Video: Hamas wakiwaachia mateka wa Isreal. Wazee na watoto wakibebwa na Hamas kupandishwa katika magari

Video: Hamas wakiwaachia mateka wa Isreal. Wazee na watoto wakibebwa na Hamas kupandishwa katika magari

Kwa hiyo mkuu unaona hiyo ni sifa?
Unajua inamaanisha nini?
1.Waliwaumiza sana wakati wanawateka kiasi kwamba hawawezi kutembea wenyewe tena.
2. Hawakuwahudumia kwa chakula na malazi bora wakati wanawashikilia
3. Wamewadunga sindano za kuwadhoofisha ili baadae waishilie kimya kimya.
Ningefurahi kuona wahanga wana afya bora,hiyo ningeiita sifa.
Hizo porojo zako msome Mateka mwenyewe.

View: https://x.com/censoredmen/status/1728573117310570857?s=48&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Mpaka hapo nimeishathibitisha,kama ulimteka mtu ukamchukua anatembea
Tunapata wapi akili ya kukupongeza kwa kumrudisha umembeba?
Mazingira magumu yaliyosababishwa na Jeshi la Israel yamekuwa na madhara kwa maisha ya kila siku na kwa kila kiumbe kilichopo Gaza si kwamateka tu bali kwa watu wote.
Ni Israel iliyozuia na kukata kila aina ya huduma anayopaswa kupewa Mwanaadamu kuingia Gaza, na hilo pia unataka kuilaumu Hamas!?
 
Mazingira magumu yaliyosababishwa na Jeshi la Israel yamekuwa na madhara kwa maisha ya kila siku na kwa kila kiumbe kilichopo Gaza si kwamateka tu bali kwa watu wote.
Ni Israel iliyozuia na kukata kila aina ya huduma anayopaswa kupewa Mwanaadamu kuingia Gaza, na hilo pia unataka kuilaumu Hamas!?
Hivi mvua ikinyesha ikasababisha mafuriko yakavunja daraja,unalaumu mvua ,mafuriko au daraja lililovunjika?
 
Kila mwenye akili timamu atailaumu Hamas iliyoanzisha mziki isiyoweza kuucheza.
Humu duniani kuna mambo mengi yanatukwaza,ila tunaamua kuachana nayo kwa kuangalia maamuzi
tunayotaka kuyachukua na madhara yatakayotupata baada ya maamzi tutakayo yachukua.
Kuendelea kupaza sauti kwa njia ya amani nayo ni njia sahihi.
 
Unajidanganya
Netanyau leo kasisitiza kuwa baada ya mapumziko wataanza na nguvu mpya gaza kusini.
Mashimo yote kaskazini yameishafukiwa.Sasa ni mwendo wa watu kuanza kuishi juu ya uso wa ardhi
sawasawa na uumbaji wa Mungu,mashimo tuwaachie panya buku.
 
Netanyau leo kasisitiza kuwa baada ya mapumziko wataanza na nguvu mpya gaza kusini.
Mashimo yote kaskazini yameishafukiwa.Sasa ni mwendo wa watu kuanza kuishi juu ya uso wa ardhi
sawasawa na uumbaji wa Mungu,mashimo tuwaachie panya buku.
Hana uwezo huo. Kama siku 50 mateka wanatolewa kwenye mapaja ya majeshi ya Isreal.
 
Hana uwezo huo. Kama siku 50 mateka wanatolewa kwenye mapaja ya majeshi ya Isreal.
Muda utaongea usizime simu wala komputa
ila wajulishe wenzio,wapunguze malalamiko kwamba wanawake na watoto wanauwawa utadhani nchi haina wanaume,
 
Kwa hiyo mkuu unaona hiyo ni sifa?
Unajua inamaanisha nini?
1.Waliwaumiza sana wakati wanawateka kiasi kwamba hawawezi kutembea wenyewe tena.
2. Hawakuwahudumia kwa chakula na malazi bora wakati wanawashikilia
3. Wamewadunga sindano za kuwadhoofisha ili baadae waishilie kimya kimya.
Ningefurahi kuona wahanga wana afya bora,hiyo ningeiita sifa.
Haya yote uliyapata wapi? Kutoka propaganda za wazayuni au msalaba mwekundu?
 
Ukweli ni kuwa Israel imewaua maelfu ya watoto wachanga, madaktari, wanahabari, vizee na kadhalika. LAKINI wameshindwa kuwadhibiti Hamas. Hebu tuonyesheni picha za Hamas walioshikwa au kuuawa? Bado wangali wapo. Somaa makala ya John Bolton aaliyekuwa waziri wa Marekani
 
Back
Top Bottom