KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Na kule china hukuona picha?G sam unatuonaje yani hadi unatuongopea kiwango hiki?
Video ya equador watu walikuwa wanafia makwao na wanaletwa na kuweka bara barani kwa sababu hospitali au wahusika walikuwa hawaji kubeba hizo maiti.
Ila sio kwamba walikuwa wanakufa wakiwa wanatembea.
Ach kutia watu hofu.
Na kule Italy hukuona watu wakianguka mabarabarani? Tatizo hamfuatilii.
Leo Kuna picha na video zikiwa zimetrend huko WhatsApp na Twitter kuhusiana na maiti iliyochukuliwa Leo na ambulance katika mtaa WA Sophia kawawa katikati mwa jiji la Dar
Tukumbushane na tuelimishane kwa njia ya picha kuhusu janga hili la CORONA COVID19 liloikumba dunia
Mpka sasa hakuna kinga zaidi ya kunawa kwa sabuni,kutumia sanitizer,kuepuka mikusanyiko na kusikiliza maelekezo kutoka kwa wataalam wa afya
Tuwe makini
kufuata maelekezo ya wataalam wa afya na si wanasiasa
Narudia tena
Tuwe makini
kufuata maelekezo ya wataalam wa afya na si wanasiasa
kufuata maelekezo ya wataalam wa afya na si wanasiasa
kufuata maelekezo ya wataalam wa afya na si wanasiasa
Asanteni KaribuniView attachment 1418959View attachment 1418960View attachment 1418961View attachment 1418963View attachment 1418964View attachment 1418965View attachment 1418967
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nashangaa kwanini huu ugonjwa wengine unawachukulia ghafla?,
Hata kule China ilifikia unaona mtu anatembea,minding his/her own business,ghafla huyo kadondoka na haipiti dakika kafa
Mkuu utakua unamwelesha mtu ambae hata dar haijui..... Tatzo linaanzia hapoHaya twende Polepole tomaso......umeona tangazo hili la Serengeti bia?
Sawa.Tatizo unaamini sana kila clip unayokutana nayo mtandaoni
Covid sio risasi.
Na kule china hukuona picha?
Kwani nimetoa taarifa za kwangu si za serikaliHaka kauzi kananukia jera jera tu na harufu ya magereza,mtoa taarifa, picha na takwinu ni serekali tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wee jama kote huko watu walikuwa wanafia njiani. Yani ilikuwa kawaida sana watu kudondoka njiani na wengine wanafia hapo tena ndani ya muda mfupi. Kama huamini basi baki na yako, maana nyie mnaambiwa ukweli mnajitoa fahamu.Hakuna picha inayoweza kuonyesha mtu akidondoka.
Kama clip ipo itume.
Mimi nimeongelea clip ya equador. Jamaa kasema walikuwa wanatembea wanadondoka kitu ambacho sio kweli. Kabalisha kasema Italy sasa na wewe unasema China. Daah.
Ni haya majitu ya lumumba wanataka tuyakatae hata maeneo yetu eti nchi inachafuka
Ni hawa wananchi hawakupaswa kuweka mkusanyiko wakati maiti inatolewa ndaniTabia yetu pale kwenye tatizo au inatakiwa ukae mbali ndio sisi tunajisogeza. Hiyo social distance sijui kibongo bongo kama tutaiweza
Ooohh.......nimeshaona tatizo la msingi sasa😀😀😁😁Mkuu utakua unamwelesha mtu ambae hata dar haijui..... Tatzo linaanzia hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
viongozi wetu wenyewe sosho distance inawashinda, sembuse sisiTabia yetu pale kwenye tatizo au inatakiwa ukae mbali ndio sisi tunajisogeza. Hiyo social distance sijui kibongo bongo kama tutaiweza