Kufa c mwiko
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 752
- 320
Kwa lipi mkuu au sababu nyeti za kuku zimepulizwa na upepo?Tundu Antipas Lissu akifutwa na NEC kugombea urais basi mtulie tuli
Twende wote...hataweza ku-prove kwasababu vyombo vya dola na mahakama ni za ccm.
..hata mauaji yaliyotokea mgodini Bulyankhulu miaka ya 90 alishindwa ku-prove kwasababu vyombo vya dola/uchunguzi vilikuwa upande wa serikali na siyo upande wa wahanga ambao TL alikuwa anawatetea.
..ccm mnapozidiwa ktk majukwaa ya kisiasa mnakimbilia kwa Polisi wenu, waendesha mashtaka wenu, na mahakama zenu.
Saa hizi ungekuwa umelalaIla Mungu fundi sana, hivi Magufuli, angepewa hata robo ya akili ya Lissu, na vile anapenda ajue kidhungu, na kutoa takwimu za kilomita za bara bara tungekoma.
Anachojua kwenye historia ya Tanzania ni Chato. Na maeneo mengingine yenye majina ya kiuasharati tu. Eneo la katerero na mto wake wa maji.
Kumuuliza historia ya Muungano Magufuli ni kumuonea bure.
Miaka 5 inatosha akapunzike, acheni kumsukumia huko.
Tumepakana na Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Congo, Zambia, Malawi na Msumbiji, hakuna hatari ya usalama, hi habari ya usalama kukosekana kwa muungano wa serikali 3 inatoka wapi? Mnatujengea hofu kama ya korona! Waache wazanzibar waendeshe nchi yao! Kama shida Ni ukaribu wa Ikulu kwa mpaka wa Zanzibar, mbona tayari tuna Ikulu Dodoma?Hili lipo wazi.
NEC inaonaMahakama ziko wazi, tangulia na hoja zako, udhibitisho upo wa kumwaga¡
Upinzani hata kama hutaki muungano ukisema huu muungano w serikali mbili naukubali imo ushinde ukishinda ndio uongelee kuvunja wakashindwa nini? Kwa nini ukomalie kitu anachojua ukichokonoa kitakufanya ashindwe?
Lisu kachokonoa ajiandae kushindwa tena vibaya kura zote za wazanzibai weusi wa unguja na Pemba hazipati sababu wao muungano ndio unawafanya waishi vizuri na hata wapemba wenye biashara zao na shughuli zao Bara na ndugu Zanzibar kura zao hawezi pata
Wazanzibari hospital yao ya rufaa ni muhimbili ndiki huja kutibiwa wakishindikana kule kwa hiyo ukisema muungano hutaki kazi unayo!!! Kupata kura Zanzibar
Hizi ni stori za zamani sana. Eti kiulinzi. Basi tuungane na Msumbiji ili kuimarisha ulinzi wa mikoa ya kusini.Kwa sababu za ulinzi hatuwezi jitenga na Zanzibar. Sehemu ya bahari pia itakayoimiliki Zanzibar baada ya kutengana inatulazimu kuhakikisha Zanzibar ni part ya Tz. Kijografia hizi hazikupaswa kuwa nchi mbili sema ndio tayari ipo hivyo.
Twende wote.
Inajulikana wazi kuwa kutojua sheria sio kigezo cha kutokuadhibiwa na kiwa sheria ikipitishwa hata Kama ni mbaya basi inahotajika movement ya kuibadilosha but until then, bado ukitenda kosa utahukumiwa kwa sheria hiyo.
Lissu yeye anajua kisheria, chochote anachokisema kinyume na kinavyoonekana basi anawajibu wa kukithibitisha. Anajua kuwa anachokisema kinahitaji proof ambayo hana huku akijua ni kinyume na sheria ni kinyume na mwenendo na utaratibu wa kampeni.
Nadhani ameshaiua hawezi kushinda Sasa anaharibu ili afutwe kugombea aseme ameonewa kwasababu angeshinda.
