Video: Hamas wakiwaachia mateka wa Isreal. Wazee na watoto wakibebwa na Hamas kupandishwa katika magari

Video: Hamas wakiwaachia mateka wa Isreal. Wazee na watoto wakibebwa na Hamas kupandishwa katika magari

hiyo mkuu unaona hiyo ni sifa?
Unajua inamaanisha nini?
1.Waliwaumiza sana wakati wanawateka kiasi kwamba hawawezi kutembea wenyewe tena.
2. Hawakuwahudumia kwa chakula na malazi bora wakati wanawashikilia
3. Wamewadunga sindano za kuwadhoofisha ili baadae waishilie kimya kimya.
Ningefurahi kuona wahanga wana afya bora,hiyo ningeiita sifa.
Ndio ulivyocremishwa na Gwajima
 
Kwa hiyo mkuu unaona hiyo ni sifa?
Unajua inamaanisha nini?
1.Waliwaumiza sana wakati wanawateka kiasi kwamba hawawezi kutembea wenyewe tena.
2. Hawakuwahudumia kwa chakula na malazi bora wakati wanawashikilia
3. Wamewadunga sindano za kuwadhoofisha ili baadae waishilie kimya kimya.
Ningefurahi kuona wahanga wana afya bora,hiyo ningeiita sifa.
Ndiyo dunia ione mazayuni walivyo.
 
Swali langu ni je,ukiletewa ndugu yako amebebwa wakati alitoka kwako akitembea utakenua meno kwa kusema aliyembeba ana roho nzuri au utajiuliza maswali ya nini kimempata?
kama utafurahia kuona amebewa,basi tukubali tunatofautiana mitizamo.
Na hivyo nikutakie mchana mwema.
Mazayuni walikuwa hawataki hata kuongea kuhusu kubadilishana mateka, baada ya kichapo wamesalimu amri.
 
Kwa hiyo mkuu unaona hiyo ni sifa?
Unajua inamaanisha nini?
1.Waliwaumiza sana wakati wanawateka kiasi kwamba hawawezi kutembea wenyewe tena.
2. Hawakuwahudumia kwa chakula na malazi bora wakati wanawashikilia
3. Wamewadunga sindano za kuwadhoofisha ili baadae waishilie kimya kimya.
Ningefurahi kuona wahanga wana afya bora,hiyo ningeiita sifa.
Toa uthibitisho wa madai yako
 
Kwa hiyo mkuu unaona hiyo ni sifa?
Unajua inamaanisha nini?
1.Waliwaumiza sana wakati wanawateka kiasi kwamba hawawezi kutembea wenyewe tena.
2. Hawakuwahudumia kwa chakula na malazi bora wakati wanawashikilia
3. Wamewadunga sindano za kuwadhoofisha ili baadae waishilie kimya kimya.
Ningefurahi kuona wahanga wana afya bora,hiyo ningeiita sifa.
Wameshapimwa na kuonekana wako katika hali nzuri na watu wa Netanyahu.Wachache tu ndio wamechoka sana.
Sasa wewe Nyau sijui unasemaje

Most freed Israeli hostages appear in good physical health, some ‘feeble, exhausted’

 
Vita inapaswa kuwa kati ya Jeshi na Jeshi siyo Jeshi dhidi ya raia, vitendo vya utekaji nyara wa raia ili kuwafanya ngao ya vita kamwe havikubaliki
Vipi kuhusu maelfu ya watoto walio shikiliwa kwenye jera za Israel hao ni halali kuwa humo?
 
Alafu si tuliwaambia Hamas huwa hawana sale?
 
Tumeona wafungwa wa kipalestina wakiojiwa hadharani na kuelezea jinsi walivyokuwa wakinyanyaswa magerezani

Naona waisrael wanaogopa kuwahoji hadharani mateka walioachiwa toka yule kibibi kilivyochomoa betri kwa kusema walikuwa wanahudimiwa vizuri sana na walikuwa wanapatiwa mahitaji yote waliyoyahiyaji
 
Hamna maana nyie wafilisti bandia. Mkipigwa kelele nyingiiiii mara anaua watoto na wanawake... Mkihurumiwa vyakula viingie Gaza mnasema yahudi ameshindwa..
Yahudi hana huruma. Ngoja siku aje kuripua Vatican ndio utajua
 
Tumeona wafungwa wa kipalestina wakiojiwa hadharani na kuelezea jinsi walivyokuwa wakinyanyaswa magerezani

Naona waisrael wanaogopa kuwahoji hadharani mateka walioachiwa toka yule kibibi kilivyochomoa betri kwa kusema walikuwa wanahudimiwa vizuri sana na walikuwa wanapatiwa mahitaji yote waliyoyahiyaji
Huitaji hata elimu ya form IV kujua kwamba mateka wepi walikuwa kwenye mateso, ukiwaangalia wafungwa wa Palestine waliokuwa Israel wanaonekana Wana afya njema sana hiyo inaonyesha ni jinsi Gani walikuwa treated vizur ila upande wa pili ni tofauti mno.
 
Wangekua na huruma wasingewateka. Shuaini zao wametuulia kijana wetu
 
Wangekua na huruma wasingewateka. Shuaini zao wametuulia kijana wetu
Hii sawa na chadema wakiambiwa wasiandamane. Halafu wakaandamana wakapigwa ukasema kwanini wamepigwa
 
Chadema na kifo cha mtenga inahusianaje?je aliandamana? Je kati ya hamas na Israel nani alianza kumvamia mwenzie?
Hii sawa na chadema wakiambiwa wasiandamane. Halafu wakaandamana wakapigwa ukasema kwanini wamepigwa
 
Mayahudi kwani si walikua wanawaua wapelestina au huoni hayo?
Hivi ile October 7th wasingefanya mambo ya kibislaamal haya yote yangetokea?

Katika dunia hii hata ufanyeje Yesu atabaki kuwa Mmoja na Prophet Mohamed atabakia kuwa mmoja tuu hakuna mtu atajaribu hata kusogelea vipawa walivyopewa na Mungu, wajibu wetu sisi uwe ni kuabudu tuu na sio kuua watu kwa visingizio vya dini, huo ni upuuzi mkubwa sana.
 
Swali langu. NI CHIMBO GANI AMBALO WALIFICHWA AMBALO ISRAEL ALISHINDWA KUFIKA?
Mkuu huenda handaki zinavuka mipaka ya Israel.
Hujiulizi kwanini vita ilisimamishwa saa 1 asubuhi mataka wakaletwa masaa mengi baadae?

Hii inaashiria mateka walifichwa mbali.
 
Back
Top Bottom