Video: Huyu ndiye mgombea ubunge jimbo la Kawe

Video: Huyu ndiye mgombea ubunge jimbo la Kawe

CCM ndiyo inataka kutupelekea wabunge wa dizaini hii halafu, weupe na wasio na uelewa na ufahamu wa namna serikali inavyofanya kazi.

Gwajima anataka kuwaaminisha wananchi kuwa utofauti wa bei ya sukari unasababishwa na mbunge kutosema.

Kwa usomi wake na exposure aliyonayo kila mtu alitegemea amwambie mwananchi huyu moja kwa moja kuwa, hali hiyo inasababishwa na ubovu ama udhaifu wa SERA na MIPANGO ya hovyo ya KIUCHUMI/BIASHARA ya serikali ya CCM.

Lakini Gwajima kwa kutojua ama kwa makusudi kabisa naona ameamua naye kujiunga na "timu unafiki, uovu na uongo" ya maCCM na kuwa mnafiki na mwongo kama hao aliojiunga nao walivyo waongo.

Sasa ona jinsi mzee huyu anavyomuabisha hapa.

Mchagueni awapige UNOO
 
Kweli Gwajima ni jembe [emoji123] maana si kwa nyuzi zinazoanzishwa zidi yake hii inaonesha jamaa anakitu cha tofauti!

Mkoa wa DSM una majimbo mengi na wagombea wengi wako mfano kina Bona wa Segerea, Ukonga kuna nani sijui, Temeke, Ubungo, Kibamba, Kinondoni, Kawe, Kigamboni n.k

Cha ajabu wagombea wa huko kwingine wala hawaazishiwi nyuzi isipokuwa Kawe na Gwajima!

Indeed Gwajima is Great [emoji123]

Wanakawe ni bahati na Neema kubwa kumpata mtu kama Gwajima kuwa mbunge wenu!

[emoji3][emoji3][emoji3]
Kweli Gwajima is great katika utafunaji kondoo , halafu anajua kuvhagua kondoo na kuwatifua tope
 
Ukweli usemwe tu kwa sasa ni Gwajima tu anayeweza kuwafaa wananchi wa jimbo la Kawe na Taifa kwa ujumla.
 
Mzee kamshona spana za mbavu hadi tapeli anavuja jasho kama kakutana na chatu.
 
Kweli Gwajima ni jembe [emoji123] maana si kwa nyuzi zinazoanzishwa zidi yake hii inaonesha jamaa anakitu cha tofauti!

Mkoa wa DSM una majimbo mengi na wagombea wengi wako mfano kina Bona wa Segerea, Ukonga kuna nani sijui, Temeke, Ubungo, Kibamba, Kinondoni, Kawe, Kigamboni n.k

Cha ajabu wagombea wa huko kwingine wala hawaazishiwi nyuzi isipokuwa Kawe na Gwajima!

Indeed Gwajima is Great [emoji123]

Wanakawe ni bahati na Neema kubwa kumpata mtu kama Gwajima kuwa mbunge wenu!

[emoji3][emoji3][emoji3]
Beberu si kiumbe mzuri
FB_IMG_1600583870755.jpg
 
  • Thanks
Reactions: RTI
Askofu Gwajima atashinda Ubunge kwakuwa tu wana Kawe 'wameshamchoka' Mbunge Mdee ila siyo kwa Yeye 'Kukubalika' na Wapiga Kura Kawe.
Halima hajachokwa Kawe, rudia utafiti wako kama umefanya! Kama Gwajima atashinda Kawe haiwezi kuwa ni kwa sababu ya Mdee kuchokwa, labda iwe ni kushindishwa. Ukweli ni kwamba wana Kawe hawako tayari kabisa kuongozwa na Gwajima!
 
Halima hajachokwa Kawe, rudia utafiti wako kama umefanya! Kama Gwajima atashinda Kawe haiwezi kuwa ni kwa sababu ya Mdee kuchokwa, labda iwe ni kushindishwa. Ukweli ni kwamba wana Kawe hawako tayari kabisa kuongozwa na Gwajima!


Je unayo Habari kuwa yapo baadhi ya maeneo ameenda kufanya Campaign lakini wamemtimua?
Je hiyo siyo dalili mojawapo ya kuchokwa?

