Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Tunapoelekeza kujinyonga itakuwa kawaida sana ,yaani mtu akiona chenga maisha hayaendi anajinyonga tu kuliko kuwa mtaji wa wanasiasa.Nikiwaambiaga kuwa DUNIA si sehemu salama ya kufanya uzao wanakataa.
Yaani mimi, mimi hapa eti mimi na akili zangu zote bado naleta watoto kwenye dunia ya hovyo namna hii?
Labda nife nizaliwe tena.