Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Gwajima hadi mbuzi tu wakazi wa kawe hawamtaki, wamekula Bango zake,wamemfuta kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli Gwajima ni jembe [emoji123] maana si kwa nyuzi zinazoanzishwa zidi yake hii inaonesha jamaa anakitu cha tofauti!
Mkoa wa DSM una majimbo mengi na wagombea wengi wako mfano kina Bona wa Segerea, Ukonga kuna nani sijui, Temeke, Ubungo, Kibamba, Kinondoni, Kawe, Kigamboni n.k
Cha ajabu wagombea wa huko kwingine wala hawaazishiwi nyuzi isipokuwa Kawe na Gwajima!
Indeed Gwajima is Great [emoji123]
Wanakawe ni bahati na Neema kubwa kumpata mtu kama Gwajima kuwa mbunge wenu!
[emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umenifanya nicheke sana, mkuu kama unaishi kawe unaweza kweli mpigia kura Gwajboy?
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
CCM ndiyo inataka kutupelekea wabunge wa dizaini hii halafu, weupe na wasio na uelewa na ufahamu wa namna serikali inavyofanya kazi.
Gwajima anataka kuwaaminisha wananchi kuwa utofauti wa bei ya sukari unasababishwa na mbunge kutosema.
Kwa usomi wake na exposure aliyonayo kila mtu alitegemea amwambie mwananchi huyu moja kwa moja kuwa, hali hiyo inasababishwa na ubovu ama udhaifu wa SERA na MIPANGO ya hovyo ya KIUCHUMI/BIASHARA ya serikali ya CCM.
Lakini Gwajima kwa kutojua ama kwa makusudi kabisa naona ameamua naye kujiunga na "timu unafiki, uovu na uongo" ya maCCM na kuwa mnafiki na mwongo kama hao aliojiunga nao walivyo waongo.
Sasa ona jinsi mzee huyu anavyomuabisha hapa.
Tanzania hatuishiwi vituko, hivi mtu timamu unakiri mbele za watu kuwa unamkubali tapeli akuogoze[emoji848]Akili huwa vile ilivyo na siyo vile wewe utasema kwa mtu fulani!
Huu mjadala hauhitaji hasira!
Yani kumtukana mtu ndo unaona umetoa hoja nzito?
Bahati Nzuri mimi huwa nimejifunza kuwa psychologically matured enough hayo matusi yako wala sijali sana sana inanipa kujua wewe ni mtu wa aina gani!
Hata mimi sikubaliani na swala la kumtimua mgombea hekima ni kumsikiliza kisha kusubiri kupiga kura ya Ndiyo kwa umpemdaye!
Inavyoonekana wewe humfahamu vizuri Gwajima utendaji wake!
Au u miongoni mwa watu fulani ambao kama wanachuki binafsi na Gwajima lakini sasa haisadii bora kumpenda tu maana ndiye ajaye!
Bidada Halima hana jipya mimi mwenyewe nilikuwa namkubali sana lakini sasa hapana!
Mkuu unasali kwake nini?Kabisa !
Kura yangu ya ndiyo kwa Gwajima Mbona tayari anayo!
Gwajima [emoji736]
Ndiyo mwenye afadhali kubwa kati ya wagombea wote wanaogombea!
Gwajima ana easy access hata ya kwenda Ikulu kwenda kumuona Mkulu iwapo ataona kuna kero itakayokwama kwa watendaji wa huku chini kwa sababu moja ama nyingine katika kutafuta ufumbuzi.
Sasa hiyo kitu hao wagombea wengine hawana !
Kwni waliila au waliichanachana? Gwajiboy ni tapel kama matapeli wengine. Mkuu unakumbuka huyu aliwahi kusema yeye hawezi kuwa Rais. Waziri wala Mbunge kwa sababu Mtumishi wa Mungu ni zaidi ya hivyo vyote, je hilo unalisemeaje kama huyu siyo tapel?Huo ni mtazamo tu na tafsiri ya mtu binafsi sababu ukiniuliza mimi nitakwambia kuwa wale Mbuzi wanamkubali sana Gwajima na atashinda kwa kishindo.
Mnyama hula kitu akipendacho.
Kwa hiyo kama mbuzi walikuwa wanakula picha ya Gwajima maana yake Gwajima anapendwa sana na watu hadi Wanyama .
Kumbuka hata tafiti za kisayansi zinaonesha hivyo hata kwenye tasnia ya michezo n.k wakitaka kujua uwezekano wa ushindi huweka mambo 2-3 lile litakaloliwa na mnyama ndiyo huwa na ushindi.
Rejea habari ya Pweza Paul kwenye World Cup
ikulu sio kwakutaturia shida ni makazi ya raisi shida nyie wana Lumumba mumeona mikataba yakifisadi wana sign ikulu basi munaona kama misada ni ikulu...nonsense!!!Kabisa !
Kura yangu ya ndiyo kwa Gwajima Mbona tayari anayo!
Gwajima [emoji736]
Ndiyo mwenye afadhali kubwa kati ya wagombea wote wanaogombea!
Gwajima ana easy access hata ya kwenda Ikulu kwenda kumuona Mkulu iwapo ataona kuna kero itakayokwama kwa watendaji wa huku chini kwa sababu moja ama nyingine katika kutafuta ufumbuzi.
Sasa hiyo kitu hao wagombea wengine hawana !
Mbona kofia haikai kichwani?
Wajinga hawakosekani, huko kwenu kuna Kawe alumni na Pasco ni wa huko huko!Acha kuota kawe hamna watu wajinga ivo
Tanzania hatuishiwi vituko, hivi mtu timamu unakiri mbele za watu kuwa unamkubali tapeli akuogoze[emoji848]
Niliwahi jiuliza hivi hawa matapeli waumini huwa wanawapata wapi kumbe kweli kuna watu kama wewe Tanzania hii na dizain yenu ndiyo huwa waumini wa hao matapeli
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Bahati na Neema kubwa kumpata mtu kama ...kuwa mbunge wenu...hapa ni kwa wanakawe au wanawake..?Kweli Gwajima ni jembe [emoji123] maana si kwa nyuzi zinazoanzishwa zidi yake hii inaonesha jamaa anakitu cha tofauti!
Mkoa wa DSM una majimbo mengi na wagombea wengi wako mfano kina Bona wa Segerea, Ukonga kuna nani sijui, Temeke, Ubungo, Kibamba, Kinondoni, Kawe, Kigamboni n.k
Cha ajabu wagombea wa huko kwingine wala hawaazishiwi nyuzi isipokuwa Kawe na Gwajima!
Indeed Gwajima is Great [emoji123]
Wanakawe ni bahati na Neema kubwa kumpata mtu kama Gwajima kuwa mbunge wenu!
[emoji3][emoji3][emoji3]
Mmmmmmm! Hata wewe una mawazo ya hivyo?Kabisa !
Kura yangu ya ndiyo kwa Gwajima Mbona tayari anayo!
Gwajima [emoji736]
Ndiyo mwenye afadhali kubwa kati ya wagombea wote wanaogombea!
Gwajima ana easy access hata ya kwenda Ikulu kwenda kumuona Mkulu iwapo ataona kuna kero itakayokwama kwa watendaji wa huku chini kwa sababu moja ama nyingine katika kutafuta ufumbuzi.
Sasa hiyo kitu hao wagombea wengine hawana !
Sikiliza kauli zake utajua kuwa huyu ni tapeli,Wewe huo utapeli wake unaupimaje?
Je unaweza kuthibitisha utapeli wake pasipo shaka?
Utakuwa umesaidia wengi kumfahamu!
Fanya hivyo hima!