Video - Interview ya Tundu Lissu: Afafanua kwa ufasaha zaidi uhusika wa Paul Makonda kuratibu jaribio la kumuua kwa risasi Septemba, 2017

kwa sheria za Tanzania jeshi la Polisi ndio wenye mamlaka ya kushtaki watuhumiwa wa makosa ya jinai.[emoji419][emoji375]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
3. Madai kuwa ameoa mzungu.

√ Kwanza alicheka sana. Na kisha akasema amemsikia Paul Makonda akisema hayo. Akajiuliza huyu mwanaume mwenzake mbona ana wivu? Anataka nini toka kwake​
Hahaaa.....tundu kaamua kuwa mhuni
 
Lissu ni mwanasheria, lakin anakuja kututungia uongo kwamba Makonda ni mwalifu. Haya kama ni mwalifu, mbona Hana uwezo wa kumfungulia mashitaka. Anabaki kuongea uongo tu. Lissu ameishiwa, hoja na akili. Amebaki makapi tu kichwani. Makonda anawakimbiza hawamuwezi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…