Kamuulize hivi karibuni alipoenda Goldstar mwitikio ulikuwaje?

Labda kama hujui ni kuwa walimtimua!

Uwe unatafuta kupata updates usitumie mazoea!

Ukweli ndiyo huo kuwa Halima kachokwa [emoji108]

Actually hata yeye mwenyewe deep inside her soul analijua hilo isipokuwa anajaribu kukomaa aone pengine ataweza kuokota dodo chini ya mchongoma! (Muujiza).
 
Je unayo Habari kuwa yapo baadhi ya maeneo ameenda kufanya Campaign lakini wamemtimua?
Je hiyo siyo dalili mojawapo ya kuchokwa?

Kamuulize hivi karibuni alipoenda Goldstar mwitikio ulikuwaje?

Labda kama hujui ni kuwa walimtimua!

Uwe unatafuta kupata updates usitumie mazoea!

Ukweli ndiyo huo kuwa Halima kachokwa [emoji108]

Actually hata yeye mwenyewe deep inside her soul analijua hilo isipokuwa anajaribu kukomaa aone pengine ataweza kuokota dodo chini ya mchongoma! (Muujiza).
Una akili ndogo sana! Kutimua? Ili iweje? Siku zote watu wanapomchoka kiongozi aina ya mbunge huonyesha kwenye sanduku la kura, sio kutimua! Kutimua ni uhuni ambao umeletwa na awamu ya tano kama mbinu za kishamba za kuonyesha kuwa mbunge fulani hakubaliki. Mmefanya hivyo Hai kwa Mbowe mmevutisha bangi na kulewesha gongo wahuni ili wamfanyie fujo kuonyesha kuwa hakubaliki baada ya kuwa amewazidi akili kila mnapomfanyia hujuma! Narudia: HALIMA MDEE huwezi kumlinganisha na tapeli GWAJIMA. Na mtu anayeona kwamba GWAJIMA anafaa kuwa mbunge basi akili yake itakuwa inahitaji msaada wa haraka sana!
 
Una akili ndogo sana! Kutimua? Ili iweje? Siku zote watu wanapomchoka kiongozi aina ya mbunge huonyesha kwenye sanduku la kura, sio kutimua! Kutimua ni uhuni ambao umeletwa na awamu ya tano kama mbinu za kishamba za kuonyesha kuwa mbunge fulani hakubaliki. Mmefanya hivyo Hai kwa Mbowe mmevutisha bangi na kulewesha gongo wahuni ili wamfanyie fujo kuonyesha kuwa hakubaliki baada ya kuwa amewazidi akili kila mnapomfanyia hujuma! Narudia: HALIMA MDEE huwezi kumlinganisha na tapeli GWAJIMA. Na mtu anayeona kwamba GWAJIMA anafaa kuwa mbunge basi akili yake itakuwa inahitaji msaada wa haraka sana!


Akili huwa vile ilivyo na siyo vile wewe utasema kwa mtu fulani!

Huu mjadala hauhitaji hasira!

Yani kumtukana mtu ndo unaona umetoa hoja nzito?

Bahati Nzuri mimi huwa nimejifunza kuwa psychologically matured enough hayo matusi yako wala sijali sana sana inanipa kujua wewe ni mtu wa aina gani!

Hata mimi sikubaliani na swala la kumtimua mgombea hekima ni kumsikiliza kisha kusubiri kupiga kura ya Ndiyo kwa umpemdaye!


Inavyoonekana wewe humfahamu vizuri Gwajima utendaji wake!

Au u miongoni mwa watu fulani ambao kama wanachuki binafsi na Gwajima lakini sasa haisadii bora kumpenda tu maana ndiye ajaye!

Bidada Halima hana jipya mimi mwenyewe nilikuwa namkubali sana lakini sasa hapana!
 
Akili huwa vile ilivyo na siyo vile wewe utasema kwa mtu fulani!

Huu mjadala hauhitaji hasira!

Yani kumtukana mtu ndo unaona umetoa hoja nzito?

Bahati Nzuri mimi huwa nimejifunza kuwa psychologically matured enough hayo matusi yako wala sijali sana sana inanipa kujua wewe ni mtu wa aina gani!

