Video hii inayodaiwa ni Nkuruma Street, City Center jijini Dar-es-Salaam asubuhi ya leo, inahusu tukio gani?

Video hii inayodaiwa ni Nkuruma Street, City Center jijini Dar-es-Salaam asubuhi ya leo, inahusu tukio gani?

Kiingereza hujui halafu hiyo video imekuwa manipulated na wahuni ili kuichafua serikali yetu tukufu.

Sijui wameokota wapi hiyo video halafu mnawadanganya watu hapo ni Bongo
Sio kweli. Video ni ya Tanzania. Angalia hata tangazo la bia ya serengeti, lugha inayozungumzwa, plate number za taxi na hiyo ambulance. Hapo hakuna manipulation.

Ila sina uhakika kama hao wanaookotwa ni sababu ya corona
 
Ona ulivyozuzu?
Mangula hujui nyumbani kwake? Na hapa tunamjadili Mangula au video fake iliyowekwa hapa?

Sasa mkiitwa wapumabvu msikasirike

Sent using Jamii Forums mobile app
Jifunze kuelewa!
Mangula amekuja ili uujue ubaya wa ccm ya kuwa ni sawa na mtego wa panya!

Video itaendelea kua ya ukweli mpaka pale itakapopingwa kwa video yenye anuani.
 
Kiingereza hujui halafu hiyo video imekuwa manipulated na wahuni ili kuichafua serikali yetu tukufu.

Sijui wameokota wapi hiyo video halafu mnawadanganya watu hapo ni Bongo
Mtukufu ni Mwenyezi Mungu tu ...... naomba urekebishe hapo ili usiwakwaze wengi !!
 
hii COVID 19 inaweza kutupunguza tukabakia idadi ile ile kabla ya uhuru...... hi hatari saana... na mbaya zaidi mazingira yetu ni magumu mno...

Lockdown kwanza haiwezekani...maji yamejaa ndani sasa unaniambia niwe locked - how?

tunakwisha!!
 
Mna uhakika mnachongelea ndio kikichomo kwenye video? Mbona kwangu imefunguka video ya X?
Kiingereza hujui halafu hiyo video imekuwa manipulated na wahuni ili kuichafua serikali yetu tukufu.

Sijui wameokota wapi hiyo video halafu mnawadanganya watu hapo ni Bongo
Sio kweli. Video ni ya Tanzania. Angalia hata tangazo la bia ya serengeti, lugha inayozungumzwa, plate number za taxi na hiyo ambulance. Hapo hakuna manipulation.

Ila sina uhakika kama hao wanaookotwa ni sababu ya corona

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom