Video: Huyu ndiye Lazaro Samwel Nyalandu

Video: Huyu ndiye Lazaro Samwel Nyalandu

Mag3

Platinum Member
Joined
May 31, 2008
Posts
13,413
Reaction score
23,592


Naupenda Urais...




Nampenda Lissu...


'

Naipenda Chadema...




Hapa nimefika...



 
View attachment 1772606

Naupenda Urais...


View attachment 1772605

Nampenda Lissu...


View attachment 1772607'

Naipenda Chadema...


View attachment 1772608

Hapa nimefika...



Nchi yetu hii na wanaopenda kujiita wanasiasa,... sijui kama unaweza ukawapata wanasiasa kwelikweli wanaoamini na kusimamia chochote zaidi ya uanasiasa wao.

Kama wapo, basi hawajitambulishi ili tuwahesabu.

Labda, nasema labda, (kwa sababu kuna waigizaji wazuri kama yule Binti Halima Mdee); kama Mchungaji Msigwa sio muigizaji mzuri, kwa leo hii ndiye ninayeweza kusema ni tofauti. Lakini sijui.

Nyarandu aliigiza vizuri vya kutosha: alipoukosa uwaziri, halafu Magufuli kafanya aliyofanya..., ilikuwa ni uigizaji mzuri kiasi cha kutosha kwa Nyalandu kukoga nyoyo za watu kwa kuacha maslahi ya ubunge. Ni nani asingehadaika na kitendo cha namna hiyo kwa wanasiasa wetu wa siku hizi!

Siku hizi mtu kujiuzuru toka sehemu yoyote ya maslahi kwake eti kwa kulinda anayoyasimamia au kuyaamini, jambo la namna hiyo halipo kabisa.

Kwa hiyo Nyalandu, kama wenzake wote walivyo, ni msaka fursa popote anapodhani fursa inapatikana. CCM sasa hivi ndipo anapoona fursa inapatikana, kwa nini aendelee kupoteza muda wake CHADEMA!
 
Mnamuonea Nyalandu, yeye na wenzake wengi walimkimbia Magufuli. Sasa Magufuli hayupo wanarudi kwao.
Kwa nini kuisimanga Chadema?
Walimuhifadhi
Walimfichia siri
Walimuokoa kutokupata aibu
Walimtunza
Walimheshimu zaidi walimlinda
Kujisemeshasemesha ndio nini?
Uzuri historia haifutiki
Heshima na Adabu si wa kufundishwa
Amekosa hekima busara na ustaarabu

Ila amelikoroga karibu atalinywa
Karma is ananiluuuu
 
Huyu inawezekana ni wale wa jinsia zingine!
 
Ila hili lijamaa lilijiamini sana aiseee.
Maana alipimp mabus Nyalando for president kabla chadema hawajapitisha jina la mgombea uraisi.

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
View attachment 1772606

Naupenda Urais...


View attachment 1772605

Nampenda Lissu...


View attachment 1772607'

Naipenda Chadema...


View attachment 1772608

Hapa nimefika...



Nyalandu ni Mnafiki sana. MWaka 2020 hakustahili hata kuchukua Fomu Zaidi ya kuamua kumpa support Tundu Lisu mapema sana. Yaani hata anavyoongea tu hapo anaonesha kabisa moyoni mwake kama kaumia sana sana. Nyalandu tangu akiwa kiongozi wa Ukwata Enzi hizo akisoma Sekondari alikuwa ni mnafiki nafiki tu mtafuta nafasi "opportunist". Mwaka 2020 alihisi fika kuwa CHADEMA inaenda kushinda ndiy maana akarukia tawi hilo la mti. Tawi hilo limekatika basi amerukia tawi linguine - huyu ni mnafiki na sijawahi kumwamini tangu atoke CCM. Tena alitoka baada ya kutoswa UWaziri - kwani angebaki na ubunge wake wakati huo unafikiri JPM angeshindwa kumbeba? Akwendereeeee zake hukoooooooo!
 
wajumbe meza kuu wanaangalia kama vile wanataka kumwambia maliza haraka, wanapepesa macho na kufikicha, kuna mengi meza kuu
 
View attachment 1772606

Naupenda Urais...


View attachment 1772605

Nampenda Lissu...


View attachment 1772607'

Naipenda Chadema...


View attachment 1772608

Hapa nimefika...



Nyalandu ni Mnafiki sana. MWaka 2020 hakustahili hata kuchukua Fomu Zaidi ya kuamua kumpa support Tundu Lisu mapema sana. Yaani hata anavyoongea tu hapo anaonesha kabisa moyoni mwake kama kaumia sana sana. Nyalandu tangu akiwa kiongozi wa Ukwata Enzi hizo akisoma Sekondari alikuwa ni mnafiki nafiki tu mtafuta nafasi "opportunist". Mwaka 2020 alihisi fika kuwa CHADEMA inaenda kushinda ndiy maana akarukia tawi hilo la mti. Tawi hilo limekatika basi amerukia tawi linguine - huyu ni mnafiki na sijawahi kumwamini tangu atoke CCM. Tena alitoka baada ya kutoswa UWaziri - kwani angebaki na ubunge wake wakati huo unafikiri JPM angeshindwa kumbeba? Akwendereeeee zake hukoooooooo!
 
View attachment 1772606

Naupenda Urais...


View attachment 1772605

Nampenda Lissu...


View attachment 1772607'

Naipenda Chadema...


View attachment 1772608

Hapa nimefika...



Nyalandu ni Mnafiki sana. MWaka 2020 hakustahili hata kuchukua Fomu Zaidi ya kuamua kumpa support Tundu Lisu mapema sana. Yaani hata anavyoongea tu hapo anaonesha kabisa moyoni mwake kama kaumia sana sana. Nyalandu tangu akiwa kiongozi wa Ukwata Enzi hizo akisoma Sekondari alikuwa ni mnafiki nafiki tu mtafuta nafasi "opportunist". Mwaka 2020 alihisi fika kuwa CHADEMA inaenda kushinda ndiy maana akarukia tawi hilo la mti. Tawi hilo limekatika basi amerukia tawi linguine - huyu ni mnafiki na sijawahi kumwamini tangu atoke CCM. Tena alitoka baada ya kutoswa UWaziri - kwani angebaki na ubunge wake wakati huo unafikiri JPM angeshindwa kumbeba? Akwendereeeee zake hukoooooooo!
 
Kwa nini kuisimanga Chadema?
Walimuhifadhi
Walimfichia siri
Walimuokoa kutokupata aibu
Walimtunza
Walimheshimu zaidi walimlinda
Kujisemeshasemesha ndio nini?
Uzuri historia haifutiki
Heshima na Adabu si wa kufundishwa
Amekosa hekima busara na ustaarabu

Ila amelikoroga karibu atalinywa
Karma is ananiluuuu
Anadai Chadema walimteka...kasahau kambi ya watekaji, watesaji na wauaji ilipo!



Naam, karudi nyumbani kambini kwa watekaji...birds of a feather fly together!

nyalandu (1).jpg
 
Back
Top Bottom