Video: Harmo rapa akiwa katika utengenezaji wa video ya nyimbo yake mpya,

Video: Harmo rapa akiwa katika utengenezaji wa video ya nyimbo yake mpya,

[emoji23] [emoji23] [emoji23] anaongea tu yule nahisi ni kiki, kwani msami ana sura Chungu???
Alifafanua akasema sio wenye sura mbaya bali wale wenye muonekano wa kiume I guess ni ile mijetromeni kama idris Elba.......

Na sio wabana pua wazee wakutongoza huku wanalamba lips hapa nahisi alikuwa akiwazungumzia watu kama kina Hemed PHD

Harmorappa unamuweka kundi gani?
 
Ila huyu kaka achilia mbali yote anayofanya ila ana sura chungu jamani daah , hivi wanawake wanapata wapi ujasiri wa kudate na huyu kaka asee , kama wanaune wote wameisha wamebaki kama kina harmorapa I rather be single asee[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13].. Mungu anisamehe[emoji120] [emoji120] [emoji40] [emoji40]
a71dc972097f518314508d0bcbda4c2d.jpg
mdomo uliponza kichwa,,bora ungenyamaza kuliko kukandia kias hicho alaf wanawake wenzako siku hizi mnaangalia pesa tu wew endelea kutafuta handsome boy..
 
Ila huyu kaka achilia mbali yote anayofanya ila ana sura chungu jamani daah , hivi wanawake wanapata wapi ujasiri wa kudate na huyu kaka asee , kama wanaune wote wameisha wamebaki kama kina harmorapa I rather be single asee[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13].. Mungu anisamehe[emoji120] [emoji120] [emoji40] [emoji40]
a71dc972097f518314508d0bcbda4c2d.jpg
Wanawake ni viumbe wa ajabu sana

Kwahiyo usishangae nawe ukakwama kwa mtu kama yeye au zaidi yake nasi tukakushangaa pia
 
Ila huyu kaka achilia mbali yote anayofanya ila ana sura chungu jamani daah , hivi wanawake wanapata wapi ujasiri wa kudate na huyu kaka asee , kama wanaune wote wameisha wamebaki kama kina harmorapa I rather be single asee[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13].. Mungu anisamehe[emoji120] [emoji120] [emoji40] [emoji40]
a71dc972097f518314508d0bcbda4c2d.jpg
Kawaida yenu kudiss hata diamond mlimuita domo kisha kwa sasa mnaomba kupiganae selfie
 
Nimeusikiliza wimbo wake ni zinga la truck na niwazi kaaandikiwa kabisa.
Hii akiifanyia promo ya kutosha lazima itatisha... alilyemuandikia amempatia sana tena sana
hata mm pia jisongi lake nmelielewa sana dogo big up kwake..
 
Kila mtu ni HB tatizo mazingira mtu aliokulia, mtu unakula ugali na mchunga au mgagani kila ukimeza tonge unakunja uso at the time unafikisha 20 years tayari sura inakuwa ngumu lakini fedha ikipatikana tabasamu na maisha ya furaha yanafanya mkunjo ya uso kunyooka automatically
very true..
 
Ila huyu kaka achilia mbali yote anayofanya ila ana sura chungu jamani daah , hivi wanawake wanapata wapi ujasiri wa kudate na huyu kaka asee , kama wanaune wote wameisha wamebaki kama kina harmorapa I rather be single asee[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13].. Mungu anisamehe[emoji120] [emoji120] [emoji40] [emoji40]
a71dc972097f518314508d0bcbda4c2d.jpg
we binti umeolewa ?
 
Ila huyu kaka achilia mbali yote anayofanya ila ana sura chungu jamani daah , hivi wanawake wanapata wapi ujasiri wa kudate na huyu kaka asee , kama wanaune wote wameisha wamebaki kama kina harmorapa I rather be single asee[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13].. Mungu anisamehe[emoji120] [emoji120] [emoji40] [emoji40]
a71dc972097f518314508d0bcbda4c2d.jpg
Muombe sir God uwe na akiba ya Maneno itakusaidia kwenye maisha yako
 
[HASHTAG]#HarmoRapa4MtvAward2017[/HASHTAG]
 
Ila huyu kaka achilia mbali yote anayofanya ila ana sura chungu jamani daah , hivi wanawake wanapata wapi ujasiri wa kudate na huyu kaka asee , kama wanaune wote wameisha wamebaki kama kina harmorapa I rather be single asee[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13].. Mungu anisamehe[emoji120] [emoji120] [emoji40] [emoji40]
a71dc972097f518314508d0bcbda4c2d.jpg
Umemaliza kuzaa au bado? teh teh angalia usije zaa mtoto hamorapa aonekane HB dhidi ya mwanao
 
Ila huyu kaka achilia mbali yote anayofanya ila ana sura chungu jamani daah , hivi wanawake wanapata wapi ujasiri wa kudate na huyu kaka asee , kama wanaune wote wameisha wamebaki kama kina harmorapa I rather be single asee[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13].. Mungu anisamehe[emoji120] [emoji120] [emoji40] [emoji40]
a71dc972097f518314508d0bcbda4c2d.jpg
Hakika Mungu hajawah kosea katka uumbaji.Hivo usikufuru ndugu yangu.Hiyo unayoiona sura yako tam sekunde tu inaweza kuwa zaid ya binadam mwenzetu(Hamo)
 
Back
Top Bottom