Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
1. Umeme ni Magufuli
2. SGR ni Magufuli
3. Kuuza Bandari Samia
4. Kuuza KIA Samia
5. Kuuza Misitu Samia
6. Kuuza Ngorongoro Samia
7. Kuuza Ardhi ya Tanganyika Samia.
Mengine yote porojo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1. Umeme ni Magufuli
2. SGR ni Magufuli
3. Kuuza Bandari Samia
4. Kuuza KIA Samia
5. Kuuza Misitu Samia
6. Kuuza Ngorongoro Samia
7. Kuuza Ardhi ya Tanganyika Samia.
Mengine yote porojo.
Kafanya Nini kibaya?Huyu mzanzibari ashtakiwe
Achana na hao maroho mbayaKafanya Nini kibaya?
Akili ndo huna.
Tunaweza kubishana juu ya mambo mengi ila hatuwezi kubishana juu ya utekelezaji mkubwa wa miradi ya maendeleo unaofanywa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.
Mtakubaliana na Mimi kuwa Mradi huu uliwashinda akina Mzee Julius Nyerere, Ally Hassan Mwinyi, Benjamini Mkapa, Jakaya Kikwete hata John Pombe Magufuli wakati anafariki akiwa madarakani kwa miaka zaidi ya mitano aliutekeleza kwa 35% tu,
Maajabu ni haya, Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndani ya miaka mitatu tu kazi IMEKWISHA mnadhani kwanini Watanzania tusimpongeze Mama na kumtia moyo kuelekea 2030?
Kununua Software ya kutrace kukatika kwa umeme kwa Bilioni 75Madudu gani?
Sa100 hajaanzisha project yoyote!
Tunaweza kubishana juu ya mambo mengi ila hatuwezi kubishana juu ya utekelezaji mkubwa wa miradi ya maendeleo unaofanywa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.
Mtakubaliana na Mimi kuwa Mradi huu uliwashinda akina Mzee Julius Nyerere, Ally Hassan Mwinyi, Benjamini Mkapa, Jakaya Kikwete hata John Pombe Magufuli wakati anafariki akiwa madarakani kwa miaka zaidi ya mitano aliutekeleza kwa 35% tu,
Maajabu ni haya, Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndani ya miaka mitatu tu kazi IMEKWISHA mnadhani kwanini Watanzania tusimpongeze Mama na kumtia moyo kuelekea 2030?
Unaelewa ulichoandika?Sa100 hajaanzisha project yoyote!
Kaikuta iko zaidi ya 50% ya utekelezaji, tuache uongo.
Upumbavu tupu, mwambie kabakiza miezi 10!arudi Kizimkazi akalee wajukuu.
Tunaweza kubishana juu ya mambo mengi ila hatuwezi kubishana juu ya utekelezaji mkubwa wa miradi ya maendeleo unaofanywa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.
Mtakubaliana na Mimi kuwa Mradi huu uliwashinda akina Mzee Julius Nyerere, Ally Hassan Mwinyi, Benjamini Mkapa, Jakaya Kikwete hata John Pombe Magufuli wakati anafariki akiwa madarakani kwa miaka zaidi ya mitano aliutekeleza kwa 35% tu,
Maajabu ni haya, Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndani ya miaka mitatu tu kazi IMEKWISHA mnadhani kwanini Watanzania tusimpongeze Mama na kumtia moyo kuelekea 2030?
Yeye alifanya lipi?Rest in peace baba Jessica
Dua la kuku...,..........Upumbavu tupu, mwambie kabakiza miezi 10!arudi Kizimkazi akalee wajukuu.
Mwakani Rais atakuwa mwanaume Mkristu, kuhusu chama sio issue lakini Samia hapana!!!
Hatuwezi kuwa na kiongozi failure kama huyu Mama Abdul,serikali wizi, ufisadi, kuuza rasilimali za nchi yetu Tanzania kama vile Bandari za BARA na Mbuga za Wanyama, ....inatosha SAA💯 Must go 2025 to Kizimkazi 🤔🤔🤔
Mradi wa Samia?
Tunaweza kubishana juu ya mambo mengi ila hatuwezi kubishana juu ya utekelezaji mkubwa wa miradi ya maendeleo unaofanywa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.
