Video ikimuonesha MuIran akichoma moto bendera ya Israel badala yake ikamchoma moto mwenyewe

Video ikimuonesha MuIran akichoma moto bendera ya Israel badala yake ikamchoma moto mwenyewe

Tuko tayari kufa kwa ajili ya wayahudi na taifa takatifu teule la Israel. Hilo halipingiki na halikwepeki. Bora kusimama na kubaguliwa na Israel watu wa Mungu wa kweli utapata baraka. Kuliko kusimama na usibaguliwe na nchi na jamii UCHWARA!
Yerooo..kwa hiyoo uko tayar kubaguliwa ba israel na bado ukaendelea kuwakumbatia? Kwamba wanakuita nyani..wanakurushia ndiz..ila bado utakuwa unawakumbatia?? Jibu hilo kwanza..masai
 
Tuko tayari kufa kwa ajili ya wayahudi na taifa takatifu teule la Israel. Hilo halipingiki na halikwepeki. Bora kusimama na kubaguliwa na Israel watu wa Mungu wa kweli utapata baraka. Kuliko kusimama na usibaguliwe na nchi na jamii UCHWARA!
Hivi Unajua kama Wahayudi sio wakristo?
 
Hivi unajua kuwa ukikusanya idadi uislam na ukristo nchini Israel haufiki hata asilimia 50? Dini inayotawala Israel ni Uyahudi (wayahudi) vipi nawewe ni myahudi?
Iyo tunajua bana hamna haja ya kuleta hizo borojo hapa kinachojalisha ni mibaraka baas!

JESUS FIRST JESUS FOREVER

God bless and protect Israel
 
Iyo tunajua bana hamna haja ya kuleta hizo borojo hapa kinachojalisha ni mibaraka baas!

JESUS FIRST JESUS FOREVER

God bless and protect Israel
Baraka zinatokana na kipi? Wewe ndio unaleta porojo utafikiri ulikuwepo wakati Mungu anatamka hiyo kauli
 
Nimejaribu kuichoma hapa na imechomeka vizuri tu....Mungu hawapi baraka watu ili waue watu bali shetani ndo anawatawala wale watu ili waue watu waisraeli wakifa hawapai kwenda mbinguni kama Yesu wanazikana kama sisi fu*k [emoji1134]
 
Baraka zinatokana na kipi? Wewe ndio unaleta porojo utafikiri ulikuwepo wakati Mungu anatamka hiyo kauli
Yesuuu Akbar

Yesuuuuu Akbaaar

Yesuu Akbar

JESUS FIRST JESUS FOREVER

Jesus is God.

Israel the land Jews the people
 
Nimejaribu kuichoma hapa na imechomeka vizuri tu....Mungu hawapi baraka watu ili waue watu bali shetani ndo anawatawala wale watu ili waue watu waisraeli wakifa hawapai kwenda mbinguni kama Yesu wanazikana kama sisi fu*k [emoji1134]
Yesuuu Akbar

Yesuuuuu Akbaaar

Yesuu Akbar

JESUS FIRST JESUS FOREVER

Jesus is God

Israel the land Jews the people
 
Tanzania inaongoza Kwa mijitu hiyo .Juzi ilikuwa inashabikia Kaizer Chief mpaka wamewashangaa.
Yesuuu Akbar

Yesuuuuu Akbaaar

Yesuu Akbar

JESUS FIRST JESUS FOREVER

Jesus is God

Israel the land Jews the people
 
Yerooo..kwa hiyoo uko tayar kubaguliwa ba israel na bado ukaendelea kuwakumbatia? Kwamba wanakuita nyani..wanakurushia ndiz..ila bado utakuwa unawakumbatia?? Jibu hilo kwanza..masai
Yesuuu Akbar

Yesuuuuu Akbaaar

Yesuu Akbar

JESUS FIRST JESUS FOREVER

Jesus is God

Israel the land Jews the people
 
Nimejaribu kuichoma hapa na imechomeka vizuri tu....Mungu hawapi baraka watu ili waue watu bali shetani ndo anawatawala wale watu ili waue watu waisraeli wakifa hawapai kwenda mbinguni kama Yesu wanazikana kama sisi fu*k [emoji1134]
IMG_20210514_180704.jpg
 
Dini ama imani ni kitu chenye nguvu sana
Historia inatuonyesha walianza kuja watu wa dini,baada ya hapo wakaja wanaharamu
Africa walikua na dini zao kwa namna zao
Ilipokuja swala la dini iliyoletwa kutoka kwa wazungu na waarabu imewapa nafasi nzuri kututawala kwa fikra hata wale wanaoona wana elimu ya juu kuliko wengi wa waAfika wenzao

Tuna rangi 1 lkn tumetengwa kimawazo
Elimu tuliyopewa ni ya kukariri,tuna wasomi waliokariri na mpk leo hawajaona umuhimu wa kuelimisha kuwa hatukuanzia kuwa nyani

Tuna wasomi waliokariri na vyeti kwenye files,wakija huku ni dharau juu ya mwingine

Tumekua si watu wa kusaidiana kwa namna yetu

Fikra za dini tulizobebeshwa zimekua za kutetea mataifa ambayo hayatuhusu hata

Wapo wanaoamini kati ya dini 1 itaelekea jehanamu(muslims au Christian)

Vp buddha na wahindi,Chinese?

Punguzeni kubaguana kwa imani,mna rangi 1 ila mna dini za kuletewa
 
Nasimama na Israel taifa teule la Mungu
Simama kwa asili yako
Bible ipo na imetuaminisha sana
Ila waliotuletea wametutenga na waAfrika wenzetu na hali kadhalika waArab
Lipo tusilofahamu juu ya uAfrica wetu na bado hatujaelimika kujitambua

Tujipe muda wa kutafakari kwann mabara yote yatudharauu na ss tuone dini flani si sahihi

Tujiweke upande wetu kabla ya kuwaona walio mbali

Siyapingi maandiko lkn haina sababu wao watujue sisi kabla ya sisi kujitambua
 
Simama kwa asili yako
Bible ipo na imetuaminisha sana
Ila waliotuletea wametutenga na waAfrika wenzetu na hali kadhalika waArab
Lipo tusilofahamu juu ya uAfrica wetu na bado hatujaelimika kujitambua

Tujipe muda wa kutafakari kwann mabara yote yatudharauu na ss tuone dini flani si sahihi

Tujiweke upande wetu kabla ya kuwaona walio mbali

Siyapingi maandiko lkn haina sababu wao watujue sisi kabla ya sisi kujitambua
Unajisamia upande wako huku umevaa jeans, suti na chupi??!!
 
Back
Top Bottom