Historia ya watu wa KLM/ Kanda ya kaskazini inajulikana? Unajua Base on history hakuna kitu kinaitwa Tanzania.
Well hii haiondoi ukweli kuwa Tl ana akili, akili nyingi.
kuna madhara pia ya kuwa na akili nyingi. Na hili analolihubiri la Wanzanzibari na nchi yao ni moja ya madhara ya kutumia akili nyingi kuongoza ilihali unaongoza watu wa kawaida kabisa.
Raia wa Tz na Zanzibar hawana shida na namna ya muungano au jina lilivyo sijui mfumo wa madaraka, hilo si tatizo kwao.
Watu wenye akili ya ziada kama Tl wana uwezo wa kuwafanya raia wakabadili fikra zao, na baada ya kubadili fikra na kuanza kupigania majina kuwa huku ni zanzibar na kule ni bara wakafanikiwa na kushinda hiyo vita ya majina bado matatizo waliyonayo yataendelea kuwepo.
Eleza wana matatizo gani hao watu wa kawaida?
Chanzo chake ninj?
Yataondolewaje hayo matatizo?
NB:
å Honestly, mimi naona wazi kabisa kuwa, watu wengi hatujamwelewa Tundu Lissu na "logic" ya hoja hii ukiwemo wewe...
å Hoja ya Tundu Lissu siyo kuvunja muungano au kuleta utengano miongoni wa watu wa mataifa haya mawili...
å Ameeleza vizuri mno tatizo la muungano huu ambao kwa vigezo vyote ni kama wa kulazimishana vile kwa manufaa makubwa ya upande mmoja pekee..
å Msingi wa hoja za kasoro za Muungano huu kiuhalisia ni mfumo wa utawala chama cha dola - CCM....Hili ndilo tatizo...!!
å Yeyote anayehoji kasoro za Muungano huu, huishia pabaya....!
Kwanini?
Ni kwa sababu, moja kwa moja anakuwa anataka kuingilia na kuharibu maslahi ya CCM na kamwe siyo ya WATU WA ZANZIBAR...
Hebu tazama mashekhe wa kiislamu mamia kwa mamia wanaoteseka katika magereza ya Tanganyika....
Sababu ama dhambi yao ni nini?
SIMPLE, NI HII PEKEE:
Wanaleta chokochoko kwenye ishu ya muungano na kutaka kuhatarisha maslahi ya WATAWALA na CCM....!!
Yaani ni MUUNGANO uliojengwa ktk msingi wa UONGO UONGO tu pamoja ULAGHAI mtupu. Na vitu hivi vya kilaghai na UONGO kamwe huwa havidumu....!!!
å Na maslahi yenyewe wala siyo mengine yoyote yenye manufaa kwa watu wote, bali ni yale yenye manufaa kwa WATAWALA....
å Ametoa lecture nzuri na rahisi kueleweka kwa watu wote ili waamue kurekebisha muungano wao ama hata kuuvunja iwapo itashindikana kukubaliana ktk kurekebisha....!!!
What's wrong with that?