Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafuu Wakenya wametufungua macho.Angetaja vifungu vilivyovunjwa
Wewe ulitaka wakikopeshana wafanyeje hao chadema?Sasa unataka ccm itoke ndio tuwape hawa wahuni wa chadema kweli? Ambao wakikopeshana hela wanakuja kubwatukiana kwenye mitandao , kuna kiongozi hapo? Unategemea mtu kama huyo atakuwa na huruma na weww mwananchi
Mapungufu ya ccm yanavumilika kuliko hawa wahuni wa chadema
Wamalize mambo yao binafsi wenyewe kwani wakati wanakopeshana tulikuwepo?Wewe ulitaka wakikopeshana wafanyeje hao chadema?
Kama wanavyofanya ccm au siyo?Wamalize mambo yao binafsi wenyewe kwani wakati wanakopeshana tulikuwepo?
Far better kuliko kuwapa wahuni nchiKama wanavyofanya ccm au siyo?
Maswala ya kisiasa mara nyingi kama sio zote humalizwa kwa njia za kisiasa kushambuliana majukwaani..naam asi ishie kwenye video tu, aende mahakamani aka pinge maana Sheria ipo wazi.
View: https://youtu.be/Gl_enK_qbVg?si=XGMbUj8hTJxGpgyp
➡Hatimaye matunda ya kilichofanyika Dodoma tarehe 19/01/2025 kwa Bi Samia Suluhu Hassan kujiteua mgombea u - Rais huku akimwingiza kwenye mkumbo huo Dr Emmanuel Nchimbi kama mgombea mwenza wake, yaanza kujidhihirisha na kupingwa waziwazi..
➡Mzee Malisa (mwanachama mtiifu na mwaminifu wa CCM) ktk video hii, hajajificha bali kajitokeza waziwazi na kusema Samia na wenzake walikosea, walivunja katiba ya CCM na ya nchi kwa kujiteua kuwa wagombea u - Rais huko Dodoma na kutumia "mamlaka yake ya U - Rais" kuu - blackmail mkutano kinyume cha taratibu na kanuni za chama kujilazimisha kuwa wagombea u - Rais...
➡Mwisho kwa sbb ya kusimamia uvunjaji wa katiba na kanuni za CCM pamoja na katiba ya nchi, amemtaka Bi Samia Suluhu Hassan kujiuzuru mara moja nafasi ya uenyekiti wa CCM taifa kwa sababu hafai tena kuendelea kukiongoza chama hicho...
Tazama na sikiliza mwenyewe video hiyo..
View: https://youtu.be/Gl_enK_qbVg?si=XGMbUj8hTJxGpgyp
➡Hatimaye matunda ya kilichofanyika Dodoma tarehe 19/01/2025 kwa Bi Samia Suluhu Hassan kujiteua mgombea u - Rais huku akimwingiza kwenye mkumbo huo Dr Emmanuel Nchimbi kama mgombea mwenza wake, yaanza kujidhihirisha na kupingwa waziwazi..
➡Mzee Malisa (mwanachama mtiifu na mwaminifu wa CCM) ktk video hii, hajajificha bali kajitokeza waziwazi na kusema Samia na wenzake walikosea, walivunja katiba ya CCM na ya nchi kwa kujiteua kuwa wagombea u - Rais huko Dodoma na kutumia "mamlaka yake ya U - Rais" kuu - blackmail mkutano kinyume cha taratibu na kanuni za chama kujilazimisha kuwa wagombea u - Rais...
➡Mwisho kwa sbb ya kusimamia uvunjaji wa katiba na kanuni za CCM pamoja na katiba ya nchi, amemtaka Bi Samia Suluhu Hassan kujiuzuru mara moja nafasi ya uenyekiti wa CCM taifa kwa sababu hafai tena kuendelea kukiongoza chama hicho...
Tazama na sikiliza mwenyewe video hiyo..
View: https://youtu.be/Gl_enK_qbVg?si=XGMbUj8hTJxGpgyp
➡Hatimaye matunda ya kilichofanyika Dodoma tarehe 19/01/2025 kwa Bi Samia Suluhu Hassan kujiteua mgombea u - Rais huku akimwingiza kwenye mkumbo huo Dr Emmanuel Nchimbi kama mgombea mwenza wake, yaanza kujidhihirisha na kupingwa waziwazi..
➡Mzee Malisa (mwanachama mtiifu na mwaminifu wa CCM) ktk video hii, hajajificha bali kajitokeza waziwazi na kusema Samia na wenzake walikosea, walivunja katiba ya CCM na ya nchi kwa kujiteua kuwa wagombea u - Rais huko Dodoma na kutumia "mamlaka yake ya U - Rais" kuu - blackmail mkutano kinyume cha taratibu na kanuni za chama kujilazimisha kuwa wagombea u - Rais...
➡Mwisho kwa sbb ya kusimamia uvunjaji wa katiba na kanuni za CCM pamoja na katiba ya nchi, amemtaka Bi Samia Suluhu Hassan kujiuzuru mara moja nafasi ya uenyekiti wa CCM taifa kwa sababu hafai tena kuendelea kukiongoza chama hicho...
Tazama na sikiliza mwenyewe video hiyo..l
Nani muhuni sasa hapo wa fomu moja au mruhusu mchakato wa kidemokrasia kila mtu agombee?Far better kuliko kuwapa wahuni nchi
Soma katiba ya chama.Angetaja vifungu vilivyovunjwa
Mtu asiye smart hawezi kukubali mazingira ya ushindani maana anajua dhahiri atagalagazwa kwa facts and figures.Hivi kwa nini Samia hakutaka kushindanishwa? Si ameleta maendeleo? Uoga wa nini
Anajua kabisa akishindanishwa hatachaguliwaHivi kwa nini Samia hakutaka kushindanishwa? Si ameleta maendeleo? Uoga wa nini
Wana ccm wameamua iwe hivyo labda weww ndio hukupenda, ila kuna kamati kwa ajili ya jambo hilo na wameamua hivyoNani muhuni sasa hapo wa fomu moja au mruhusu mchakato wa kidemokrasia kila mtu agombee?
View: https://youtu.be/Gl_enK_qbVg?si=XGMbUj8hTJxGpgyp
➡Hatimaye matunda ya kilichofanyika Dodoma tarehe 19/01/2025 kwa Bi Samia Suluhu Hassan kujiteua mgombea u - Rais huku akimwingiza kwenye mkumbo huo Dr Emmanuel Nchimbi kama mgombea mwenza wake, yaanza kupingwa waiwazi..
➡Mzee Malisa (mwanachama mtiifu na mwaminifu wa CCM) ktk video kajitokeza waziwazi na kusema Samia na wenzake walikosea, walivunja katiba ya CCM na ya nchi kwa kujiteua kuwa wagombea u - Rais huko Dodoma na kutumia "mamlaka yake ya U - Rais" kuu - blackmail mkutano kinyume cha taratibu na kanuni za chama kujilazimisha kuwa wagombea u - Rais...
➡Mwisho kwa sbb ya kusimamia uvunjaji wa katiba na kanuni za CCM pamoja na katiba ya nchi, amemtaka Bi Samia Suluhu Hassan kujiuzuru mara moja nafasi ya uenyekiti wa CCM taifa kwa sababu hafai tena...
Tazama na sikiliza mwenyewe video hiyo..
Sema watampoteza maana maccm yamelowa damu za watuWatamfukuza muda si mrefu kama siyo kupotea kwa sababu hawapendi kuambiwa ukweli
Mbona ametaja? Sikiliza kwa makiniAngetaja vifungu vilivyovunjwa