Basi ngoja mie niendelee kukupuuzaJifunze kuelewa!
Mangula amekuja ili uujue ubaya wa ccm ya kuwa ni sawa na mtego wa panya!
Video itaendelea kua ya ukweli mpaka pale itakapopingwa kwa video yenye anuani.
Mungu ibariki TanzaniaWadau,kuna video inasambaa huko mitandaoni ikionyesha wahudumu wa afya katika mtaa unaotajwa ni mtaa wa Nkuruma street katika ya jiji asubuhi hii wakitoa kinachoonekana ni mwili wa mtu huku wakiwa wamevaa gloves na mavazi maalumu ya kuwakinga na maambukizi(protective gear).
Swali:kuna nini kimetokea kwa anaejua?
Wahusika tunaomba ufafanuzi.
Serikali iweke wazi ili jambo tutaisha
CNN kumlaumu Trump ndio kunafanya video iwe ya kweli?Ukweli utajulikana. Angalia CNN sasa hivi wanamlaumu Trump kuwa alipuuza ushauri hata kabla ya kuwa na case moja
Mpuuzi mkubwa wewe!
Hivi wewe unamtetea nani ?Unadhani serikali haitujui kisa fake id?
Hofyo! Kweli wewe ni masai wa mbugani sio jina tuIla wee jamaa hofyo sana kukaa tu kwa shemeji yako
Upumbavu wako usikufanye unitolee mimi hasira hapa!We mbwa na miakili yako ya ccm hunaona daladala na taxi za dar?!......Nchi imekosa maarifa hata kuona hamuoni??
Wewe huoni kuwa hapo ni maeneo ya karibu na Kisutu? Na huyo mtu alikuwa anatembea tu akaanguka akazidiwa akafa hapo hapo.
Ok sawa. Kwanini nyumba ile kwa sasa iko chini ya ulinzi?? Kuna nn hapo?? Nina uhakika humu kuna wana JF wanaotoka mtaa wa Nkuruma watatuwekea ushahidi hapa. Mimi niliongea na mtu jirani na mtaa huo kwa njia ya simu nakunithibitishia hilo. Atakapoweza kupiga picha nitaziweka humu.Hiyo hata kama ingekuwa kweli ni huko Nkrumah, haina chochote cha kutofautisha na namna maiti nyingine yoyote inavyochukuliwa kutoka nyumbani kama wanaoichukua ni watumishi wa afya.
Wataalam wana utaratibu wao wa handling ya maiti yeyote. Tofauti huwa inaonekana kama wanaobeba maiti hiyo ni mimi na wewe majirani wa kawaida, lakini ukiita wataalamu ndivyo watakavyoichukua.
Miaka kadhaa iliyopita tulipata msiba wa jirani yetu alifia ndani kwake akiwa peke yake hadi akaoza. Walipokuja mabwana afya kuchukua maiti walikuwa wamevaa hivihivi.
Ni vema kufuatilia undani wa story kwanza.
Wadau,kuna video inasambaa huko mitandaoni ikionyesha wahudumu wa afya katika mtaa unaotajwa ni mtaa wa Nkuruma street katika ya jiji asubuhi hii wakitoa kinachoonekana ni mwili wa mtu huku wakiwa wamevaa gloves na mavazi maalumu ya kuwakinga na maambukizi(protective gear).
Swali:kuna nini kimetokea kwa anaejua?
Wahusika tunaomba ufafanuzi.
Serikali iweke wazi ili jambo tutaisha
Acha kulishwa matango pori na kigogoOk sawa. Kwanini nyumba ile kwa sasa iko chini ya ulinzi?? Kuna nn hapo?? Nina uhakika humu kuna wana JF wanaotoka mtaa wa Nkuruma watatuwekea ushahidi hapa. Mimi niliongea na mtu jirani na mtaa huo kwa njia ya simu nakunithibitishia hilo. Atakapoweza kupiga picha nitaziweka humu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nmekuuliza uthibitisho uko wapi?Wewe huoni kuwa hapo ni maeneo ya karibu na Kisutu? Na huyo mtu alikuwa anatembea tu akaanguka akazidiwa akafa hapo hapo.
Haya twende Polepole tomaso......umeona tangazo hili la Serengeti bia?Upumbavu wako usikufanye unitolee mimi hasira hapa!
Nchi nyingine hakuna tax na dalaala?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unatumia simu gani? Au kifaa gani kuangalia? Simu yangu inaweza ku-zoom video na kusoma maandishi madogo kabisa.Achakutuchota wewe..
Hizo plate no Umeziona wapiii..?!!
Wapi proof kwamba hapo ni Bongo?
Nchi nyingine hakuna mvua?Manipulating mtaa mzima? Pia Vidimbwi vya maji hali halisi ya mvua Dar leo.
Lydia ndani Tanzania haijaanza leo wala jana ila kwasasa mtu akifia ndani hata kama siyo Corona wanakwenda kuchukua huo mwili lazima waende wakiwa wamekamilika. Hivyo siyo kila atakayekuwa amefia ndani ni corona inaweza ikawa ugonjwa wowote. Wataalamu wa afya ndiyo watatuambia siyo huo ushaidi wako wa kitecno eti camera ya tecno yako imepima maiti na kusema ni corona. Acheni uongo uliopitiliza na kushabikia ugonjwa Kama mtaji wa kisiasa.Wadau,kuna video inasambaa huko mitandaoni ikionyesha wahudumu wa afya katika mtaa unaotajwa ni mtaa wa Nkuruma street katika ya jiji asubuhi hii wakitoa kinachoonekana ni mwili wa mtu huku wakiwa wamevaa gloves na mavazi maalumu ya kuwakinga na maambukizi(protective gear).
Swali:kuna nini kimetokea kwa anaejua?
Wahusika tunaomba ufafanuzi.
Serikali iweke wazi ili jambo tutaisha
mkuu Hapo ni Nkurumah acha kubisha, mimi nipo hapa hapa na tukio limetokea hapa ila hatujajua jamaa kafa kwa ugonjwa gani au kwa Tatizo gani mpaka Madaktari wasibitisheNmekuuliza uthibitisho uko wapi?
Au wewe ndio kigogo mwenyewe?
Kwanini mnatumia nguvu sana kuaminisha watu kitu ambacho hakipo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mtu akifariki kwa kukwamwa na mfupa wa samaki lazima hali iwe ivyo, taarifa ni muhimu kuliko kutoa conclusions kutokana na kinachoonekana. Ni vyema watu wakasubiri taarifa rasmi.Ni kawaida kunapotokea epidemics or pandemic, any demise by any causes inakuwa handed with maximum medical precautions.
P