Hajapata wa kumpeleka kwenye mambo yenu yale...mbele kioo, dating sio sura tu,kuna mengi hasa kwenu kama vigezo,Ila huyu kaka achilia mbali yote anayofanya ila ana sura chungu jamani daah , hivi wanawake wanapata wapi ujasiri wa kudate na huyu kaka asee , kama wanaune wote wameisha wamebaki kama kina harmorapa I rather be single asee[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13].. Mungu anisamehe[emoji120] [emoji120] [emoji40] [emoji40]
Kama ni kithembe ilipaswa kuwa " uthigawe patho",,,,Hahaha alafu ana anakisembe usigawe Paso yeye anasema "uthigawe pathi"
Anakuwa kijana, reverse maturityNatamani kumwona Harmorapa akishazeeka atakuaje
Wanawake hawana "vichwa"...less thinking...hppy women's dayWanawake ni viumbe wa ajabu sana
Kwahiyo usishangae nawe ukakwama kwa mtu kama yeye au zaidi yake nasi tukakushangaa pia
Angekuwa amemaliza ungemkuta humu....[emoji102]Umemaliza kuzaa au bado? teh teh angalia usije zaa mtoto hamorapa aonekane HB dhidi ya mwanao
Pamoja na kupewa siku mbili lakini bado ni pasua kichwa.Wanawake hawana "vichwa"...less thinking...hppy women's day
Umauti uliisha mkuta ndugu masudi mtoto wa Ilala sharifu shamba.Unamjua masudi sura mbaya.?hamorapa mchumba.