Russia aliingia kichwakichwa na vifaru vyake ameona moto wa Ukraine &allies🤔Jamaa wameketi ofisini kazi yao kubonyeza bonyeza na kuondosha vifaru utadhani video game, Waafrika tumejiandaaje kwenye utaalam kama huu au bora liende tu...
Hivi ndivyo wajuvi wa mambo hayo walivyoichambua video clip hiyo inayodai hiyo drone imeharibu mamia ya vifaa vya Russia.
View attachment 2152684
Huweziona tatizo kwa kuwa hushirikishi ubongo.Mbona sijaona tatizo lolote kwenye huo uchambuzi, vita vyenyewe vimeendelea wiki kadhaa sasa, kwa hivyo huo uwezekano upo.
Au unaongea kuhusu huyo aliyejibu hapo anaitwa "Tarski", jina lake tayari limemsaliti.
Mbona sijaona tatizo lolote kwenye huo uchambuzi, vita vyenyewe vimeendelea wiki kadhaa sasa, kwa hivyo huo uwezekano upo.
Kazi ipo kwa Jeshi la Urusi,raisi Zelenskyy aliwaambia wajisalimishe kama hawaHalafu mabango ya barabarani yamepotoshwa, hivyo hajui hata pakutokea...
Huweziona tatizo kwa kuwa hushirikishi ubongo.
Unaambiwa kwanza footage sio Ukraine, pia hata kama ingekuwa Ukraine, ingehitajika drones takriban 50 kufanya mashambulizi hayo (kuharibu mamia ya vifaa vya Russia). Wakati drones hizo walizokuwanazo ni takriban 20. Na nyingine jana zimeharibiwa na Russia.
Sasa kama kweli zinawasaidia, mbona Ukraine yoote hakuna sehemu salama?! Popote pale Russia akitaka kufanya mashambulizi anashambulia. Na haya ni maelezo ya serikali ya Ukraine.
View attachment 2152691
View attachment 2152707
What do we know about Ukraine’s use of Turkish Bayraktar drones?
Ankara, which has good relations with both Moscow and Kyiv, has sold dozens of its combat drones to Ukraine since 2019.www.aljazeera.com
ushapata githeri na avocado baada ya kazi nzito ya kutikisa mbuyu??????????au ndo hata mahindi umeishiwaHapa ndio imedhihirisha nini haswa, hamna mtu aliyetaja idadi kamili ya vifaru vilivyoliwa shaba, Ukraine wanaendelea kuviondosha moja baada ya kingine, pia wakitumia na zile javelin....
Kasome tena screen shot, acha wenge...Wapi huyo mchambuzi amesema hiyo sio Ukraine, wewe nawe unalazimisha na kumlisha maneno, pili yeye hapo alikua anaongea kuhusu shughuli ya siku mbili, ila wote tunafahamu hii shughuli imechukua wiki kadhaa sasa.....
Kasome tena screen shot, acha wenge...
Alfred kasema: Footage mostly not from Ukraine at all. USELESS CLIP
Alfred anaijua vema Ukraine, kama ambavyo mie ninavyoijua Tanzania. Ukiniletea video clip ya Sudan ukanambia ni Tanzania nitakushangaa, na kukwambia 'hiyo (mazingira hayo) siyo Tanzania, video clip hiyo ni UPUUZI'. Sentensi moja tu lakini nimeshamaliza kila kitu.Huyo Alfred ametoa comment kwa mwenzake, hajachambua, hivyo kwako wewe one sentence comments zimekua uchambuzi, mpo very desperate ila ndio hivyo, Mrusi amewaingiza kwenye aibu sana mliokua mnamtegemea, hata Waarabu wale wamiliki wa dini ya "amani" raundi hii wapo kimya maana nguvu na jeuri yao siku zote ilikua Urusi na ndiye huyo ameonyesha udhaifu mkubwa sana, mumebaki maustadhi wa Bongo ndo mnabwatuka na kutukana kwenye mitandao.
Asikupotezee muda huyo mkenya njaa inamsumbua.......hapo kapewa kibarua cha kumtetea bwana waoAlfred anaijua vema Ukraine, kama ambavyo mie ninavyoijua Tanzania. Ukiniletea video clip ya Sudan ukanambia ni Tanzania nitakushangaa, na kukwambia 'hiyo (mazingira hayo) siyo Tanzania, video clip hiyo ni UPUUZI'. Sentensi moja tu lakini nimeshamaliza kila kitu