Hata mimi sikubaliani na swala la kumtimua mgombea hekima ni kumsikiliza kisha kusubiri kupiga kura ya Ndiyo kwa umpemdaye!


Inavyoonekana wewe humfahamu vizuri Gwajima utendaji wake!

Ni miongoni mwa watu fulani ambao kama wanachuki binafsi na Gwajima lakini sasa haisadii!

Bidada Halima hana jipya mimi mwenyewe nilikuwa namkubali sana lakini sasa hapana!
Namfahamu Gwajima vizuri sana. Na kadri ya mjadala huu naweza kuandika kwa kujiamini kabisa kuwa inawezekana kabisa kwamba namfahamu zaidi Gwajima kuliko unavyomfahamu wewe! na kutokana ninavyomfahamu Gwajima nitaendelesa kuwa upande ule unaoamini kuwa hata kama Halima ana mapungufu yake kama binadamu na kama kiongozi, lakini bado ni mzuri zaidi kuliko Gwajima kwa nafasi ya ubunge wa Kawe!
 
Namfahamu Gwajima vizuri sana. Na kadri ya mjadala huu naweza kuandika kwa kujiamini kabisa kuwa inawezekana kabisa kwamba namfahamu zaidi Gwajima kuliko unavyomfahamu wewe! na kutokana ninavyomfahamu Gwajima nitaendelesa kuwa upande ule unaoamini kuwa hata kama Halima ana mapungufu yake kama binadamu na kama kiongozi, lakini bado ni mzuri zaidi kuliko Gwajima kwa nafasi ya ubunge wa Kawe!


Sawa nakubaliana na wewe huenda unamjua vizuri kuliko mimi haina neno!

Wacha tubadilishe tuweke mtu mwingine Yani Gwajima ili tuone namna atavyoweza kushirikiana na serikali katika kuondoa kero za wananchi na kuwawakilisha bungeni ipasavyo.

Miaka 5 si mingi kadiri M. Mungu anavyotujalia uzima tutaweza kuona kama Gwajima atafanya kazi kwa ufanisi .

Kama naye atambwelambwela kama Halima na wengine akija tena tutamkataa!

Taarifa ya utafiti wa kisayansi imethibitisha pasipo shaka kuwa mabadiliko hupelekea ufanisi.

Miaka 10 inatosha kumuelewa mbunge jinsi utendaji kazi wake kuona kama bado anahitajika au la.

Wacha tumpe nafasi Gwajima tumuone namna atakavyofanya kazi akishindwa awamu nyingine tutamkataa!

Uzuri bidada tumeshajua utendaji kazi wake siyo wa kuridhisha sasa kwanini tuendelee kumuweka?!
 
Kutoka kumtumikia Mungu wa kweli,mpaka kumtumikia shetani CCM mtumishi wa kuwapora fomu wapinzani, kuteka wapinzani, kuua wapinzani shetani CCM atangazwe kupita bila kupingwa kwa kuwa hana uwezo wa kupambana na fire asije akageuka kuwa mukaa.
 
Huyu mwananchi anaufahamu mkubwa sana. Hapo ndio ujue bombardier hazijaleta impact yoyote kwa wananchi.
 
Kweli Gwajima ni jembe [emoji123] maana si kwa nyuzi zinazoanzishwa zidi yake hii inaonesha jamaa anakitu cha tofauti!

Mkoa wa DSM una majimbo mengi na wagombea wengi wako mfano kina Bona wa Segerea, Ukonga kuna nani sijui, Temeke, Ubungo, Kibamba, Kinondoni, Kawe, Kigamboni n.k

Cha ajabu wagombea wa huko kwingine wala hawaazishiwi nyuzi isipokuwa Kawe na Gwajima!

Indeed Gwajima is Great [emoji123]

Wanakawe ni bahati na Neema kubwa kumpata mtu kama Gwajima kuwa mbunge wenu!

[emoji3][emoji3][emoji3]
Gwajima hadi mbuzi tu wakazi wa kawe hawamtaki, wamekula Bango zake,wamemfuta kabisa
 
Back
Top Bottom