Video: How busy is Ubungo bus Terminal?

Video: How busy is Ubungo bus Terminal?

Wakenya wanaona maruerue tu hapo, wakifikiria yale malori yao wanayoteseka nayo kwenye barabara zao mbovu intercounties travellers na wakiona vyuma vya Tanzania wakiteleza kwenye carpets kila mkoa vichwa vinawauma
Stendi tu zenyewe hawana, halafu utaratibu zero kila mtu ni sumatra, mwenye gari ndio mwenye ratiba na utaratibu mzima wa safari mpaka nauli.
Tanzania mambo ni tofauti kuanzia kwenye stendi na kuendelea
Ngoja niwape Chuma kinachojengwa pale the capital, hii terminal ndio kubwa kuliko zote Africa mashariki na kati, itakua na hotels, malls, restaurants, movie halls, etc hii ni zaidi ya airport ya Nairobi
Inakamilika 2020, vyuma vingine ambavyo vipo kwenye ujenzi ni terminals mpya za Dar, Mwanza, Tabora etc
View attachment 1196679View attachment 1196680View attachment 1196681View attachment 1196682
Nilidhani yule mtz ameuliwa S.A. ni wewe kumbe!
Usisahau kutuwekea stesheni za pugu na kimara. Zinakaa vyoo vya Naivasha Town
 
Dodoma hiyo

Pale Mbezi kuna matusi yanajengwa pale wakimaliza Wakenya watalia
Wakenya wanaona maruerue tu hapo, wakifikiria yale malori yao wanayoteseka nayo kwenye barabara zao mbovu intercounties travellers na wakiona vyuma vya Tanzania wakiteleza kwenye carpets kila mkoa vichwa vinawauma

Stendi tu zenyewe hawana, halafu utaratibu zero kila mtu ni sumatra, mwenye gari ndio mwenye ratiba na utaratibu mzima wa safari mpaka nauli.

Tanzania mambo ni tofauti kuanzia kwenye stendi na kuendelea

Ngoja niwape Chuma kinachojengwa pale the capital, hii terminal ndio kubwa kuliko zote Africa mashariki na kati, itakua na hotels, malls, restaurants, movie halls, etc hii ni zaidi ya airport ya Nairobi

Inakamilika 2020, vyuma vingine ambavyo vipo kwenye ujenzi ni terminals mpya za Dar, Mwanza, Tabora etc
View attachment 1196679View attachment 1196680View attachment 1196681View attachment 1196682
 
Nilidhani yule mtz ameuliwa S.A. ni wewe kumbe!
Usisahau kutuwekea stesheni za pugu na kimara. Zinakaa vyoo vya Naivasha Town
Hii terminal hata JKIA haioni ndani halafu hapo bado sijaleta ya Dar wala Mwanza ujue
DD-4-01.png
DD-8-01.png
 
Hiyo ni Dar pekee, Kumbuka kunakuwa na Convoy pia kwenye Majiji na Miji yote ya tz, unakuta mpumbavu mmoja anaropoka eti watz wavivu.
Nairobi haina hizi sana sababu watu wengi wana magari yao binafsi. This Tz bus station is just busy because of poverty waTz can't afford cars halafu ona vile mahali pale Ubungo pachafu sana.
 
Kitu nilichogundua kwa mkenya wakiona kitu hawana na hawana uwezo wa kuijenga huwa Wanasema haina umuhimu kwao, kumbe ni wivu tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Nairobi haina hizi sana sababu watu wengi wana magari yao binafsi. This Tz bus station is just busy because of poverty waTz can't afford cars halafu ona vile mahali pale Ubungo pachafu sana.
 
Kitu nilichogundua kwa mkenya wakiona kitu hawana na hawana uwezo wa kuijenga huwa Wanasema haina umuhimu kwao, kumbe ni wivu tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaa.. jamaa wanakwambia train za diesel ndiyo the best duniani. Ila kuna kipindi lilitoka tangazo la danganya toto kuwa wata weka umeme rail yao waliruka na kupiga mayowe kama manyani walio kutana na shamba la ndizi mbivu.
 
Hata BRT walisema sio lazima wajengee barabara yake maalum inaeza pita barabara moja na matatu[emoji23][emoji23][emoji23] kumbe hawajui kuwa BRT inatakiwa iwe na barabara yake pekee ili kusiwepo na jamu.
Hahaa.. jamaa wanakwambia train za diesel ndiyo the best duniani. Ila kuna kipindi lilitoka tangazo la danganya toto kuwa wata weka umeme rail yao waliruka na kupiga mayowe kama manyani walio kutana na shamba la ndizi mbivu.
 
Nairobi haina hizi sana sababu watu wengi wana magari yao binafsi. This Tz bus station is just busy because of poverty waTz can't afford cars halafu ona vile mahali pale Ubungo pachafu sana.
From just Mtwara to Bukoba the distance is 2,000 kilometres divide by 100 then times the avarage fuel consumption per litre then times the price then come back, Kenya is way tiny to scramble all of it
 
Mtwara Bukoba ni 1350
From just Mtwara to Bukoba the distance is 2,000 kilometres divide by 100 then times the avarage fuel consumption per litre then times the price then come back, Kenya is way tiny to scramble all of it
 
Nairobi haina hizi sana sababu watu wengi wana magari yao binafsi. This Tz bus station is just busy because of poverty waTz can't afford cars halafu ona vile mahali pale Ubungo pachafu sana.

Ukiwa unajibu walau shirikisha ubongo.
Kama unao.
 
Hata wanaoenda Tukuyu huwa hawali njiani. Itakuwa Iringa?
Labla ulipanda screpa mkuu.
Mkuu umepiga Vyombo, Tatizo leo umeanza mapema sana[emoji2]
mimi Iringa huwa nakamua masaa 6 hadi 7 maximum, ni Km500 toka Dar,
Ukitoka dar saa 12 asubuhi saa 6 upo Iringa, Huyo jamaa yako alilala wapi?
 
Back
Top Bottom