babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,916
- 6,697
Umebakiza kumuomba mungu ambariki shetaniHakuna ujanja wa kutumia wakurugenzi , watu wasiojulikana wala polisi .
Mungu ibariki Malawi
View attachment 1488072
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umebakiza kumuomba mungu ambariki shetaniHakuna ujanja wa kutumia wakurugenzi , watu wasiojulikana wala polisi .
Mungu ibariki Malawi
View attachment 1488072
Kinanifanya nitamani upendo wako wa upinzani, ni kutokata tamaa hata katika hali ya leo ambayo lazima uwe na roho ya paka kubaki Chadema. Ila subiri kipigo na safari hii kura yangu nimejiandikisha Mwanga.siasa zimeminywa hadi leo , kama choka mbaya si ziachieni !
Msalimie MchomeKinanifanya nitamani upendo wako wa upinzani, ni kutokata tamaa hata katika hali ya leo ambayo lazima uwe na roho ya paka kubaki Chadema. Ila subiri kipigo na safari hii kura yangu nimejiandikisha Mwanga.
Kwa hiyo tufanyeje sisi