Coaster2015
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 2,607
- 2,730
Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kumdhuru Tundu Lissu au Mpinzani yeyote halafu asiwe ccm, haiwezekani na haitawezekana, adui yetu mkubwa hapa ni ccm, na hata wewe unaona hapo kuna ofisi ya ccm .............................................................................................................Kwann mnakimbilia kusema ni CCM. Kwani Mwananchi wa kawaida ambae hamkubali lissu hawezi kufanya hivyo?