Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Ni misemo tu hiyoMjomba ni mama ujue😁😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni misemo tu hiyoMjomba ni mama ujue😁😁😁😁
Huko Kilimanjaro ukifaya kosa utapigwa viboko vya kutosha mbele ya mama yako, mkeo, watoto wako na jamii kwa ujumla, ili iwe fundisho.
View attachment 3183553
Safi kabisa hata kwetu ukuryani huwa tunafanya hivi.Huko Kilimanjaro ukifaya kosa utapigwa viboko vya kutosha mbele ya mama yako, mkeo, watoto wako na jamii kwa ujumla, ili iwe fundisho.
View attachment 3183553
Safi haya ndio mambo CCM wanapaswa kufanyiwa nchi nzima.Huko Kilimanjaro ukifaya kosa utapigwa viboko vya kutosha mbele ya mama yako, mkeo, watoto wako na jamii kwa ujumla, ili iwe fundisho.
View attachment 3183553
CDM unapaswa kuwatia fimbo za matakoni hao CCM akili zikae sawa.Upumbavu wa HAI kwao kina bwashee johnthebaddest bapist
Hawana AKILI mtoto akimpiga mzazi wake au hata kumuua kwangu mimi huyo mtoto hana kosa ....ningekuwaa rais ningeweka sheria kabisa yoyote atakaye pigwa na mtoto wake au kuuliwa na mtoto wake huyo mtoto hanakosa lolote yaani hakuna kosa wala kesi .....ila hapa JF kuna watu wenye ubongo mdogo sana wataniona mpumbavu....kumbe wao ndiyo wapumbavu.Huko Kilimanjaro ukifaya kosa utapigwa viboko vya kutosha mbele ya mama yako, mkeo, watoto wako na jamii kwa ujumla, ili iwe fundisho.
View attachment 3183553
Hii itatokea tu endapo wewe ni mlevi na huna hela.
Yaani huna mchango kwa jamii
Wee, sema kweli?Mbona kachapwa kidogo
Wangemwita mwl hizo mbilinge wanazijua sana
Mzazi akipigwa au hata kuuliwa na mtoto wake hapo mpumbavu ni huyo mzazi kwa asilimia 100% ...kuna lile tukio la binti kuua mama yake mzazi na aliachwa huru nili furahi sana ...hivyo ndivyo inavyo takiwa ....kumshitaki au kumfunga jela mtoto kisa kaua au kampiga mzazi wake ni KOSA KUBWA SANA TENA KUBWA SANAUkirudia tunakupeleka makeresa, hela ni za kwetu.
Wamemnyoosha, tena wangeongeza na viboko vyangu
Hata waluguru.Hio ni kwa Wapare tu makabila mengine mjomba hapewi heshima hio ila kwa Wapare ukiwa mjomba ni title kubwa
Tema mate chini, yasikukuteMzazi akipigwa au hata kuuliwa na mtoto wake hspo mpumbavu ni huyo mzazi kwa asilimia 100% ...kuna lile tukio la binti kuua mama yake mzazi na aliachwa huru nili furahi sana ...hivyo ndivyo inavyo takiwa ....kumshitaki au kumfunga jela mtoto kisa kaua au kampiga mzazi wake ni KOSA KUBWA SANA TENA KUBWA SANA
Unaitaji akili kubwa sana kuweza kunielewa kwenye jambo hili ...nipo sahihi mno 100%Tema mate chini, yasikukute
Ndio iliyomchapa makofi jamaa?Naipongeza Serikali ya awamu ya sita.