Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hio style nikiikuta usukumani, nilipishana na mwenyekiti njiani akanigombeza mbona hanijui. Nikamjibu hata mimi sikujui ww unajua watu wote hapa duniani?Itakuwa wanakijiji huko ni wpmbv
Mambugila na kwa style hyo mwenyekiti atawflll wote huko
Ova
Hii akipata dc wa kilosa atalifanyia kazi ...watu wajaribu kumsogezea tukio hiloKilosa na wanyalu wapi na wapi?!
Tunajua utaachiwa huru, dawa yako ni kukusambaza tu.Tukomenti vitu vya msingi kwenye mambo ya kusikitisha...
kwahiyo mfumo wa sheria unaamuliwa na mabraza..?!!
Uleling'ombe ni wanyalu tupu mkuu ipo mpakani na Dom Mpwapwa jimbo la Chawene kote uheheni niliwahi fanya kazi kule napajua a to zKilosa na wanyalu wapi na wapi?!
Mkuu huko vijijini wenyeviti wananguvu ya hatari baadhi hadi wana selo zao binafsi.Huyo mwenyekiti ana siri gani za kusambaziwa na huyo dogo
walikua na mahusiano gani before?
Mwenyekiti kijiji nae ana nguvu ya kumdetain mtu aisee
Ndo mana nauchukia sana umasikini unaleta Unyonge wa kindezi sana
Na utashangaa kapita kwa ubingwa wa kujua kujaza fomu... Yaani kapita bila kupingwa mwisho ndio hivyo anaLAWITI watoto wetu.Huyu Samia anatuharibia nchi yetu .Yaani kiongozi wake wa Kijiji kafanya kitu kibaya sana.samia jirekebishe
Kwa uelewa wako unadhani Mwenyekiti na Migambo wao hawakujua kuna kitu kinaitwa Sheria?Tukomenti vitu vya msingi kwenye mambo ya kusikitisha...
kwahiyo mfumo wa sheria unaamuliwa na mabraza..?!!
Mungu atusaidie tu jamaniHatari sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hio style nikiikuta usukumani, nilipishana na mwenyekiti njiani akanigombeza mbona hanijui. Nikamjibu hata mimi sikujui ww unajua watu wote hapa duniani?
Aisee lilikuwa kosa akachunguza nilipofikia mwenye nyumba akapingwa faininya jogoo[emoji24][emoji24][emoji23]