Video: Harmonize akicheza wimbo wa Jeje wa Diamond Platnumz

Video: Harmonize akicheza wimbo wa Jeje wa Diamond Platnumz

Mkuu nimependa sana huu mfano wako
Wacha apunguze msongo wa mawazo. Yule punda aliengia pale jerusalem na akapita juu ya yale mazuria na nguo za wale wakina mama akiwa amembeba yesu, ndo HARMONIZE sasa.

Emb fikria kama yule punda baadae angejiona yeye nae anathaman afu arudi pale jerusalem pekeake, akiwa hajambeba Yesu angeyapata yale mapokezi??

Si ajabu ata angerushiwa fimbo na mawe.Wakat mwngne tunafanikiw kulingana na watu tulionao.
HARMONIZE una mlima mrefu sana wa kupanda.
 
Sasa je?
Kama hujui ni kuwa mambo yote anafanya meneja wake salam SK
Ni figisu za kutengenezwa tu hata Ile kipindi DJ khalled Ana mfollow,rockrose pia akamfollow yote ni nguvu ya pesa tu hamna kingine
Unazo evidence mkuu ? Maana naona kama unatuletea story za vijiweni wengine hatuna u team ila tunapenda kusoma habari zenye facts
 
Sasa je?
Kama hujui ni kuwa mambo yote anafanya meneja wake salam SK
Ni figisu za kutengenezwa tu hata Ile kipindi DJ khalled Ana mfollow,rockrose pia akamfollow yote ni nguvu ya pesa tu hamna kingine
Sometimes abortion is an option..a wasted sperm..
Kila kitu kwako ni chuki tu..punguza mihemko mzee,haya tueleze alimlipa bei gan dj khalled? Alilipa bei gn kwa rickrose? show za afcon alihonga bei gan?...maniga huwa wana kunja sura,wanakunjua roho..
 
Wacha apunguze msongo wa mawazo. Yule punda aliengia pale jerusalem na akapita juu ya yale mazuria na nguo za wale wakina mama akiwa amembeba yesu, ndo HARMONIZE sasa.

Emb fikria kama yule punda baadae angejiona yeye nae anathaman afu arudi pale jerusalem pekeake, akiwa hajambeba Yesu angeyapata yale mapokezi??

Si ajabu ata angerushiwa fimbo na mawe.Wakat mwngne tunafanikiw kulingana na watu tulionao.
HARMONIZE una mlima mrefu sana wa kupanda.
Shikamoo mkuu
 
Wacha apunguze msongo wa mawazo. Yule punda aliengia pale jerusalem na akapita juu ya yale mazuria na nguo za wale wakina mama akiwa amembeba yesu, ndo HARMONIZE sasa.

Emb fikria kama yule punda baadae angejiona yeye nae anathaman afu arudi pale jerusalem pekeake, akiwa hajambeba Yesu angeyapata yale mapokezi??

Si ajabu ata angerushiwa fimbo na mawe.Wakat mwngne tunafanikiw kulingana na watu tulionao.
HARMONIZE una mlima mrefu sana wa kupanda.
Nzuri sana hii mkuu.👏
 
Tatizooo masikiini wengii wa akili humu ndoo wanaooona jamaa hana jipyaa lakn he stil make his own money na kunaa yukoo kwa kaka ake anasemaa hana lolotee
 
Sasa je?
Kama hujui ni kuwa mambo yote anafanya meneja wake salam SK
Ni figisu za kutengenezwa tu hata Ile kipindi DJ khalled Ana mfollow,rockrose pia akamfollow yote ni nguvu ya pesa tu hamna kingine
Duuuh mondi amhonge dj khaleed
 
Asitake kutuchefua sisi wazee was usafini, akakojoe alale
Harmonize ametumia technic nzuri ili kupunguza chuki za team WCB wanaomuandama na ukizingatia Harmonize Hana mashabiki wengi na amefanya hivyo ili kuongeza mashabiki wa WCB wampende.
 
Back
Top Bottom