Video: Huyu ndiye mgombea ubunge jimbo la Kawe

Video: Huyu ndiye mgombea ubunge jimbo la Kawe

Sikiliza kauli zake utajua kuwa huyu ni tapeli,
.....Aliwahi kusema pale kanisani kwake atazindua treni kwani pesa cash ameshazipata lakini mpaka leo hakuna lolote
.... Aliwahi kusema yeye hawezi kugombea Urais, Uwaziri wala Ubunge, kwani Mtumishi wa Mungu ni zaidi ya Rais, Waziri, na Mbunge. Leo yako wapi sasa.
Yako mengi sana achilia mbali kauli yake ya hivi karibuni kuwa atampeleka Marekani kila mwanakawe. Mpaka watu wameanza kutilia shaka elimu yake baada ya kusikiliza kauli za huyu Gwajboy.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app


Allency the World is Dynamic is dynamic always and not static!

Ktk modern management inaruhusiwa ku revise your priorities ktk kuweza kutimiza malengo ya taasisi husika.

Vivyo hivyo hata kwa ngazi ya familia au mtu binafsi ni kawaida kabisa kwa mtu kuamua kupitia na kupangilia upya vipaombele vyake baada ya kuzingatia mambo au sababu kadha wa kadha ikiwemo sababu ya ukosefu wa rasilimali fedha, watu, muda, politics situations, change in government policies, mahitaji ya watu, mabadiliko ya technology n.k.

Kwa hiyo hivyo ndivyo mambo yanavyoenda wala hakuna lakushangaza hapo!

Gwajima ametafakali na kuamua ku revise his priorities kuendana na wakati tulionao Ndiyo maana amebadili mawazo ambayo kwa kufanya hivyo hajavunja sheria yoyote!

Mtu kutafakali na kupanga upya vipaombele vyako siyo tatizo.
Ndicho alichofanya jamaa!

Kwa kigezo hicho hawezi kuwa tapeli labda ulete sababu au vipimo vingine!
 
Hawa Wazee ndio tunao wataka huku mitaani, mzee umri umeenda lakini uwezo wake wa ubongo unafanya kazi kama kijana mwenye miaka 25
 
Gwajima CCM wanamuonea bure kazi ya ubunge haiwezi ana kazi zake anazoweza ? Kula kondoo na kuwatifua tope , kuchagua kondoo wa kula Ni fundi hakosea anajua kuchagua balaa.
IMG_20200920_151708.jpg
 
Allency the World is Dynamic is dynamic always and not static!

Ktk modern management inaruhusiwa ku revise your priorities ktk kuweza kutimiza malengo ya taasisi husika.

Vivyo hivyo hata kwa ngazi ya familia au mtu binafsi ni kawaida kabisa kwa mtu kuamua kupitia na kupangilia upya vipaombele vyake baada ya kuzingatia mambo au sababu kadha wa kadha ikiwemo sababu ya ukosefu wa rasilimali fedha, watu, muda, politics situations, change in government policies, mahitaji ya watu, mabadiliko ya technology n.k.

Kwa hiyo hivyo ndivyo mambo yanavyoenda wala hakuna lakushangaza hapo!

Gwajima ametafakali na kuamua ku revise his priorities kuendana na wakati tulionao Ndiyo maana amebadili mawazo ambayo kwa kufanya hivyo hajavunja sheria yoyote!

Mtu kutafakali na kupanga upya vipaombele vyako siyo tatizo.
Ndicho alichofanya jamaa!

Kwa kigezo hicho hawezi kuwa tapeli labda ulete sababu au vipimo vingine!
Mkuu uko sahihi tena sahihi sana, lakini linapokuja swala la mchungaji/baba wa kiroho kubadili mwelekeo na kigeukia mambo ya kidunia kidogo inaleta ukakasi. Baba wa kiroho/Mchungaji anaposema uongo sidhani kama ni sawa zaidi ya kuwa tapeli tu. Wajua mpaka leo wale jamaa wa tuma kwa namba hii bado wanapata watu wa kuwatapeli, hii ina maana gani, ni kuwa hata matapeli bado kuna watu wanawaamini(case study ni wewe).

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Hajazoea kukaa bila kiyoyozi. Mtu anaendesha Hammer wajinga wake wanampa sadaka, fungu la kumi na kapu mchugaji bado anataka na mshahara na posho za kikao.
Kwanza cheki anavojifuta jasho
 
Sawa nakubaliana na wewe huenda unamjua vizuri kuliko mimi haina neno!

Wacha tubadilishe tuweke mtu mwingine Yani Gwajima ili tuone namna atavyoweza kushirikiana na serikali katika kuondoa kero za wananchi na kuwawakilisha bungeni ipasavyo.

Miaka 5 si mingi kadiri M. Mungu anavyotujalia uzima tutaweza kuona kama Gwajima atafanya kazi kwa ufanisi .

Kama naye atambwelambwela kama Halima na wengine akija tena tutamkataa!

Taarifa ya utafiti wa kisayansi imethibitisha pasipo shaka kuwa mabadiliko hupelekea ufanisi.

Miaka 10 inatosha kumuelewa mbunge jinsi utendaji kazi wake kuona kama bado anahitajika au la.

