ana roho nzuri au utajiuliza maswali ya nini kimempata?
kama utafurahia kuona amebewa,basi tukubali tunatofautiana mitizamo.
Na hivyo nikutakie mchana mwema.
 
Hamas ni watu wema tofauti mnavolishwa matango pori makanisani
 
Swali langu ni je,ukiletewa ndugu yako amebebwa wakati alitoka kwako akitembea utakenua meno kwa kusema aliyembeba ana roho nzuri au utajiuliza maswali ya nini kimempata?
kama utafurahia kuona amebewa,basi tukubali tunatofautiana mitizamo.
Na hivyo nikutakie asubuhi njema
 
hiyo mkuu unaona hiyo ni sifa?
Unajua inamaanisha nini?
1.Waliwaumiza sana wakati wanawateka kiasi kwamba hawawezi kutembea wenyewe tena.
2. Hawakuwahudumia kwa chakula na malazi bora wakati wanawashikilia
3. Wamewadunga sindano za kuwadhoofisha ili baadae waishilie kimya kimya.
Ningefurahi kuona wahanga wana afya bora,hiyo ningeiita sifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…