Tetesi: Video: Kimewaka Iran - wenyewe hawamtaki tena Ayatolah kwa sakata la ndege

Tetesi: Video: Kimewaka Iran - wenyewe hawamtaki tena Ayatolah kwa sakata la ndege

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Wamechoshwa na ugaidi wa kiserikali, ambayo imeua raia wake kwa kupiga ndege kombora.

Protesters in Tehran clash with riot police as they demand the Ayatollah RESIGNS and call for regime change after Iran finally admits to shooting down jet and killing 176 people
  • Protests broke out at four universities in Tehran on Saturday after military admitted fatal blunder
  • Angry crowds demanded the Ayatollah's resignation and full investigation into the disaster
  • Regime forces cracked down hard on the demonstrators, firing tear gas into the crowds
  • Iranian air defenses shot down civilian passenger plane carrying 176 people, most of them Iranian citizens
  • The country was on high alert after targeting US forces with ballistic missiles in bloodless strike

Iranians have gathered in the streets of Tehran to demand the resignation of Ayatollah Seyed Ali Khamenei after the regime admitted it had mistakenly shot down a civilian passenger plane.

Angry crowds gathered on Saturday night in at least four locations in Tehran, chanting 'death to liars' and calling for the country's supreme leader to step down over the tragic military blunder, video from the scene shows.

What began as mournful vigils for Iranian lives lost on the flight soon turned to outrage and protest against the regime, and riot police quickly cracked down, firing tear gas into the crowd.

'Death to the Islamic Republic' protesters chanted, as the regime's security forces allegedly used ambulances to sneak heavily armed paramilitary police into the middle of crowds to disperse the demonstration.

Ukrainian Airlines Flight 752 was carrying 176 people, at least 130 of them Iranian citizens, when it was shot down by hapless Iranian Revolutionary Guard air defense forces shortly after taking off from Tehran on January 8.

https://videos.dailymail.co.uk/prev...225847292/636x382_MP4_3808872251225847292.mp4
 
Ayatollah amechemka sana Kitendo cha Kulipua Ndege ya abiria ni ujinga mkubwa kwanza Ni lack of Millitary Accuracy and Professionalism...

Kama hivi tu sio Wakati wa vita wamepiga ndege ya abiria, je marekani ikiwapelekea moto kabisa si watalipua hata Hospitali zao wenyewe?? Huu ni uzembe mkubwa na ujinga..

You cannot Just order the lauch of surface to Air Missile bila kuwa na uhakika hilo tu linatosha kuonyesha hawa watu ni Wazembe na wapuuzi kabisa...Dunia nzima ilikua nyuma yao baada ya Mauaji yale ya Soleiman...Ila kwa hili wamedharaulika sana...
 
Kiwewe! kiwewe? Kiwewe! Usianzishe Vita na unayemuogopa! Ona sasa kiwewe cha Iran kushambulia kambi za marekani kumegharimu maisha ya watu 176 wengi wao wairan. Unawezaje kutungua ndege iliyoanza kuruka ndani ya mipaka ya nchi? Labda kama ingekuwa inaingia kutoka nje ya mipaka ya Iran! Usianzishe vita na unayemuogopa!! Kwa jinsi hii marekani ikianzisha vita na Irani, Iran itakufa kwa pressure tu ya woga
 
Ayatollah amechemka sana Kutendo cha Kulipua Ndege ya abiria ni ujinga mkubwa kwanza Ni lack of Millitary Accuracy and Professionalism...

You cannot Just order the lauch of surface to Air Missile bila kuwa na uhakika hilo tu linatosha kuonyesha hawa watu ni Wazembe na wapuuzi kabisa...Dunia nzima ilikua nyuma yao baada ya Mauaji yale ya Soleiman...Ila kwa hili wamedharaulika sana...


 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna staili nyingi ya kumpiga iran bila kupoteza silaha
Baada ya kuona kwa silaha hamumuwezi mna anza kuimba twaarab


Kma kweli kuna maandamano hayatakua yakwanza nawala hayatakua yamwisho


Poleni sanaaa....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wambie Paris huko mpaka leo yako maandamano lakini vyombo vya kimagharibi vinaficha ukweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baada ya kuona kwa silaha hamumuwezi mna anza kuimba twaarab


Kma kweli kuna maandamano hayatakua yakwanza nawala hayatakua yamwisho


Poleni sanaaa....

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ayatollah amechemka sana Kutendo cha Kulipua Ndege ya abiria ni ujinga mkubwa kwanza Ni lack of Millitary Accuracy and Professionalism...

You cannot Just order the lauch of surface to Air Missile bila kuwa na uhakika hilo tu linatosha kuonyesha hawa watu ni Wazembe na wapuuzi kabisa...Dunia nzima ilikua nyuma yao baada ya Mauaji yale ya Soleiman...Ila kwa hili wamedharaulika sana...
Je,US na yenyewe hapa ilichemka au ilifanyaje?
Screenshot_2020-01-11-07-14-10-1.jpeg


dodge
 
Kiwewe! kiwewe? Kiwewe! Usianzishe Vita na unayemuogopa! Ona sasa kiwewe cha Iran kushambulia kambi za marekani kumegharimu maisha ya watu 176 wengi wao wairan. Unawezaje kutungua ndege iliyoanza kuruka ndani ya mipaka ya nchi? Labda kama ingekuwa inaingia kutoka nje ya mipaka ya Iran! Usianzishe vita na unayemuogopa!! Kwa jinsi hii marekani ikianzisha vita na Irani, Iran itakufa kwa pressure tu ya woga
Usisahau pia.
Screenshot_2020-01-11-15-31-41-1.jpeg


dodge
 
Kiwewe! kiwewe? Kiwewe! Usianzishe Vita na unayemuogopa! Ona sasa kiwewe cha Iran kushambulia kambi za marekani kumegharimu maisha ya watu 176 wengi wao wairan. Unawezaje kutungua ndege iliyoanza kuruka ndani ya mipaka ya nchi? Labda kama ingekuwa inaingia kutoka nje ya mipaka ya Iran! Usianzishe vita na unayemuogopa!! Kwa jinsi hii marekani ikianzisha vita na Irani, Iran itakufa kwa pressure tu ya woga


Kwenye Vita ya Kagera JWTZ ilitungua ndege yetu wenyewe
 
Huo mzuka ufanye huku kwa jiwe tuone kama hatuja kookota ukiwa vipande.
Hata iran watu wanaandamana wakijua kabisa kuna kifo mbele, hivyo watz watakapofika level hiyo ya kujitoa hakuna kitakachowazuia.

Ni suala la muda tu watz hawataogopa kufa wataingia barabarani tena bila kiongozi. Muogope sana binadamu aliye desperate ambaye hana tena cha kupoteza.

Ila kwasababu jiwe ni Kichwa maji atapuuza akidhani watz wataendelea kuwa waoga miaka yote.. Kizazi kinabadilika, hiki kizazi kinachokuja ni kizazi jeuri.. Wait and see.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom