Video: Huu Ndio Mji wa Goma Unaodaiwa Kutekwa na M23

Pamoja na vita ila ukitoa Dar hakuna Mji wa kusogelea Goma Kwa hapa Tanzania aisee ni Mji mzuri kabisa.
 
Sasa s mnasema kazi ya jeshi ni uzalendo tena leo mnataka mishahara
Jamaa wanatupa silaha chini kisha wanakimbia wengine wanavua gwanda za jeshi kabisa wanavaa kiraia ili wasitambulike km wanajeshi na kujichanganya na raia camera zimewanasa sasa wanatafutwa wahukumiwe jeshini ukiwa vitani ukarudi nyuma wenzio wanaenda mbele unapigwa risasi hadi ufe wewe msaliti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…