SI KWELI Video inayomuonesha mwanaume akichapwa Zanzibar ni ya Ramadhani ya mwaka huu 2024

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Acheni kufunga kinafiki huku mkitamani misosi ya wale ambao hawajafunga.

ndio ikawa mnalalamika kila wakati?
 
ndio ikawa mnalalamika kila wakati?
ndio tunalalamika, hatufurahii wakristo wa kizanzibari wanavyopata shida kwasababu ya ukatili wenu. Mwinyi amelaani hicho kitendo, huyo aliyekula matunda ya bara hadi ameshiba na ana mategemeo kwamba kuna siku atakuja kuwa rais wa bara.
 
ndio tunalalamika, hatufurahii wakristo wa kizanzibari wanavyopata shida kwasababu ya ukatili wenu. Mwinyi amelaani hicho kitendo, huyo aliyekula matunda ya bara hadi ameshiba na ana mategemeo kwamba kuna siku atakuja kuwa rais wa bara.

Wao wenyewe hiyo shida hawaioni m,uiond nyinyi watoto wa Mapadri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…