Inatosha kuwa ni jibu pekee kwa mataga wote pale Lumumba na kwingineko!Lissu anataka kuuboresha muungano kwa kuleta serikali tatu
Kuendelea na muungano wa aina hii usio na ridhaa ya Wazanzibari ipo siku wataingia mitaani kushinikiza viongozi wao wauvunje na Mtakuwa hamna jinsi ya kuwazuia maana hakuna jeshi la kuufanya muungano uwepo kama Wazaznzibar kwa umoja wao wataingia mtaani kuukataa!
Mwenye akili ni yule anayewasikiliza wazanzibar wanataka nini leo. Ukiwalazimishia aina ya muungano huu ambao unategemea tuwapandikizie wazanzibari vibaraka, kisha tuwashindishe kwa figisu kwenye sanduku la kura, kisha tuwalinde kwa kutumia majeshi huu muungano hautofika popote siku wazanzibar wakiamua kuingia mtaani kuukataa!
Lissu ndiye mzalendo wa kweli anayetaka tuunusuru Muungano kwa kutengeneza muungano uliofair, Nje ya hapo it is a matter of time kabla Wazanzibar hawajarevolt!
Nafahamu Yale mtanzania wa kawaida anatakiwa kufahamu kuhusu muungano.Unajua kwa undani asili ya huo muungano na hapa ulipofikia?
Tundu Lissu ana akili jamani huyu kiumbe, nimemnyooshea mikono juu [emoji134]♀[emoji120][emoji41][emoji41]
Wanatakiwa kuchutama kuficha aibu yao,vinginevyo wakung'ute utupu wao hadharani.CCM wanavuliwa suruwali hadharani
Nimesoma yote.Amani Msumari,
umesoma rasimu ya warioba?
Ulinzi wa nini ikulu si imeshaamia Dodoma.Hizi ni stori za zamani sana. Eti kiulinzi. Basi tuungane na Msumbiji ili kuimarisha ulinzi wa mikoa ya kusini.
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Sasa wewe ni mkoloni kwelikweli, na uaamini katika kutumia ujinga wa raia na ukandamizaji wa haki ya kupata habari ilimradi ubaki madarakani, huo ni unyama!Tatizo la Mgombea WAO anaongea vitu ambavyo hakupaswa kuongea..Wazanzibar hawatakiwi kujua Historia yao. Wanatakiwa kuwepo kama walivyo sasa. Tuwaamulie nani anawafaa kuwatawala na sio wao wenyewe..Tatizo la TL anaharibu kabisaa yaani Sio vyema kwa kweli..🙁🙁
Wenye nchi yao wakiamua kwa pamoja kurejesha nchi yao mtawaua wote?Hakuna aliyeyejaribu kuvunja muungano au kuungana na wavunja muungano huu uliopo kama ulivyo sasa aliyefaniiwa kushika uraisi iwe wa muungano au wa Zanzibar awe wa CCM au upinzani
Aboud Jumbe na Seif shariff Hamad walikwama kwa sababu hiyo. AKINA warioba, Lowasa waligombea wakashindwa kwa hivyo kipengele sababu alienda kuungana kwenye UKAWA na Maalim Seif mtaka kuvunja muungano huu wa serikali mbili uliopo
Lisu kajiingiza mwenyewe kwenye mdomo wa mamba biashara imeisha .Hapewi uraisi
Muungano uliopo ni eneo sensitive ambalo mwanssiasa yeyote anayeutaka uraisi hatakiwi kuligusa negatively kuwa anavunja huu muungano wa serikali mbili uliopo
Akikujibu, nishtue. Hawa ndio team ya Bashiru aliwaagiza juzi wajibu mapigo. Lakini maskini hawaelewi lolote matokeo yake wanakurupuka kama ngiri shimoni.
Wapi amesema hataki Muungano!Bara na visiwani tumeshakuwa ndugu. Tuna muingiliano wa damu na kijamii.
Muungano nao ni muhimu sana kwa usalama wa pande zote. Lissu analeta mentality za kikoloni kwani anataka turudi kwenye kifungo cha mipaka ya kikoloni kwasababu za kisiasa.
Changamoto za Muungano zishughulikiwe kwa umakini na ustaarabu wa halinya juu
Amenishangaza Sana huyu mwamba