Mtakubaliana na Mimi kuwa Mradi huu uliwashinda akina Mzee Julius Nyerere, Ally Hassan Mwinyi, Benjamini Mkapa, Jakaya Kikwete hata John Pombe Magufuli wakati anafariki akiwa madarakani kwa miaka zaidi ya mitano aliutekeleza kwa 35% tu,
Maajabu ni haya, Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndani ya miaka mitatu tu kazi IMEKWISHA mnadhani kwanini Watanzania tusimpongeze Mama na kumtia moyo kuelekea 2030?
Kwani kila kitu kinacho wapa sifa awamu ya 6 nani kakianzisha? Hata uzi hu unajua unazunhumzia nini? Baba Jessica alikua mzalendo wa nchi yake, hatukusikia kama yupo busy na utoroshaji wa fedha ili akafiche kwenye account za nje ya nchi, alikaa hapa hapa, kila siku alikua anakuja na hoja mpya itakayo isaidia Tanzania.Yeye alifanya lipi?
Chanzo cha yote ni JPM
Tunaweza kubishana juu ya mambo mengi ila hatuwezi kubishana juu ya utekelezaji mkubwa wa miradi ya maendeleo unaofanywa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.
Mtakubaliana na Mimi kuwa Mradi huu uliwashinda akina Mzee Julius Nyerere, Ally Hassan Mwinyi, Benjamini Mkapa, Jakaya Kikwete hata John Pombe Magufuli wakati anafariki akiwa madarakani kwa miaka zaidi ya mitano aliutekeleza kwa 35% tu,
Maajabu ni haya, Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndani ya miaka mitatu tu kazi IMEKWISHA mnadhani kwanini Watanzania tusimpongeze Mama na kumtia moyo kuelekea 2030?
Unashindwa nini kuelewa hapo mkuu, hiyo 35% kumbuka inaanzia kwenye uthubutu na pia kumbuka mwanzo huwa ni mgumu kuliko kumalizia. Kwa hiyo Kongole inamuhusu yule aliyeanzisha.Lakini hebu tuwe wakweli mtu kachukua mradi ukiwa 35%,
Hivi unajua hii hata nusu ya Mradi ilikuwa bado?
Shika rungu vizuri mkuu bado anatikisa vidole pigaaa kichwaniUmeme ni Magufuli
2. SGR ni Magufuli
3. Kuuza Bandari Samia
4. Kuuza KIA Samia
5. Kuuza Misitu Samia
6. Kuuza Ngorongoro Samia
7. Kuuza Ardhi ya Tanganyika Samia.
Mengine yote porojo.
Kwa hiyo amekuwa engineer kwenye project, kakuta kila kitu kinaendelea na wala hajahitajika kufanya lolote. Hata angesimama mwehu pembeni kama msimamizi project ingeendelea tu bila shida yoyote.Lakini hebu tuwe wakweli mtu kachukua mradi ukiwa 35%,
Hivi unajua hii hata nusu ya Mradi ilikuwa bado?
Sija imaliza hii video
Tunaweza kubishana juu ya mambo mengi ila hatuwezi kubishana juu ya utekelezaji mkubwa wa miradi ya maendeleo unaofanywa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.
Mtakubaliana na Mimi kuwa Mradi huu uliwashinda akina Mzee Julius Nyerere, Ally Hassan Mwinyi, Benjamini Mkapa, Jakaya Kikwete hata John Pombe Magufuli wakati anafariki akiwa madarakani kwa miaka zaidi ya mitano aliutekeleza kwa 35% tu,
Maajabu ni haya, Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndani ya miaka mitatu tu kazi IMEKWISHA mnadhani kwanini Watanzania tusimpongeze Mama na kumtia moyo kuelekea 2030?
Hapo hamna Dua la kuku , ni ukweli kabakiza miezi 10 aondoke IkuluDua la kuku...,..........
Moja, Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete hawakuwa na wajomba waarabu.Tunaweza kubishana juu ya mambo mengi ila hatuwezi kubishana juu ya utekelezaji mkubwa wa miradi ya maendeleo unaofanywa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.
Mtakubaliana na Mimi kuwa Mradi huu uliwashinda akina Mzee Julius Nyerere, Ally Hassan Mwinyi, Benjamini Mkapa, Jakaya Kikwete hata John Pombe Magufuli wakati anafariki akiwa madarakani kwa miaka zaidi ya mitano aliutekeleza kwa 35% tu,
Maajabu ni haya, Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndani ya miaka mitatu tu kazi IMEKWISHA mnadhani kwanini Watanzania tusimpongeze Mama na kumtia moyo kuelekea 2030?