Zanzibar 2020 VIDEO - KAMPENI ZANZIBAR: Tundu Lissu awapa somo muhimu Wazanzibar na Watanganyika juu ya Muungano. Je, Magufuli - CCM anaijua historia hii kweli?

Twende wote.

Inajulikana wazi kuwa kutojua sheria sio kigezo cha kutokuadhibiwa na kiwa sheria ikipitishwa hata Kama ni mbaya basi inahotajika movement ya kuibadilosha but until then, bado ukitenda kosa utahukumiwa kwa sheria hiyo.

Lissu yeye anajua kisheria, chochote anachokisema kinyume na kinavyoonekana basi anawajibu wa kukithibitisha. Anajua kuwa anachokisema kinahitaji proof ambayo hana huku akijua ni kinyume na sheria ni kinyume na mwenendo na utaratibu wa kampeni.

Nadhani ameshajua hawezi kushinda Sasa anaharibu ili afutwe kugombea aseme ameonewa kwasababu angeshinda.
 
Mbona wameikata video, sasa unafika wakati wa kuomba kura mleta mada unakatisha hotuba ya mgombea sio jambo zuri, unakuwa kama TBC.

Lete yote tusikilize kwa macho.
Basi nimeiona kwenye uzi wa yule DADA-VUA unasema Lisu amuombea kura Maalim Seif.
 
Saa hizi ungekuwa umelala
 
Hili lipo wazi.
Tumepakana na Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Congo, Zambia, Malawi na Msumbiji, hakuna hatari ya usalama, hi habari ya usalama kukosekana kwa muungano wa serikali 3 inatoka wapi? Mnatujengea hofu kama ya korona! Waache wazanzibar waendeshe nchi yao! Kama shida Ni ukaribu wa Ikulu kwa mpaka wa Zanzibar, mbona tayari tuna Ikulu Dodoma?
 


Tutolee propaganda zako za zama za kale hapa. Kuna Wakenya wapo mpaka Newala huku wanafanya biashara,tuna Wacomoro wengi tu,tuna warundi na Wanyarwanda wengi tu hapa wanafanya biashara. Kuna wazungu na wachina wengi tu wana biashara na viwanda.

Serikali tatu zinawazuru nini nyinyi MATAGA? Au kila mtu akibaki na nchi yake kuna shida gani mbona tuliishi hivyo wakati wa mkoloni? Mbona Burundi na Rwanda wanajitawa,mbona Comoro inajitawala na haihatrishi usalama wenu nyinyi MATAGA.

Tuotoleeni ujima wenu hapa vibuyu nyie,kama mnapenda kuwa na nchi kubwa unganeni na Rwanda na Burundi nyau nyie.
 
Kwa sababu za ulinzi hatuwezi jitenga na Zanzibar. Sehemu ya bahari pia itakayoimiliki Zanzibar baada ya kutengana inatulazimu kuhakikisha Zanzibar ni part ya Tz. Kijografia hizi hazikupaswa kuwa nchi mbili sema ndio tayari ipo hivyo.
Hizi ni stori za zamani sana. Eti kiulinzi. Basi tuungane na Msumbiji ili kuimarisha ulinzi wa mikoa ya kusini.

Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
 

..Polisi wetu wanapendelea ccm.

..Waendesha mashtaka ni vibaraka wa ccm.

..Mahakama ni kichaka cha ccm.

..Halafu mnataka watu wakathibitishe madai yao mbele ya vyombo hivyo.

..CCM mkizidiwa hoja za kisiasa mnaweka mpira kwapani.
 
Inatosha kuwa ni jibu pekee kwa mataga wote pale Lumumba na kwingineko!
 
Sasa wewe ni mkoloni kwelikweli, na uaamini katika kutumia ujinga wa raia na ukandamizaji wa haki ya kupata habari ilimradi ubaki madarakani, huo ni unyama!
 
Yuko tayari avunje Muungano ili ajenge SGR na Bwawa umeme
 
Wenye nchi yao wakiamua kwa pamoja kurejesha nchi yao mtawaua wote?
 
Akikujibu, nishtue. Hawa ndio team ya Bashiru aliwaagiza juzi wajibu mapigo. Lakini maskini hawaelewi lolote matokeo yake wanakurupuka kama ngiri shimoni.

Hawana hoja ,hawajui historia ngoja utaona wanakuja na matusi!!! Bashiru mwenyewe hiyo hotuba kwake ni somo tosha kwani alipokuwa msaidizi wa marehemu Kinyondo haya mambo ndio yalipotendeka hivyo uelewa wake ulikuwa mdogo!!
 
Wapi amesema hataki Muungano!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…