Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji15][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] miss chagga Siyo umri tu unaenda bali pia vitu anavyotumia kama vile mkorogo, dawa za kutengeneza makalio vyote vina expire date zake ndio maana naye ameanza kuexpire. Kuna siku atakuwa hafai kabisa kwa matumizi ya binadamu. Na hali ngumu ya ukata nayo inamla taratibu hasa kule usoni.