Video: Imevuja! Wanasayansi Wakizungu wanaswa wakifanya michakato ya kuja kufanya majaribio ya chanjo ya Corona Afrika kwa kisingizio cha utafiti!

Video: Imevuja! Wanasayansi Wakizungu wanaswa wakifanya michakato ya kuja kufanya majaribio ya chanjo ya Corona Afrika kwa kisingizio cha utafiti!

Haya ninyi ambao kila kukicha mnatetemekea wazungu na mitazamo yenu ya kitumwa mkiongozwa Tundi Lisu, Zito na Mbowe, mmesikia mabwana zenu wanavyowawazia eeh!
Wazungu hawajawahi kutuchukulia sisi weusi kama binadamu wenzao...na kwa bahati mbaya weusi wenzentu wenye mitazamo ya kitumwa ndio wamekuwa wakitusaliti na kutuletea matatizo yote!
Ndio maana Lissu alistahili alichokipata, na Zitto atapata anachokitafuta
 
Acheni uzuzu ,,,bila wazungu wagonjwa wa Ngoma wangeishije / pia hata ....shuklan waafrica hatuna.

Sent using Hapa Chadema tu
Ww upo kwenye cheo cha "upumbafu"! Huwezi elewa! Kwani ukimwi ulitoka wapi? Mtu anakutengenezea kirusi, anakiingiza mwilini mwako, baadae anakuletea viijimisaada vya uongo na kweli, afu ww kwa uzuzu wako na umbulula wako unampigia makofi na kumtukuza kwa kumshukuru!? Upumbafu ni janga baya kuliko majanga yote yanayoweza mpata mwanadamu! Pole yako!
 
ur6-Id.gif

Kwa hali hii wacha tuchanjwe tu,kwa maana uchawi wetu umeshindwa pia
 
Wakafanye utafiti na kutest chanjo kwenye nchi zenye cases nyingi za wagonjwa, ikiwemo ulipoanzia. Huku Africa umekuja bahati mbaya tu tena umeletwa.
 
Baada ya kuona Corona inawachakaza wazungu vibaya mno, wanasayansi wao wameamua kufanya mipango ya kuja kuwatumia wa-Afrika weusi kama ‘guinee pigs’ (panya wa majaribio) kwa kisingizio cha kuja kutoa chanjo, kumbe lengo ni kufanyia utafiti hizo chanjo kuona ipi ina madhara na ipi inafanya kazi, ili sasa wakishaijua ipi ni effective ndio warnde wakawape binadamu huko ulaya, yaani sisi ni panya na wao ndio binadamu.

SERIKALI ISIKUBALI UTAFITI WA AINA YEYOTE TOKA KWA WAZUNGU KUJA KUFANYIKA TANZANIA, NA
TUSIKUBALI CHANJO YA AINA YEYOTE TOKA KWA WAZUNGU!


Congo washakubali kufanyiwa majaribio,inaonyesha kuna mpunga mrefu wanatoa kwa nchi au MTU atakayekubali.Na njaa hii wakija Bongo mm nitakuwa wa kwanza kujitolea US$200M nasikia wanakupa ukijitolea kuna nn tena hapo!
 
Sasa mnataka wenzenu watumie rasilimali zao kuandaa chanjo nyue africa mmekaa tu kama hamjui kinachoendelea alafu kesho mje kuanza kuombaomba io chanjo mkishaanza kufa kama kuku. Kama wanasayansi wenu waneshindwa kufanya chochote kuna shida gani kwenye hili janga mchango wenu ukwa ni kufanya samples??
Beggers can never be choosers


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mnataka wenzenu watumie rasilimali zao kuandaa chanjo nyue africa mmekaa tu kama hamjui kinachoendelea alafu kesho mje kuanza kuombaomba io chanjo mkishaanza kufa kama kuku. Kama wanasayansi wenu waneshindwa kufanya chochote kuna shida gani kwenye hili janga mchango wenu ukwa ni kufanya samples??
Beggers can never be choosers


Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo chanjo wanakupa bure? Wajifanyie testing wenyewe, wao si ndio wanakufa kwa huo ugonjwa, wakajijaribie wenyewe
 
Hao wazungu wanawategemeza kwa kila kitu! Tusijifanye kujitutumua hapa!

Hata hivyo vitaasisi vyenu uchwara vya intelligence viko under superior counter intelligence za wazungu!

They monitor you like they always do! And they will continue to do so much as you are stupid and illiterate.

Hako kavideo uchwara wamekavujisha makusudi tu! They are not that naive!

Eti ooh mabeberu tutapambana nao! Forget it!

Ninyi ni chimpanzees tu! Watawafanya vile wanavyotaka kwa mbinu zote wanazozijua na hamtafanya lolote!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom