Video: Huyu kama ni mkeo utamfanyaje?

Video: Huyu kama ni mkeo utamfanyaje?

Hata sijui kama ni mkeo utamfanyaje?

Starehe ya ngono kuifanyia nyumbani hakikisha una hela chafu. Yaaani kama hapa anachokifanya kinamuuma mumewe basi jua mumewe hana hela ya kutombea nyumbani. Mtu mwenye hela ya kutombea nyumbani hua haumii anahama na kujenga nyumba kali kuliko hio na kuanza upya. Vijana musiige watu maana hamjui bank wana sh ngapi ?
 
Sasa kitu gani kimekuchekesha?

Nakuelewa, nakumbuka wakati mtoto wa watu sijaanza tabia mbaya ( nilikua Jesus boy hadi watu wanatilia shaka kama nipo sawa) nikapata girlfriend analazimisha tupige kazi kabla ya ndoa. Nilikua nashangaa sana. Sasa nikaja kujua alikua akiishi na mwanaume mwingine wakati amekuja likizo ndio anataka aniingize mkenge nimuoe...nilitaka kuwa kichaa. Sikujali wazee walishaenda kujitambulisha na sikuwahi kuongelea tena muafaka wa hilo jambo hadi Sasa.

Baadae nikaja kuwaambia wakatoe mahari Kwa Mke niliyenae sasa.

Cha ajabu huyo Binti aliyetaka kunipa ukichaa leo kanitumia sms kunijulia hali. Nimejikuta naongea peke yangu.

Wivu wa mtu anaejitunza au kumpenda sana mtu hauelezeki.

Bila shaka uko salama!
Nimecheka pale ulipoandika dj anipigie wimbo,

Mi niko salama sababu nayajua maumivu yake kumpenda mtu kwa moyo mmoja unaweza kufa au kufanya vitu vya ajabu na hii inawakuta wanawake wengi sana, tupende kwa kiasi kuepuka ukichaa wa aina hii,
 
Starehe ya ngono kuifanyia nyumbani hakikisha una hela chafu. Yaaani kama hapa anachokifanya kinamuuma mumewe basi jua mumewe hana hela ya kutombea nyumbani. Mtu mwenye hela ya kutombea nyumbani hua haumii anahama na kujenga nyumba kali kuliko hio na kuanza upya. Vijana musiige watu maana hamjui bank wana sh ngapi ?
Huyo mume hela Hana hapo hata sofa wala godoro hajanunua.
 
Maumivu Yako pande zote ila wanaume wanaumia zaidi kama mtu unampenda.
Ni vile hatuna uwezo wa kuwaadhibu unadhani huyo mwanamke angekuwa na nguvu ya kumchinja huyo mume asingemchinja? Au ingekuwa mwanaume ndo kamfuma mkewe ndani mwake angefanyaje kama sio kuwachinja km kuku nyumba nzima, ni kwa vile mnazo nguvu, sie tunatamanigi hata kuwatafuna ila ndo hata kifinyo hatuezi kuwapa ndo hapo tunaishia kuchepuka au kuwamaliza kimyakimya
 
Back
Top Bottom