SI KWELI Video inayomuonesha mwanaume akichapwa Zanzibar ni ya Ramadhani ya mwaka huu 2024

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Nimeku trigger?😆😆 yule alikuja kumkomboa Ndugu yake leo hii Heshima ya Mtu Mweusi imerejea Zanzibar.

Kamkomboa ndugu yake kwani akijaribu kula mchana Ramadhani atakula viboko , Yes huu ndio ukombozi , Hongera Okello
 
"Raia aliyedhaniwa ni wa Tanzania" haikujulikana kama ni Mtanzania???
 
Mkuu wa wilaya ya Mjini Zanzibar mh Rashid Msaraka amesema clip inayotembea mitandaoni Juu ya Kijana aliyechapwa kwa kulewa mchana Mwezi wa Ramadan ni ya zamani 2017

Source: Kitenge Tv
Kwa hiyo kama ni ya 2017 ni halali kufanya hivyo?
 
bakora hata tupigwe sio shida, tunachofurahi ni kwamba hatujawakosea kitu chochote, na pia hii inaidhihirishia dunia type ya dini yenu ipoje,ili watu wote wenye akili waiepuke kama ukoma. sio dini ya amani, na sio dini ya Mungu,ni ya shetani. ishara zake ni kama hizo.
 
Acheni kufunga kinafiki huku mkitamani misosi ya wale ambao hawajafunga.

Nani aliniambia kuna mtu anatamani msosi wako ? Zanzibar ni nchi ya kiislamu mkitaka msitake , mnalazimisha kuleta ukafiri wenu huku , tutawashughulikia tu watoto wa Mapadri. Hapa kuna Magoa , Wahindu, Mabudha Maparisi Hakuna anayelalamika na huwa hawali hadharani. Boarding schools wanapikiwa mchana na wanakula Hakuna anayewauliza, nyinyi watoto wa Mapadri huku mtaani hamna malezi mnatovuka adabu, mtakula bakora tu
 
Inawezekana kukawa na matukio mengi ya unyanyasaji huko Zanzibar ila ilikuwa ngumu kujua kutokana na kutokuwepo na mitandao ya kijamii wakati huo. Sasa mitandao ya kijamii inaanika na kuweka ukweli hadharani ili kurekebisha tabia za ubagudhi. Tutajua mengi yaliyojificha.
 
Jaribu kula tutakuchapa wewe na huyo Roho Mtakatifu wako anayekufundisha kutovukwa adabu
 
Hivi mnavyokuja kuuwa watu wakati wa uchaguzi na kuiba huwa mnakaa kimya kwa sababu wanaouliwa n na kupigwa ni waislamu
 
Ama kweli kuishi afrika ni laana. Kitendo kama hicho walichokifanya hao wazenji hata kama ingekuwa ni 2002 ingekua ughaibuni lazma wawajibishwe.

Haki itendeke kwa waliokamatwa na polisi, waliolipishwa na huyo aliechapwa miaka ya 2000 huko.
 
Namshauri huyo aliechapwa akafungue kesi mahakamani ushahidi upo na alipwe.

Akishindwa aje Tanganyika apate BACK UP ili hao wazenji mdebwedo wafia dini wakaozee jela.
 
Ama kweli kuishi afrika ni laana. Kitendo kama hicho walichokifanya hao wazenji hata kama ingekuwa ni 2002 ingekua ughaibuni lazma wawajibishwe.

Haki itendeke kwa waliokamatwa na polisi, waliolipishwa na huyo aliechapwa miaka ya 2000 huko.

Hiyo haki itendeke kwa wakristo lakini kwa waislamu mliowapiga haki isitendeke


View: https://youtu.be/gmxrblkDnbc
 
Namshauri huyo aliechapwa akafungue kesi mahakamani ushahidi upo na alipwe.

Akishindwa aje Tanganyika apate BACK UP ili hao wazenji mdebwedo wafia dini wakaozee jela.
Si uje ule uone, hiyo kesi yako itaenda vipi
 
Jaribu kula tutakuchapa wewe na huyo Roho Mtakatifu wako anayekufundisha kutovukwa adabu
mimi siishi zanzibar, sitaki hata kuitembelea tu, na huwa naomba Mungu mjitenge mwende mbali kabisa kabla kisiwa chenu hakijaliwa na maji muwe samaki tuwavue tukawauzie wachina wawatafute na pilipili, na wazanzibar wote walioko bara waje hapa kwa visa, tutakavyowafurusha watatembea kwa mguu hadi kisiwandui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…