mkulungwa02
Senior Member
- May 24, 2020
- 193
- 154
Hao ambao hawabishi wanawaza kama Mimi?au mm nina uwezo wa kuwaza kama wao?Kwahiyo wote waliomsifia na wanaoendelea kumsifia wanatafuta cheo? Hiv uoni aibu kuwa pekee yako tu ndio unaopinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ambao hawabishi wanawaza kama Mimi?au mm nina uwezo wa kuwaza kama wao?Kwahiyo wote waliomsifia na wanaoendelea kumsifia wanatafuta cheo? Hiv uoni aibu kuwa pekee yako tu ndio unaopinga
We ulitakaje?Mkuu mbona umeumia sana jamaa kuiponda WCB na mond,vipi wanakulipa nn?
Wewe wakwanzaTena clouds ndo wanafiki wa mwisho wale
Halafu wewe wa pili au cyoWewe wakwanza
-ve 1Halafu wewe wa pili au cyo
Wacha apunguze msongo wa mawazo. Yule punda aliengia pale jerusalem na akapita juu ya yale mazuria na nguo za wale wakina mama akiwa amembeba yesu, ndo HARMONIZE sasa.
Emb fikria kama yule punda baadae angejiona yeye nae anathaman afu arudi pale jerusalem pekeake, akiwa hajambeba Yesu angeyapata yale mapokezi??
Si ajabu ata angerushiwa fimbo na mawe.Wakat mwngne tunafanikiw kulingana na watu tulionao.
HARMONIZE una mlima mrefu sana wa kupanda.
Unazo evidence mkuu ? Maana naona kama unatuletea story za vijiweni wengine hatuna u team ila tunapenda kusoma habari zenye factsSasa je?
Kama hujui ni kuwa mambo yote anafanya meneja wake salam SK
Ni figisu za kutengenezwa tu hata Ile kipindi DJ khalled Ana mfollow,rockrose pia akamfollow yote ni nguvu ya pesa tu hamna kingine
Tatzo sio evidenceUnazo evidence mkuu ? Maana naona kama unatuletea story za vijiweni wengine hatuna u team ila tunapenda kusoma habari zenye facts
Leta evidence mkono mtupu haulambwi acha maneno mengi huku unasomwa na kila mtu na kila rikaTatzo sio evidence
Zikipatikana utaweza ongea chochote?
Sometimes abortion is an option..a wasted sperm..Sasa je?
Kama hujui ni kuwa mambo yote anafanya meneja wake salam SK
Ni figisu za kutengenezwa tu hata Ile kipindi DJ khalled Ana mfollow,rockrose pia akamfollow yote ni nguvu ya pesa tu hamna kingine
Shikamoo mkuuWacha apunguze msongo wa mawazo. Yule punda aliengia pale jerusalem na akapita juu ya yale mazuria na nguo za wale wakina mama akiwa amembeba yesu, ndo HARMONIZE sasa.
Emb fikria kama yule punda baadae angejiona yeye nae anathaman afu arudi pale jerusalem pekeake, akiwa hajambeba Yesu angeyapata yale mapokezi??
Si ajabu ata angerushiwa fimbo na mawe.Wakat mwngne tunafanikiw kulingana na watu tulionao.
HARMONIZE una mlima mrefu sana wa kupanda.
Nzuri sana hii mkuu.👏Wacha apunguze msongo wa mawazo. Yule punda aliengia pale jerusalem na akapita juu ya yale mazuria na nguo za wale wakina mama akiwa amembeba yesu, ndo HARMONIZE sasa.
Emb fikria kama yule punda baadae angejiona yeye nae anathaman afu arudi pale jerusalem pekeake, akiwa hajambeba Yesu angeyapata yale mapokezi??
Si ajabu ata angerushiwa fimbo na mawe.Wakat mwngne tunafanikiw kulingana na watu tulionao.
HARMONIZE una mlima mrefu sana wa kupanda.
Mwalimu m-kuu-mamaako, ndo maana siwezi kukubishia hapa, ngoja nikae kimya tu..!kama umeandika point kumbe uchawi mtupu momo.
Hili tusi bado mnatumia huko[emoji16][emoji16][emoji16]Mwalimu m-kuu-mamaako, ndo maana siwezi kukubishia hapa, ngoja nikae kimya tu..!
Kamuulize mzazi wako wa kike..!Hili tusi bado mnatumia huko[emoji16][emoji16][emoji16]
Ndio kusema hujijui au makusudi!!![emoji16][emoji16]Kamuulize mzazi wako wa kike..!
Duuuh mondi amhonge dj khaleedSasa je?
Kama hujui ni kuwa mambo yote anafanya meneja wake salam SK
Ni figisu za kutengenezwa tu hata Ile kipindi DJ khalled Ana mfollow,rockrose pia akamfollow yote ni nguvu ya pesa tu hamna kingine
Harmonize ametumia technic nzuri ili kupunguza chuki za team WCB wanaomuandama na ukizingatia Harmonize Hana mashabiki wengi na amefanya hivyo ili kuongeza mashabiki wa WCB wampende.