Leo Kuna picha na video zikiwa zimetrend huko WhatsApp na Twitter kuhusiana na maiti iliyochukuliwa Leo na ambulance katika mtaa WA Sophia kawawa katikati mwa jiji la Dar
Tukumbushane na tuelimishane kwa njia ya picha kuhusu janga hili la CORONA COVID19 liloikumba dunia
Mpka sasa hakuna kinga zaidi ya kunawa kwa sabuni,kutumia sanitizer,kuepuka mikusanyiko na kusikiliza maelekezo kutoka kwa wataalam wa afya
Tuwe makini
kufuata maelekezo ya wataalam wa afya na si wanasiasa
Narudia tena
Tuwe makini
kufuata maelekezo ya wataalam wa afya na si wanasiasa
kufuata maelekezo ya wataalam wa afya na si wanasiasa
kufuata maelekezo ya wataalam wa afya na si wanasiasa
Asanteni Karibuni
View attachment 1418959View attachment 1418960View attachment 1418961View attachment 1418963View attachment 1418964View attachment 1418965View attachment 1418967
Sent using
Jamii Forums mobile app