Hivi vyeo vya kupewa hivi ni hatari. Hata hao wakuu wa vyombo nao ni vyeo vya kupewa wanafanya hayo hayo huko maofsini kwao.Bado sitaki kuamini kama Mh Kangi aliwahi kuamini kama kuna siku atakuja kuondoka madarakani kwa aibu kiasi hiki .
Nawaomba sana vijana mnaopata madaraka leo mjifunze sana kwenye jambo hili