Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wewe jamaaa chizi kabisaEtumbaa etumbaaa.
Kweli kabisa, bado najiuliza huyo gari lake lilivyoharibika hivyo nahisi atajigharamia mwenyewe kutengeneza kama hana bima kubwa.Vijana tutazidi kufa Sana ila kiujumla yanahitaji nidhamu sana.
Ukijipenda na kujithamini hutafanya huu ujinga.
Tunahitaji watu wenye IQ kubwa yako na Poor Brain sio huyu kijana wa hovyo Prakatatumba abaabaabaaJamaa kamfumua ubongo huyo Boda alieingia chini ya uvungu wa Gari yake na Boda yake kufumua mbele ya Gari lake Ila cha kwanza ni kusema 'umeniharibia Gari yangu' kwa sauti ya kichaga hajali km Boda amekufa au bado yupo Hai maana damu zimeruka vibaya sana Lami imechafuka
Mchukua video anasemaJamaa kamfumua ubongo huyo Boda alieingia chini ya uvungu wa Gari yake na Boda yake kufumua mbele ya Gari lake Ila cha kwanza ni kusema 'umeniharibia Gari yangu' kwa sauti ya kichaga hajali km Boda amekufa au bado yupo Hai maana damu zimeruka vibaya sana Lami imechafuka
Amejigonga kwenye Gari la kwanza akateleza baada ya hapo kajikuta ameingia kwenye uvungu wa Gari la pili na Boda imegonga pale mbele ya Gari imeharibu Gari vibaya sana kwa ule mzingaIlikuaje mpaka akaenda kujigonga kwenye gari la pili?
Ingawa ajali haina kinga, lakini kwenda spidi ya hivyo ni kama kucheza kamari na uhai. Abiria anapaswa kudhibiti mwendeshaji limbukeni. Tena wengine wanaweka miziki sauti kali hadi usikivu wa honi barabarani unakuwa hafifu.
kawaulize wachaga watakuambia Hope urassaIla wewe jamaaa chizi kabisa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nini hiki
Etumbaa etumbaaa ,😂😂😂😂😂😂😂
Sio nilikua mbia chali yangu amesema 'umeniharibia Gari yangu' sikiliza tenaMchukua video anasema
"Si nilikuambia chalii yangu" Wala sio mambo ya kuniharibia gari yangu, dereva hata hasikiki, acha ujuaji
Kajigonga kwenye Ile Corolla sijui Benz ndio kaingia kwenye Harrier Tako la Nyani uvunguni kapasuliwaDuuuh ndo nimeiona mana ilikua inakataa...
Boda alikua ana overtake aiseee
Hahahaha ni vimatusi afukawaulize wachaga watakuambia Hope urassa
Daaah ule mwendo sio poa kabisa aiseee..Kajigonga kwenye Ile Corolla sijui Benz ndio kaingia kwenye Harrier Tako la Nyani uvunguni kapasuliwa
Umefanya mpaka nichukue earpods, mchukua video anasema " si nilikuambia chalii yangu"Sio nilikua mbia chali yangu amesema 'umeniharibia Gari yangu' sikiliza tena
Ni incident tu Mimi kuna ajali nyingi nimezishuhudia kipindi hiki cha Mvua Ila asilimia kubwa Boda Boda wanakua wamelewa mmoja alikua pekeyake akaleta madoido kwenye tuta apite kwa kasi aiachie pikipiki alafu aishike kwa nyuma aseleleke na Miguu kilichofuata kidogo ang'oe Meno na kucha maana sio kwa kugalagazwa kule na pikipikiHivi mtu anayerekodi inakuaje an....
Sijaelewa anakua kajua next nn
Boda boda ni wote tuu wapo hivo au..?Ni incident tu Mimi kuna ajali nyingi nimezishuhudia kipindi hiki cha Mvua Ila asilimia kubwa Boda Boda wanakua wamelewa mmoja alikua pekeyake akaleta madoido kwenye tuta apite kwa kasi aiachie pikipiki alafu aishike kwa nyuma aseleleke na Miguu kilichofuata kidogo ang'oe Meno na kucha maana sio kwa kugalagazwa kule na pikipiki
Mwingine kwenye tuta pia kaivamia Gari km hii clip ilivyo sema Gari lilikua linakona linatoka kulia linaingia kushoto na dereva aliwasha indicator Ila jamaa akaja kula mzinga kwenye ubavu wa Gari nusura apite kwenye kioo akajikuta ametupwa upande wa pili sababu dereva hakusimama angesimama jamaa angepita kwenye kioo
Jamaa amepatia sikiliza vizuriSio nilikua mbia chali yangu amesema 'umeniharibia Gari yangu' sikiliza tena
Amesema 'umeharibu Gari yangu' sauti ya Mangi MezaJamaa amepatia sikiliza vizuri