Bacary Salama
Member
- Feb 14, 2017
- 52
- 32
Usicoment ujinga unajua wengi wanapita humu sasa nigeria gani inayomjua huyo dogo at same time haimjui daimond?huyu hamorapa ni maarufu kumzidi Diamond mpaka Nigeria wanamjua
Alifafanua akasema sio wenye sura mbaya bali wale wenye muonekano wa kiume I guess ni ile mijetromeni kama idris Elba.......[emoji23] [emoji23] [emoji23] anaongea tu yule nahisi ni kiki, kwani msami ana sura Chungu???
mdomo uliponza kichwa,,bora ungenyamaza kuliko kukandia kias hicho alaf wanawake wenzako siku hizi mnaangalia pesa tu wew endelea kutafuta handsome boy..Ila huyu kaka achilia mbali yote anayofanya ila ana sura chungu jamani daah , hivi wanawake wanapata wapi ujasiri wa kudate na huyu kaka asee , kama wanaune wote wameisha wamebaki kama kina harmorapa I rather be single asee[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13].. Mungu anisamehe[emoji120] [emoji120] [emoji40] [emoji40]
Wanawake ni viumbe wa ajabu sanaIla huyu kaka achilia mbali yote anayofanya ila ana sura chungu jamani daah , hivi wanawake wanapata wapi ujasiri wa kudate na huyu kaka asee , kama wanaune wote wameisha wamebaki kama kina harmorapa I rather be single asee[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13].. Mungu anisamehe[emoji120] [emoji120] [emoji40] [emoji40]
Kawaida yenu kudiss hata diamond mlimuita domo kisha kwa sasa mnaomba kupiganae selfieIla huyu kaka achilia mbali yote anayofanya ila ana sura chungu jamani daah , hivi wanawake wanapata wapi ujasiri wa kudate na huyu kaka asee , kama wanaune wote wameisha wamebaki kama kina harmorapa I rather be single asee[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13].. Mungu anisamehe[emoji120] [emoji120] [emoji40] [emoji40]
hata mm pia jisongi lake nmelielewa sana dogo big up kwake..Nimeusikiliza wimbo wake ni zinga la truck na niwazi kaaandikiwa kabisa.
Hii akiifanyia promo ya kutosha lazima itatisha... alilyemuandikia amempatia sana tena sana
very true..Kila mtu ni HB tatizo mazingira mtu aliokulia, mtu unakula ugali na mchunga au mgagani kila ukimeza tonge unakunja uso at the time unafikisha 20 years tayari sura inakuwa ngumu lakini fedha ikipatikana tabasamu na maisha ya furaha yanafanya mkunjo ya uso kunyooka automatically
KhaaaaHoney Burger.
Duuuuuuuu we kibokoUnamjua masudi sura mbaya.?hamorapa mchumba.
Ahahahahaaaaaaaaa, haki ya mungu jamii forum raha sanaAnaweza akasugua hicho kinembe chako mpaka ukamuona handsome....kwani mna akili nyinyi sasa
we binti umeolewa ?Ila huyu kaka achilia mbali yote anayofanya ila ana sura chungu jamani daah , hivi wanawake wanapata wapi ujasiri wa kudate na huyu kaka asee , kama wanaune wote wameisha wamebaki kama kina harmorapa I rather be single asee[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13].. Mungu anisamehe[emoji120] [emoji120] [emoji40] [emoji40]
Unataka awe na mijino km yako hapo kwenye avat..! Mijino km kuni.yani huyu jamaa ukimuangalia vibaya unaweza kusema ni kibogoyo.
Muombe sir God uwe na akiba ya Maneno itakusaidia kwenye maisha yakoIla huyu kaka achilia mbali yote anayofanya ila ana sura chungu jamani daah , hivi wanawake wanapata wapi ujasiri wa kudate na huyu kaka asee , kama wanaune wote wameisha wamebaki kama kina harmorapa I rather be single asee[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13].. Mungu anisamehe[emoji120] [emoji120] [emoji40] [emoji40]
Ukizeeka usipokuwa mchawi utakuwa mwangaHamoRapa ni mgonjwa wa akili.
Umemaliza kuzaa au bado? teh teh angalia usije zaa mtoto hamorapa aonekane HB dhidi ya mwanaoIla huyu kaka achilia mbali yote anayofanya ila ana sura chungu jamani daah , hivi wanawake wanapata wapi ujasiri wa kudate na huyu kaka asee , kama wanaune wote wameisha wamebaki kama kina harmorapa I rather be single asee[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13].. Mungu anisamehe[emoji120] [emoji120] [emoji40] [emoji40]
Hakika Mungu hajawah kosea katka uumbaji.Hivo usikufuru ndugu yangu.Hiyo unayoiona sura yako tam sekunde tu inaweza kuwa zaid ya binadam mwenzetu(Hamo)Ila huyu kaka achilia mbali yote anayofanya ila ana sura chungu jamani daah , hivi wanawake wanapata wapi ujasiri wa kudate na huyu kaka asee , kama wanaune wote wameisha wamebaki kama kina harmorapa I rather be single asee[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13].. Mungu anisamehe[emoji120] [emoji120] [emoji40] [emoji40]