Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hakuna ujanja wa kutumia wakurugenzi , watu wasiojulikana wala polisi .
Mungu ibariki Malawi
Mungu ibariki Malawi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
cha kufanya tutawafundisha octobaKwa hiyo tufanyeje sisi
Hiyo kauli ni batiriSisi si tumeambiwa marufuku kusogea kwenye sanduku la kura. Inatakiwa mita 200
Sawacha kufanya tutawafundisha octoba
Muhimu Basi kutengulisha kwanza hiyo kauliHiyo kauli ni batiri
Mutharika anapumulia mashineNani kashinda Malawi?
Aibu kubwa sana !Sasahivi tunazidiwa democrasia hata na Burundi
Haha Kama namuona Joyce bandaMutharika anapumulia mashine
wewe hautofanya si mchumia tumboKwa hiyo tufanyeje sisi
😆😆😆wewe hautofanya si mchumia tumbo
Alafu wabongo wanapenda kuwa chukulia wamalawi maboya, kumbe wanyasa wameamka wao syo wepesiWamalawi nimewapigia salutee
Mwamko wa wananchi kupiga kura uko chini sana. Wananchi wengi wanaamini kwamba "magoli ni ya mkono" hivyo hawana haha kupotezea muda katika kupiga kura.cha kufanya tutawafundisha octoba