VIDEO: Kada wa CCM amrushia Tundu Lissu jiwe wakati akisalimia wana Bukoba mbele ya jengo la CCM Bukoba, Lissu alazimika kurudi ndani ya gari

VIDEO: Kada wa CCM amrushia Tundu Lissu jiwe wakati akisalimia wana Bukoba mbele ya jengo la CCM Bukoba, Lissu alazimika kurudi ndani ya gari

Kwann mnakimbilia kusema ni CCM. Kwani Mwananchi wa kawaida ambae hamkubali lissu hawezi kufanya hivyo?
Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kumdhuru Tundu Lissu au Mpinzani yeyote halafu asiwe ccm, haiwezekani na haitawezekana, adui yetu mkubwa hapa ni ccm, na hata wewe unaona hapo kuna ofisi ya ccm .............................................................................................................
 
Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kumdhuru Tundu Lissu au Mpinzani yeyote halafu asiwe ccm, haiwezekani na haitawezekana, adui yetu mkubwa hapa ni ccm, na hata wewe unaona hapo kuna ofisi ya ccm .............................................................................................................
Endelea kujidanganya ndugu
 
MEKO HUU MWAKA KINA MIKOA ITAMKATAA MFANO KAGERA

MUSOMA

ARUSHA

MBEYA

KIGOMA

SINGIDA 50%/ 50%

KILIMANJARO

MOROGORO 45% /55%

LINDI

MTWARA

SONGWE

DAR ES SALAAM

MWANZA 50%/ 50%
Kuna Mkoa unaitwa Musoma kweli?
Kama Jiografia ya nchi hamuijui mtaweza kuiongoza kweli?

JPM 2020-2025
CCM 5 TENAA
 
Kwa akili za wana chadema watasema huyo katumwa na magufuli
Wewe unaweza kutushauri katumwa na nani labda ??.., hata kama hajatumwa na huyo mwenyekiti wenu basi anajipendekeza kwake ili apate Uteuzi, sababu ndio njia rahisi kwenu
 
CCM wajinga sana!! Sasa jengo Lao likichomwa hapo watalaumu??? Maana huo umati wa watu hapo ukiamua kuchoma hilo jengo nani atajibu??
Anza kuchoma alafu ukimbie kujificha usimpigie kura mgombea wako
 
Ujinga ni kutokuelewa kitu wala si tusi... Kwa bwana mataga ccm siku hizi wanamiliki barabara?
Na je kumpopoa mtu kwa jiwe nayo ni sera yenu??

Kwa hiyo kama wewe umesoma una madigrii yote na bahati mbaya wazazi wako hata ile elimu ya watu wazima ya kujuwa kuandika jina tu, utawaita wajinga! Je wewe ukiwa na Ph.D. ya kemia na mwingine ana Ph.D. ya Fizikia kila mtu atamuita mwenzake mjinga kwa sababu hakuna anayejuwa fani ya mwenzake! Wewe kweli ndiyo mjinga unayedhani mtu kukuambia mjinga amekusifu!
 
Kwani nini ofisi hiyo ya ccm jilani wasingeipiga kiberiti mpaka wamtoe aliyerusha jiwe,tufike mahali tujibu mapigo,ilitakiwa kuteketezwa.

Wewe utakuwa mstari wa mbele kufanya hivyo au kuhamasisha wenzako huku umejificha. Kama unafikiri hilo ndilo jibu kwa nini usitekeleze wewe. Wewe umetulia nyumbani kwako na watoto wako, huku unahasisha wengine na watoto wao wakufyekee njia!
 
Mzee reasoning yangu ndo imeconclude kuwa yule ni mtu wa Ccm. Wewe umeleta reasoning mpya kuwa kukaa jengo la Ccm sio kuwa mwana CCM. Sasa let’s agree to disagree

Ukweli ni kuwa huwezi kukubali kuwa kwa sababu mtupa jiwe alikuwa karibu/pembezoni/kwenye jengo la CCM kwa hiyo ni mwana CCM. Jengo hilo liko katika public space. Huko kuna ofisi za cCM, na zingine si za CCM. Hakuna katazo mtu asiye CCM asiende pale, kwa hiyo aliyetupa jiwe anaweza kuwa CCM, CHADEMA, ACT NCCR au mwanachama wa chama chochote.
 
Eti karushiwa jiwe,ili iweje? Mtu mwenyewe alishajifia


Hata kama kajifia, hiyo siyo sababu ya kumrushia jiwe. Kama kajifia unataki umsaidie siyo kumtupia jiwe tena...sadistic..
 
Kwa hiyo kama wewe umesoma una madigrii yote na bahati mbaya wazazi wako hata ile elimu ya watu wazima ya kujuwa kuandika jina tu, utawaita wajinga! Je wewe ukiwa na Ph.D. ya kemia na mwingine ana Ph.D. ya Fizikia kila mtu atamuita mwenzake mjinga kwa sababu hakuna anayejuwa fani ya mwenzake! Wewe kweli ndiyo mjinga unayedhani mtu kukuambia mjinga amekusifu!

Kabla ya kuandika ungejisomesha kidogo references kadhaa ili upunguze kuanika ujinga wako kwa viwango hivi unavyoonesha...!!
Nikupe tu msaada kidogo:
Contexts na contents zote zinaonesha kuwa kila mtu ni mjinga kwa sehemu na nafasi yake... Make huwezi kujua kila kitu...
 
Kwa hiyo kama wewe umesoma una madigrii yote na bahati mbaya wazazi wako hata ile elimu ya watu wazima ya kujuwa kuandika jina tu, utawaita wajinga! Je wewe ukiwa na Ph.D. ya kemia na mwingine ana Ph.D. ya Fizikia kila mtu atamuita mwenzake mjinga kwa sababu hakuna anayejuwa fani ya mwenzake! Wewe kweli ndiyo mjinga unayedhani mtu kukuambia mjinga amekusifu!

FYI
Kuna
ma PhD kibao unawafahamu kama kina JPM, Bashiru, Gwajiboy n.k lakini ujinga wao upo juu kuliko hata wale wazee wa "middro" school...
 
Back
Top Bottom