Video: Hivi ndivyo kura za marudio ya uchaguzi wa Rais zilivyolindwa na wananchi nchini Malawi. Hakika kuna la kuifunza Tanzania

Video: Hivi ndivyo kura za marudio ya uchaguzi wa Rais zilivyolindwa na wananchi nchini Malawi. Hakika kuna la kuifunza Tanzania

Hakuna ujanja wa kutumia wakurugenzi , watu wasiojulikana wala polisi .

Mungu ibariki Malawi


View attachment 1488072
Hapa Tanzania mawakala wa vyama huwa wanalinda kura za vyama vyao,kuanzia kituoni mpaka ngazi mwisho. Wewe na Chadema yako mmeshashindwa sababu wananchi wameshajua nyie ni wapiga madili. Na ni matapeli wa kisiasa.
 
Hapa Tanzania mawakala wa vyama huwa wanalinda kura za vyama vyao,kuanzia kituoni mpaka ngazi mwisho. Wewe na Chadema yako mmeshashindwa sababu wananchi wameshajua nyie ni wapiga madili. Na ni matapeli wa kisiasa.
Mnamnunua mbunge kwa gharama yoyote kiasi hata kumtisha kumuua sembuse wakala tu ambaye hata viazi vya kushindia nyumbani hana??
 
Kule watawala ni wasomi na wanaelewa maana ya demokrasia.
 
Ukweli anao Lijualali kule Kilombero tulivyoiba kura na hakukuwa na vurugu kwa mawakala
Mnamnunua mbunge kwa gharama yoyote kiasi hata kumtisha kumuua sembuse wakala tu ambaye hata viazi vya kushindia nyumbani hana??
 
Hakuna ujanja wa kutumia wakurugenzi , watu wasiojulikana wala polisi .

Mungu ibariki Malawi


View attachment 1488072
Mkuu Erythrocyte, nadhani kuna nyakati nyingine tukubali kwamba yanayowezekana katika nchi mbalimbali, hayawezi yakatokea kwingine kokote.

Huu mfano wa Malawi, hadi hapa walipofikia, sijui kama uliwahi kutokea nchi nyingine yoyote.

I mean, this could be the 'perfect' example of fairness one can expect to see from anywhere.

Baada ya kuyasema hayo, sasa geukia kwenye hiyo video nayo ina mambo yake mengi ya kuzungumzia.

Hayo maboksi ya kura yanayobebwa kimzobemzobe, tena gizani, yanatoka wapi na kwenda wapi? Pamoja na kwamba hakuna mapolisi na wajinga wengine, huoni kwamba hapo kuna nafasi kubwa ya kuvuruga matokeo? Hatua hii nayo imo kwenye mipangilio yao ya kuhakikisha uchaguzi hauvurugiki?

Sidhani kama tutampata rais mwingine muungwana kama huyu wa Malawi katika ukanda huu katika miaka michache ijayo.
Na akishinda uchaguzi huu, heshima yake itakuwa juu sana. Na hata akishindwa, anastahiri heshima kwa uungwana wake.

Malawi watakuwa wametoa somo lisilowezekana katika nchi nyingi za kiafrika.
 
Malawi kweli nchi maskini hamna hata magari ya kubeba masanduku ya kura. Halafu kura si zinahesabiwa vituoni chini ya uangalizi wa mawakala wa vyama sasa hapo wanayasindikiza ili iweje wakati hesabu zimeshamalizika vituoni
 
ukimsoma mleta mada utagundua kwamba wapinzani wana mentality ya vurugu.

Kwao fujo fujo ndio demokrasia yenyewe.
 
Sisi si tumeambiwa marufuku kusogea kwenye sanduku la kura. Inatakiwa mita 200
Hii mambo Mara mkuu wa mkoa mwana jeshi Mara siku nyingine aamke kavaa gwanda na vyeo begani mara aamke kavaa kijani ni changa Moto Sana kwa usitawi wa demokrasia ya nchi yetu, leo Zerote afisa aliyehudumu kwa nafasi kubwa kabsa jeshi la polisi ni Mwenyekiti wa CCM Arusha,maana yake ni kwamba akikutana na police constable anapigiwa salute na kumpa maelekezo(order) ndo maana akili za ma RPC wengi zimevurugwa angalia Muroto na Shana wamekuwa kama vituko sijui familia zao huwa zinajisikiaje!!!!!!!! " Vijana wetu wakakamavu na wenye weledi mkubwa kwa ujasiri mkubwa walijibu mapigo na kuwazidi hao majambazi na kuwateketeza" in Shana's voice🙄🙄🙄🤔🤔🤔🤪😷
 
Sisi si tumeambiwa marufuku kusogea kwenye sanduku la kura. Inatakiwa mita 200
Hii mambo Mara mkuu wa mkoa mwana jeshi Mara siku nyingine aamke kavaa gwanda na vyeo begani mara aamke kavaa kijani ni changa Moto Sana kwa usitawi wa demokrasia ya nchi yetu, leo Zerote afisa aliyehudumu kwa nafasi kubwa kabsa jeshi la polisi ni Mwenyekiti wa CCM Arusha,maana yake ni kwamba akitana na police constable anapigiwa salute na kumpa maelekezo(order) ndo maana akili za ma RPC wengi zimevurugwa angalia Muroto na Shana wamekuwa kama vituko sijui familia zao huwa zinajisikiaje!!!!!!!! " Vijana wetu wakakamavu na wenye weledi mkubwa kwa ujasiri mkubwa walijibu mapigo na kuwazidi hao majambazi na kuwateketeza" in Shana's voice🙄🙄🙄🤔🤔🤔🤪😷
 
Back
Top Bottom