Video: Imevuja! Wanasayansi Wakizungu wanaswa wakifanya michakato ya kuja kufanya majaribio ya chanjo ya Corona Afrika kwa kisingizio cha utafiti!

Video: Imevuja! Wanasayansi Wakizungu wanaswa wakifanya michakato ya kuja kufanya majaribio ya chanjo ya Corona Afrika kwa kisingizio cha utafiti!

Congo washakubali kufanyiwa majaribio,inaonyesha kuna mpunga mrefu wanatoa kwa nchi au MTU atakayekubali.Na njaa hii wakija Bongo mm nitakuwa wa kwanza kujitolea US$200M nasikia wanakupa ukijitolea kuna nn tena hapo!
Narudia tena hakuna atakaekupa zaidi ya 450,000,000 kwa kujitolea.
 
Kuna ile nchi kimbele mbele hapa jirani wataichukua hiyo chanjo ili wapate sababu ya kuilaumu Tanzania eti imekataa kushiriki jitihada za kupambana na korona, unaanza kujiuliza kwa nini manyang'au wana gubu sana na bongo, huwezi kuwasikia wakiilaumu Uganda, Burundi au Rwanda, wao ni Tanzania tu..
 
Narudia tena hakuna atakaekupa zaidi ya 450,000,000 kwa kujitolea.
Majaribio yanafanyika kwa mda wa miezi 14 na unatakiwa ku attend Clinic angalau mara 11 na kila ukienda Clinic unalipwa .

Mataifa yaliyojitokeza kwa kufanyia majaribio chanjo zao yapo km matano na kila moja lina dau lake.
 
Kama na sisi Africa ni wajanja tutengeneze kirusi tuwaweke wazungu ili waje kuomba misaada ya madawa huku africa na tuwawekee masharti mengine mengine magumu
Sio asili ya waafrica kufanya unyama wa hivyo! Na wala siwezi uita ujanja, ni ushetani!
 
Hahah, yaani kwa Magufuli wamenoa aiseee, hapa ndio huwa nashukuru kwa kuwa na Rais mwenye msimamo mkali...!
Walichonoa kwa Magufuli ni kipi,ikiwa ndege zinapokelewa pale Airport na timu yake nzima kutoka kwa mabeberu?. Sisi waafrika zetu zinatengenezwa wapi?.Hela ya IMF tu,tulitaka kumtoa roho Zito Kabwe kisa ametuchongea.Pumbaaaavu.Afrika ni sikio la kufa daima.

Sent from my TA-1024 using Tapatalk
 
Hivi nyie watu mmetokea wapi? Mbona mnaandika kama mmekatwa vichwa jamani, hiiii...!!!!
Jikite kwenye ukweli wa hoja.Achana na hayo mengine.Ukweli ni kuwa, Afrika hatuna mchango wowote wa kisayansi kwa dunia.Hopeless Africa.

Sent from my TA-1024 using Tapatalk
 
Back
Top Bottom