Axel Lloyd
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 4,170
- 9,500
Crimea na Israel zimepishana kidogo tu.Yani CRIMEA unasema ni kaeneo kadogo?.unajua kama CRIMEA ni kubwa kuliko ISRAEL
Israel ina 22k km²
Crimea ina 27k km²
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Crimea na Israel zimepishana kidogo tu.Yani CRIMEA unasema ni kaeneo kadogo?.unajua kama CRIMEA ni kubwa kuliko ISRAEL
Crimea na Israel zimepishana kidogo tu.
Israel ina 22k km²
Crimea ina 27k km²
Sasa Mkuu kasehemu kama Israel ndo Russia washindwe kukalinda mpaka wanapigwa Makombora kwenye kambi kama ile?!Sasa unasemaje crimea ni kasehemu kadogo tu wakati ni sawa na ISRAEL
Kanunue Gari kutoka Russia kaka[emoji23][emoji23][emoji23]According to who?
Kwa hiyo kwako unit ya ukubwa ni Israel?Sasa unasemaje crimea ni kasehemu kadogo tu wakati ni sawa na ISRAEL
Mkuu T14 Armata nilikutag huku kitambo kabla USA hawajaweka wazi kukabidhi mzigo,lakini naona sasa mambo yapo waziKuna tetesi kwamba Ukraine imepewa Makombora ya kuharibu radar AGM-88 HARM. Naweza kuamini hili kwa zaidi ya asilimia 90% maana Ukraine amekua akiharibu radar za kisasa kabisa za Urusi kule Kherson.
Ya Kwanza NI hii 'Podlet-K1' (waliiharibu mwezi iliyopita) hii inatumiwa na S-400,pia na S-300. Ni rada ya kisasa Sana na imeanza kutumika juzi tu 2015.
Ya pili ni hii ya juzi '9S19-Ginger Radar' hii inatumiwa na S-300B,nayo ya juzijuzi tu inaelezwa Urusi wametengeneza hizi 20 tu,nayo imeharibiwa.
Naona Marekani kaamua rasmi kutest silaha zake dhidi ya air defenses za Urusi.
Mkuu T14 Armata hii imekaaje?View attachment 2317518
Siku chache hizi sikuwa active online. Hilo shambulio ndio niliamini hakuna air defence system ya Russia inaweza salimika kwenye high intensive warfare kwa kuwa hawana uwezo wa kuzilinda hizo systems kubwaMkuu T14 Armata nilikutag huku kitambo kabla USA hawajaweka wazi kukabidhi mzigo,lakini naona sasa mambo yapo wazi
Yule mwamba namkumbuka pia.Ninachotaka kusema ni kwamba kuna mwamba mmoja hapa jukwaani mwanzo mwa vitaa hii, kuwa urusi ina silaha nyingi na za gharama kubwa isipokuwa silaha hizo zimetengenezwa chini ya kiwango kulingana na rushwa ilioyopo nchini humo kwa kila mtu anataka kujipigia, mpka hivi sasa naanza kuimini hiyo kauli ila wacha ninyamaze maana sina ushahidi nibakize jicho na masikio tu.
Ukweli ni kwamba Russia ndio basi tena
Kinachonishangaza zaidi ni miezi sita sasa vitani lakini Russia imeshindwa kabisa kufanya successful SEAD operation Ukraine kucreate no fly zone,ndege za Ukraine bado zinaruka na air defense systems zinadaka baadhi ya Makombora. Kiufupi ni kwamba hakuna ndege ya Urusi inathubutu kuingia anga la Ukraine mpk sasa zote zinarusha Makombora zikiwa Nje ya Ukraine's airspace.Siku chache hizi sikuwa active online. Hilo shambulio ndio niliamini hakuna air defence system ya Russia inaweza salimika kwenye high intensive warfare kwa kuwa hawana uwezo wa kuzilinda hizo systems kubwa