Wacha tumpe nafasi Gwajima tumuone namna atakavyofanya kazi akishindwa awamu nyingine tutamkataa!

Uzuri bidada tumeshajua utendaji kazi wake siyo wa kuridhisha sasa kwanini tuendelee kumuweka?!
HATUWEZI KUONJA SUMU! CHANGAMOTO TULIZO NAZO KAWE HAZIWEZI KUTUGEUZA KUWA WAJINGA WA KUMPA UBUNGE GWAJIMA! SISI WANA KAWE TUNAJUA KWANINI SYSTEM WANAMTAKA HUYO PAMOJA NA UKWELI KWAMBA SISI WANA CCM HATUMTAKI. MSITUPANGIE...
 
Hajazoea kukaa bila kiyoyozi. Mtu anaendesha Hammer wajinga wake wanampa sadaka, fungu la kumi na kapu mchugaji bado anataka na mshahara na posho za kikao.
HIYO HAMMER YENYEWE BADO ANAENDESHA KWELI?
 
CCM ndiyo inataka kutupelekea wabunge wa dizaini hii halafu, weupe na wasio na uelewa na ufahamu wa namna serikali inavyofanya kazi.

Gwajima anataka kuwaaminisha wananchi kuwa utofauti wa bei ya sukari unasababishwa na mbunge kutosema.

Kwa usomi wake na exposure aliyonayo kila mtu alitegemea amwambie mwananchi huyu moja kwa moja kuwa, hali hiyo inasababishwa na ubovu ama udhaifu wa SERA na MIPANGO ya hovyo ya KIUCHUMI/BIASHARA ya serikali ya CCM.

Lakini Gwajima kwa kutojua ama kwa makusudi kabisa naona ameamua naye kujiunga na "timu unafiki, uovu na uongo" ya maCCM na kuwa mnafiki na mwongo kama hao aliojiunga nao walivyo waongo.

Sasa ona jinsi mzee huyu anavyomuabisha hapa.

Yule she-male amefanya nini miaka 5?
 
Gwajima CCM wanamuonea bure kazi ya ubunge haiwezi ana kazi zake anazoweza ? Kula kondoo na kuwatifua tope , kuchagua kondoo wa kula Ni fundi hakosea anajua kuchagua balaa.View attachment 1576025
Huyu ndiye aliyemgaragaza kifo cha mende? Ila muumini hakutoa ushirikiano wa kutosha shughuli yote alimuachia Baba asiyehofu maana ile miuno siyo ya nchi hii.
 
Huo ni mtazamo tu na tafsiri ya mtu binafsi sababu ukiniuliza mimi nitakwambia kuwa wale Mbuzi wanamkubali sana Gwajima na atashinda kwa kishindo.

Mnyama hula kitu akipendacho.

Kwa hiyo kama mbuzi walikuwa wanakula picha ya Gwajima maana yake Gwajima anapendwa sana na watu hadi Wanyama .

Kumbuka hata tafiti za kisayansi zinaonesha hivyo hata kwenye tasnia ya michezo n.k wakitaka kujua uwezekano wa ushindi huweka mambo 2-3 lile litakaloliwa na mnyama ndiyo huwa na ushindi.

Rejea habari ya Pweza Paul kwenye World Cup
Wele mbuzi hawakuwa wanakula bango la huyo bingwa wa ngonouzembe bali walikuwa wanayachana chana na kuyatupa ikimaanisha changono tupa kuleeeee
 
Wele mbuzi hawakuwa wanakula bango la huyo bingwa wa ngonouzembe bali walikuwa wanayachana chana na kuyatupa ikimaanisha changono tupa kuleeeee


Sawa lakini bado tafasiri inategemea na mtazamo wa mtu!


Vyovyote inavyowezwa kutafasiriwa lakini ni vema na haki kuleta mabadiliko kwa kumpigia kura ya ndiyo Bwana Gwajima.

Bidada ameshachoka!

Kiukweli kabisa Halima hawezi kuwa na jipya ambalo kwa miaka 10 ameshindwa kulifanya na kuonekana kwa wananchi wa Kawe na Taifa kwa ujumla.

Gwajima anatosha kwa Kawe!
 
Una akili ndogo sana! Kutimua? Ili iweje? Siku zote watu wanapomchoka kiongozi aina ya mbunge huonyesha kwenye sanduku la kura, sio kutimua! Kutimua ni uhuni ambao umeletwa na awamu ya tano kama mbinu za kishamba za kuonyesha kuwa mbunge fulani hakubaliki. Mmefanya hivyo Hai kwa Mbowe mmevutisha bangi na kulewesha gongo wahuni ili wamfanyie fujo kuonyesha kuwa hakubaliki baada ya kuwa amewazidi akili kila mnapomfanyia hujuma! Narudia: HALIMA MDEE huwezi kumlinganisha na tapeli GWAJIMA. Na mtu anayeona kwamba GWAJIMA anafaa kuwa mbunge basi akili yake itakuwa inahitaji msaada wa haraka sana!
Mweleze huyo Chakubanga!!
 
Wanawake wa kawe hasa ambao wanasumbuka na wanaume wao kukosa nguvu za kiume inabidi wamchague jamaa awasaidie kutatua hilo tatizo
 
Back
Top Bottom