Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huyu ni RPC wa Arusha akishiriki tamasha la ccm , lakini leo kang'olewa bila huruma .
Shetani hana rafiki
Shetani hana rafiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijui kwanini hawajifunziMalipo ni hapa hapa duniani!!
Bado anaewatuma nae siku yake yaje.
Kipato chake kimetetereka ?Huyu ni RPC wa Arusha akishiriki tamasha la ccm , lakini leo kang'olewa bila huruma .
Shetani hana rafiki
amedhalilika sana !Kipato chake kimetetereka ?
Cha muhimu pesaamedhalilika sana !
ukiangalia hilo tu jiandae kudhalilikaCha muhimu pesa
Mshahara serikalini si kitu sana kwa wakubwa/vigogo, bali madaraka/vyeo vyenye marupurupu ndio huwatoa wakubwa na si mishahara.Kipato chake kimetetereka ?
Hawa wachuguzwe lazima watakuwa na madudu sana wamefanya ikiwezekana wapitie ac zaoKwani alitumwa na nani ?
Huko hakuna madili kabisa mzee ni Kusoma maagazeti tuWacha aende huko Moshi akafundishe gwaride.
Shauri yake.Huko hakuna madili kabisa mzee ni Kusoma maagazeti tu
Ova
ukiangalia hilo tu jiandae kudhalilika
Hawezi kukuelewa huyu...Mshahara serikalini si kitu sana kwa wakubwa/vigogo, bali madaraka/vyeo vyenye marupurupu ndio huwatoa wakubwa na si mishahara.
Mishahara inasaidia tu watu kukopa hela nyingi zaidi kutoka kwenye mabenki na taasisi zingine za kifedha na ukishakopa mshara(take home) teyari imepungua mpaka deni liishe.
Kwahiyo amerudi kusoma MAGAZETI SENTERO?Huyu ni RPC wa Arusha akishiriki tamasha la ccm , lakini leo kang'olewa bila huruma .
Shetani hana rafiki