Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Hapa Tanzania mawakala wa vyama huwa wanalinda kura za vyama vyao,kuanzia kituoni mpaka ngazi mwisho. Wewe na Chadema yako mmeshashindwa sababu wananchi wameshajua nyie ni wapiga madili. Na ni matapeli wa kisiasa.Hakuna ujanja wa kutumia wakurugenzi , watu wasiojulikana wala polisi .
Mungu ibariki Malawi
View attachment 1488072