Video: Huyu kama ni mkeo utamfanyaje?

Video: Huyu kama ni mkeo utamfanyaje?

Kufanyana mbele ya watoto sio, kama ni kweli lakin maana saa zingine hasira bwana. Simlaumu maana sijui nikikasirika to a certain extent nakuwaje, ninachomuomba Bwana niwe na hasira lakini nisitende dhambi. Natamani zirudi enzi za kukaa chini na kujadili mambo bila kushirikisha mitandao, viongozi wa dini, wazazi na ndugu unless mkishindwa kufikia makubaliano ndo msogee ngazi nyingine. Yote tisa, kumi, Yesu anarudi kuchukua kanisa. Kama newchi na oomb tushaonja nyingi, its time to kuanika kabla hatujautwanga mbichi....
 
Mama wa watu ukute nanii haijaguswa Ina mwaka sasa hapo hasira za kuliwa nanii ya mumewe plus kichaa cha kutoguswa mwaka vikichngamana matokeo ndo hayo hasira anahamishia kwa makochi na magodoro.
Wakija kusuluhishwa akipatiwa dawa atajiona falaa Sana kwa kuharibu fenicha
 
Back
Top Bottom