Video inafikirisha sana

Video inafikirisha sana

Kiungopunda

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2023
Posts
1,349
Reaction score
3,145
Kwa kuwa tumejikuta tu Duniani bila idhini yetu kuwa tuzaliwe na tuishi humu au lah ila tunapitia changamoto sana za kuwa duniani. Basi tu kwa kuwa tumejikuta tupo tu ila sio sehemu salama kabisa kwetu wanadamu kuishi. Mateso ni mengi sana katika gereza hili la Roho zetu yaani Duniani.
 
Naogopa kuangalia....mie ni mwepesi wa kujawa huzuni.....mauaji yanayoendelea duniani bado ni mzigo moyoni mwangu.Hii dunia si sehemu salama kwetu
Ni sahihi. Jamaa katutupia Shetani na majeshi yake huku duniani yeye katulia tu huko Mbinguni. Hajatutundea haki sisi wanadamu kwa kweli. Sijui lengo la kulitupa lile lidubwashwa humu duniani tunapoishi sisi ni nini? Ni mwonevu sana kwa kweli ukifikiria.
 
Ni sahihi. Jamaa katutupia Shetani na majeshi yake huku duniani yeye katulia tu huko Mbinguni. Hajatutundea haki sisi wanadamu kwa kweli. Sijui lengo la kulitupa lile lidubwashwa humu duniani tunapoishi sisi ni nini? Ni mwonevu sana kwa kweli ukifikiria.
Wanaadamu tumepewa roho za kinyama kiasi kwamba tunamzidi Lucifer...tunaogopa kuzaa kuwaleta wanetu katika dunia yenye mateso ya nafsi,shida na karaha...wanetu tuliowazaa tunawaonea huruma na kuishia kuwaombea
 
Kwa kuwa tumejikuta tu Duniani bila idhini yetu kuwa tuzaliwe na tuishi humu au lah ila tunapitia changamoto sana za kuwa duniani. Basi tu kwa kuwa tumejikuta tupo tu ila sio sehemu salama kabisa kwetu wanadamu kuishi. Mateso ni mengi sana katika gereza hili la Roho zetu yaani Duniani.
View attachment 2837220
una kitu utafika mbali
 
Hili swali linafikirisha ,mtu fulani yupo mahali anapanga kuzaa ila atambue hao binadamu (watoto) anawakaribisha kweny ulimwengu wa shida .
Ni bora asizae. Watoto watapata sana shida kwani aliyetuumba ametususa na ametutupia Dubwasha na Majeshi yake watutese. Nilipopata Mtoto wa pili sikutaka kuongeza tena. Kwani nilijuona nimemkosea sana kumleta duniani. Duniani tunateseka sana kwa kweli.
 
Kwa kuwa tumejikuta tu Duniani bila idhini yetu kuwa tuzaliwe na tuishi humu au lah ila tunapitia changamoto sana za kuwa duniani. Basi tu kwa kuwa tumejikuta tupo tu ila sio sehemu salama kabisa kwetu wanadamu kuishi. Mateso ni mengi sana katika gereza hili la Roho zetu yaani Duniani.
Ndiyo uelewe aliyekuleta ni nani na amekuleta kwa sababu gani?

Majibu yapo kwenye Uislam.
 
Ni sahihi. Jamaa katutupia Shetani na majeshi yake huku duniani yeye katulia tu huko Mbinguni. Hajatutundea haki sisi wanadamu kwa kweli. Sijui lengo la kulitupa lile lidubwashwa humu duniani tunapoishi sisi ni nini? Ni mwonevu sana kwa kweli ukifikiria.
Hoja hii niliulizwa na mwanangu wa miaka 7 ...Kwa kuwa Mungu ana uwezo mkuu,Si angepamvana na tu na shetani hukohuko ,badala kleta huku atutese na magonjwa,njaa,dhiki ,nk
 
Hili swali linafikirisha ,mtu fulani yupo mahali anapanga kuzaa ila atambue hao binadamu (watoto) anawakaribisha kweny ulimwengu wa shida .
Nikiwaambiaga kuwa DUNIA si sehemu salama ya kufanya uzao wanakataa.
Yaani mimi, mimi hapa eti mimi na akili zangu zote bado naleta watoto kwenye dunia ya hovyo namna hii?
Labda nife nizaliwe tena.
 
Back
Top Bottom