Video: Harmo rapa akiwa katika utengenezaji wa video ya nyimbo yake mpya,

Video: Harmo rapa akiwa katika utengenezaji wa video ya nyimbo yake mpya,

Wanaune wa dar mnamchukia harmo rapper kwa sababu hapaki wanja na lipbum kama kina diamond... Wivu umewajaa..
 
Hakika Mungu hajawah kosea katka uumbaji.Hivo usikufuru ndugu yangu.Hiyo unayoiona sura yako tam sekunde tu inaweza kuwa zaid ya binadam mwenzetu(Hamo)
Hao wanaomcheka harmorapa ndo wanakesha masaloon kupaka makeup wanajua kila sina ya mikorogo at least wawe weupe wapate muonekano.wanashinda kwa wachina kunenepesha nyonyo na wowowo!!
Swala la uumbaji sio swala la mtu binafsi mungu ametuumba kwa Mapenzi na kwa mfano wake yake yeye,ukimwona mbaya mamake anamuona nzuri,popote mamake anajua kijana wake yuko mjini anapambana....tukiamua kuweka sura zetu hapa tutakimbiana...
 
Yooohhh Pop it in[emoji23] [emoji23] [emoji350] [emoji445] huyu Harmorapa anautani na Team flani hivi ile ya..."Bado bado sijapona[emoji15] [emoji40] [emoji40] [emoji36] "
 

Attachments

  • efbcc517147581885d6c0d5bbdc11cd5.jpg
    efbcc517147581885d6c0d5bbdc11cd5.jpg
    24.7 KB · Views: 59
Ila huyu kaka achilia mbali yote anayofanya ila ana sura chungu jamani daah , hivi wanawake wanapata wapi ujasiri wa kudate na huyu kaka asee , kama wanaune wote wameisha wamebaki kama kina harmorapa I rather be single asee[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13].. Mungu anisamehe[emoji120] [emoji120] [emoji40] [emoji40]
a71dc972097f518314508d0bcbda4c2d.jpg
mkuu kabla hujafa haujaumbika...kwa hiyo mshukuru Mungu kwa vile ulivyo..na hakuna makosa katika uumbaji wa Mungu
 
Kwamba harmo sio wa nchi hii kwa hivi vichupa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ila huyu kaka achilia mbali yote anayofanya ila ana sura chungu jamani daah , hivi wanawake wanapata wapi ujasiri wa kudate na huyu kaka asee , kama wanaune wote wameisha wamebaki kama kina harmorapa I rather be single asee[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13].. Mungu anisamehe[emoji120] [emoji120] [emoji40] [emoji40]
a71dc972097f518314508d0bcbda4c2d.jpg
Siku hizi wanasema kikubwa uwe na chapaa. Sura hata mbuzi anayo
 
Ila huyu kaka achilia mbali yote anayofanya ila ana sura chungu jamani daah , hivi wanawake wanapata wapi ujasiri wa kudate na huyu kaka asee , kama wanaune wote wameisha wamebaki kama kina harmorapa I rather be single asee[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13].. Mungu anisamehe[emoji120] [emoji120] [emoji40] [emoji40]
a71dc972097f518314508d0bcbda4c2d.jpg
Mtake radhi muumba wako let say wew ndo unahiyo sura utajiskiaje unapoambiwa hivo halafu wewe inaonekana unasura mbaya halafu mwanaume awe na sura nziri ili iweje fu*****
 
Ila huyu kaka achilia mbali yote anayofanya ila ana sura chungu jamani daah , hivi wanawake wanapata wapi ujasiri wa kudate na huyu kaka asee , kama wanaune wote wameisha wamebaki kama kina harmorapa I rather be single asee[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13].. Mungu anisamehe[emoji120] [emoji120] [emoji40] [emoji40]
a71dc972097f518314508d0bcbda4c2d.jpg
Mwanaume hasifiwi urembo dada
 
FB_IMG_1488481203846.jpg
Sura ya kazi kweli nimeamini huyu ni kiboko ya mabishoo
 
Back
Top Bottom