Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Tazama video inasikitisha sana...
Yapo baadhi ya mambo ukiyasikia unaweza kudhani pengine uko ndotoni!
Siku kadhaa zilizopita, liliripotiwa tukio la kushangaza, kustaajabisha, na kuhuzunisha kuhusu vijana wawili wanaodaiwa kufanyiwa ukatili wa kutisha na Mwenyekiti wa Kijiji cha Uleling'ombe, Kata ya Uleling'ombe, Kilosa, mkoani Morogoro, Generasko Tresfori.
Global TV imempata mmoja kati ya vijana hao wawili wanaodaiwa kufanyiwa vitendo vya kikatili na kiongozi huyo kwa kushirikiana na mgambo aliyetajwa kwa jina la Tegemea Maganza, wakituhumiwa kuiba simu ya mwenyekiti huyo.
Hapa kijana huyo anasimulia kwa uchungu jinsi alivyofanyiwa ukatili, tukio lililotokea Februari 25, mwaka huu.
Yapo baadhi ya mambo ukiyasikia unaweza kudhani pengine uko ndotoni!
Siku kadhaa zilizopita, liliripotiwa tukio la kushangaza, kustaajabisha, na kuhuzunisha kuhusu vijana wawili wanaodaiwa kufanyiwa ukatili wa kutisha na Mwenyekiti wa Kijiji cha Uleling'ombe, Kata ya Uleling'ombe, Kilosa, mkoani Morogoro, Generasko Tresfori.
Global TV imempata mmoja kati ya vijana hao wawili wanaodaiwa kufanyiwa vitendo vya kikatili na kiongozi huyo kwa kushirikiana na mgambo aliyetajwa kwa jina la Tegemea Maganza, wakituhumiwa kuiba simu ya mwenyekiti huyo.
Hapa kijana huyo anasimulia kwa uchungu jinsi alivyofanyiwa ukatili, tukio lililotokea Februari 25, mwaka huu.